Ladies only - Win a date with Ngabu

Ladies only - Win a date with Ngabu

Hv ulipataga mshindi? Huwa naimagne nyani ngabu ulivyo nakufananisha na mzee Skip wa isidingo! Xory km utakuwa hauko ivyo!
 
Hv ulipataga mshindi? Huwa naimagne nyani ngabu ulivyo nakufananisha na mzee Skip wa isidingo! Xory km utakuwa hauko ivyo!

Heheheee ni haki yako kunifananisha na yeyote yule. Nishazoea mimi.

But I guarantee you and all others that I am not who and what you think I am.
 
Mi sina vigezo vyote elimu darasa la 7,kiingreza labda cha salamu tu taabu tupu,nna kigezo cha kua mdada tu,ngoja niwaachie kina Lara wenye master
 
Kama mshindi atapata mkwanja uko juu.ila kuna harufu fulan naihis ya kutafta usuper star ukafa hata ujawai jua bati sh. Ngapi. Anyway!
 
Kama mshindi atapata mkwanja uko juu.ila kuna harufu fulan naihis ya kutafta usuper star ukafa hata ujawai jua bati sh. Ngapi. Anyway!

Nani anatafuta usupastaa?

NN ni zaidi ya supastaa humu.
 
Ila umeona ufukue thread yako tukusome zaidi super star!

Vault yangu imesheheni dhahabu na almasi.

Si vibaya mara moja moja kuifungua na kuerejea nilikotoka.

Mimi si supastaa. Ni zaidi ya supastaa.

Call me The Oracle. The Renaissance Man. The Walking and Talking encyclopedia.
 
Another blast from an MMU past.....priceless!
 
Kuna kitu natamani kukijua saaaaaaaaaaaaana!.......... Wewe ni mwanaume wa Dar mkuu?
 
Back
Top Bottom