Laana kuu Ubungo mataa!

Kwahiyo watu wanachagua vichaa, jiheshimu
 
Wangerekebisha barabara za mitaani tu.

Barabara za michepuko,

Swali la kimahesabu. Daraja la tazara likitema magari buguruni magari yakijaa buguruni junction siyatakwama?

Ubungo ikitema mabibo external kwenye junction sitayakwama, mandera ikitema mwenge junction siyatakwama, viongozi wetu wanafikiria kwa urefu wa rula.

Akili lazima zifikirie mbali. Dsm bado haina magari mengi. Barabara za juu ni anasa.
 
Ukitoa hiyo barabara uliyoitaja, ni barabra gani nyingine za mikoa hazijaunganishwa na wala hazipo kwenye mpango au ujenzi?
 
Yaani wewe ni pingapinga tuuu!! Anzisha nchi yako!
 


Nimetazama ule ujenzi sijaelewa kwanini wameweka ghorofa mbili na ground floor 😀itatumika kwa shughuli ipi, kadhalika mwendokasi watapita wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…