Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 37,647
- 79,055
Huyu aina gani ya Nyoka?Kiss of Death...
Huyo Koboko anafika ukubwa huu?View attachment 2945555
Huyu aina gani ya Nyoka?Kiss of Death...
Huyo Koboko anafika ukubwa huu?View attachment 2945555
KobokoHuyu aina gani ya Nyoka?
Mtibue uone moto wake..! Anadevelop aggressiveness kulingana majaribio ya kumuua. Mkikosea kumua akajua anawindwa ni mkorofi sana.Hawa nyoka siyo wachokozi hata kidogo. Achana na story za watu eti wanakimbiza watu. Ndiyo, wana sumu kali ila siyo aggresive.
Mtibue uone moto wake..! Anadevelop aggressiveness kulingana majaribio ya kumuua. Mkikosea kumua akajua anawindwa ni mkorofi sana.
Mtoa mada aliysimulia yote niliwahi kuyaona hadi nikadhani anatokea kijijini kwetu ila mimj siyo muha ni mnyambo.
Iko hivi kuna mtoto wa brother yangu aliuawa na huyu mdudu, huyo nyoka alikuwa anakoswakoswa na wawindaji wa wanyama pori hasa sungura. Alikuwa anakichaka chake kwa ndani kuna kichuguu kina mashimo ya mchwa alikuwa anaishi humo. Sasa bhana ilikuwa anatokaga kuota kijua cha saa 4 hivi mchana au mchana anapanda zake juu ya mti.
Nakumbuka ilikuwa msimu wa senene watu wa bukoba, karagwe wanajua nyakati zile tunakamata senene porini kwenye majini. Kijiji kizima kilikuwa kinajuaa pale huwa kuna huyo nyoka anaitwa engambila(yaani utaniambia).
Sasa yule dogo alikuwa mbishi sana, alipoambia asikaribie kichaka akagoma kwetu wanaamini aliponyoka senene wanakuwa wengi sababu anatoa harufu fulani kuwavutia. Yule dogo akawambia penye nyoka ndipo kuna senene wengi. Kumbe yule nyoka alikuwepo around na kichaka chake anakula zake senene. Dogo ata hakufika kichani kukaribia tu, alishangaa mdudu anamtokea dogo kukimbia akapigwa mgongoni akaaunguka akadungwa kwenye mguu tena akasimama akakimbia anapiga yowe watu wakasema tulikwambia. Alivyoulizwa kama amengatwa akasema ajadungwa, kama dakika kumi akaishiwa nguvu akaanguka na kutokwa na povu akafariki mwili uligeuka ukawa mweusi ghafla. Alikuwa darasa la nne. Huyo nyoka aliua mbuzi, mbwa, ng'ombe sana.
Alikuja kuuliwa na mjomba wake na huyo dogo baada ya kukutana naye akitokea zake shamba mchana wa saa 8, alikimbizwa akaangusha koti nyoka akaanza kudunga koti akampiga na kipisi cha mti alikuwa anainuka juu kuspoti adui.
Watu walikusanyika kuja ku
Kuna siku huko langai simanjiro tunahifadhi mahindi kwenye store Sasa Kuna dogo akasema kamuona black mamba mle ndani! Nikawaambia madogo wote tukusanyike upande mmoja tufungue milango na tusogeze vitu taratibu,kweli bana alitoka kupitia dirisha kwa Kasi ya ajabu alivyoingia kwa majirani wakanyanyua majembe,mawe,miti kumuua akambusu kijana mmoja!Mtibue uone moto wake..! Anadevelop aggressiveness kulingana majaribio ya kumuua. Mkikosea kumua akajua anawindwa ni mkorofi sana.
Mtoa mada aliysimulia yote niliwahi kuyaona hadi nikadhani anatokea kijijini kwetu ila mimj siyo muha ni mnyambo.
Iko hivi kuna mtoto wa brother yangu aliuawa na huyu mdudu, huyo nyoka alikuwa anakoswakoswa na wawindaji wa wanyama pori hasa sungura. Alikuwa anakichaka chake kwa ndani kuna kichuguu kina mashimo ya mchwa alikuwa anaishi humo. Sasa bhana ilikuwa anatokaga kuota kijua cha saa 4 hivi mchana au mchana anapanda zake juu ya mti.
Nakumbuka ilikuwa msimu wa senene watu wa bukoba, karagwe wanajua nyakati zile tunakamata senene porini kwenye majini. Kijiji kizima kilikuwa kinajuaa pale huwa kuna huyo nyoka anaitwa engambila(yaani utaniambia).
Sasa yule dogo alikuwa mbishi sana, alipoambia asikaribie kichaka akagoma kwetu wanaamini aliponyoka senene wanakuwa wengi sababu anatoa harufu fulani kuwavutia. Yule dogo akawambia penye nyoka ndipo kuna senene wengi. Kumbe yule nyoka alikuwepo around na kichaka chake anakula zake senene. Dogo ata hakufika kichani kukaribia tu, alishangaa mdudu anamtokea dogo kukimbia akapigwa mgongoni akaaunguka akadungwa kwenye mguu tena akasimama akakimbia anapiga yowe watu wakasema tulikwambia. Alivyoulizwa kama amengatwa akasema ajadungwa, kama dakika kumi akaishiwa nguvu akaanguka na kutokwa na povu akafariki mwili uligeuka ukawa mweusi ghafla. Alikuwa darasa la nne. Huyo nyoka aliua mbuzi, mbwa, ng'ombe sana.
Alikuja kuuliwa na mjomba wake na huyo dogo baada ya kukutana naye akitokea zake shamba mchana wa saa 8, alikimbizwa akaangusha koti nyoka akaanza kudunga koti akampiga na kipisi cha mti alikuwa anainuka juu kuspoti adui.
Watu walikusanyika kuja kumuona.
Na hasa ndicho nilichosema. Asipotibuliwa hana tabia ya kudunga watu. Huyo alishajenga uadui na binadamu.Mtibue uone moto wake..! Anadevelop aggressiveness kulingana majaribio ya kumuua. Mkikosea kumua akajua anawindwa ni mkorofi sana.
Mtoa mada aliysimulia yote niliwahi kuyaona hadi nikadhani anatokea kijijini kwetu ila mimj siyo muha ni mnyambo.
Iko hivi kuna mtoto wa brother yangu aliuawa na huyu mdudu, huyo nyoka alikuwa anakoswakoswa na wawindaji wa wanyama pori hasa sungura. Alikuwa anakichaka chake kwa ndani kuna kichuguu kina mashimo ya mchwa alikuwa anaishi humo. Sasa bhana ilikuwa anatokaga kuota kijua cha saa 4 hivi mchana au mchana anapanda zake juu ya mti.
Nakumbuka ilikuwa msimu wa senene watu wa bukoba, karagwe wanajua nyakati zile tunakamata senene porini kwenye majini. Kijiji kizima kilikuwa kinajuaa pale huwa kuna huyo nyoka anaitwa engambila(yaani utaniambia).
Sasa yule dogo alikuwa mbishi sana, alipoambia asikaribie kichaka akagoma kwetu wanaamini aliponyoka senene wanakuwa wengi sababu anatoa harufu fulani kuwavutia. Yule dogo akawambia penye nyoka ndipo kuna senene wengi. Kumbe yule nyoka alikuwepo around na kichaka chake anakula zake senene. Dogo ata hakufika kichani kukaribia tu, alishangaa mdudu anamtokea dogo kukimbia akapigwa mgongoni akaaunguka akadungwa kwenye mguu tena akasimama akakimbia anapiga yowe watu wakasema tulikwambia. Alivyoulizwa kama amengatwa akasema ajadungwa, kama dakika kumi akaishiwa nguvu akaanguka na kutokwa na povu akafariki mwili uligeuka ukawa mweusi ghafla. Alikuwa darasa la nne. Huyo nyoka aliua mbuzi, mbwa, ng'ombe sana.
Alikuja kuuliwa na mjomba wake na huyo dogo baada ya kukutana naye akitokea zake shamba mchana wa saa 8, alikimbizwa akaangusha koti nyoka akaanza kudunga koti akampiga na kipisi cha mti alikuwa anainuka juu kuspoti adui.
Watu walikusanyika kuja kumuona.
Ndio alichoandika jamaa asichokozwe na Kila mtu atambe kwenye mipaka yake, Kwa kwenda tu kwenye kichuguu ambalo ndo maficho yake automatically atakudhuru maana hana option nyingine zaidi ya kukudunga tofauti kama angekuwepo kwenye kichaka kingine cha kwanza angetafuta chimbo lake Kwa kusepa faster Kwa kukimbilia hapo kichuguuni na ukijafanya kumfukuza alafu anaona kabisa ngoma nzito anakubadilikia faster alafu anasepa zake.Mtibue uone moto wake..! Anadevelop aggressiveness kulingana majaribio ya kumuua. Mkikosea kumua akajua anawindwa ni mkorofi sana.
Mtoa mada aliysimulia yote niliwahi kuyaona hadi nikadhani anatokea kijijini kwetu ila mimj siyo muha ni mnyambo.
Iko hivi kuna mtoto wa brother yangu aliuawa na huyu mdudu, huyo nyoka alikuwa anakoswakoswa na wawindaji wa wanyama pori hasa sungura. Alikuwa anakichaka chake kwa ndani kuna kichuguu kina mashimo ya mchwa alikuwa anaishi humo. Sasa bhana ilikuwa anatokaga kuota kijua cha saa 4 hivi mchana au mchana anapanda zake juu ya mti.
Nakumbuka ilikuwa msimu wa senene watu wa bukoba, karagwe wanajua nyakati zile tunakamata senene porini kwenye majini. Kijiji kizima kilikuwa kinajuaa pale huwa kuna huyo nyoka anaitwa engambila(yaani utaniambia).
Sasa yule dogo alikuwa mbishi sana, alipoambia asikaribie kichaka akagoma kwetu wanaamini aliponyoka senene wanakuwa wengi sababu anatoa harufu fulani kuwavutia. Yule dogo akawambia penye nyoka ndipo kuna senene wengi. Kumbe yule nyoka alikuwepo around na kichaka chake anakula zake senene. Dogo ata hakufika kichani kukaribia tu, alishangaa mdudu anamtokea dogo kukimbia akapigwa mgongoni akaaunguka akadungwa kwenye mguu tena akasimama akakimbia anapiga yowe watu wakasema tulikwambia. Alivyoulizwa kama amengatwa akasema ajadungwa, kama dakika kumi akaishiwa nguvu akaanguka na kutokwa na povu akafariki mwili uligeuka ukawa mweusi ghafla. Alikuwa darasa la nne. Huyo nyoka aliua mbuzi, mbwa, ng'ombe sana.
Alikuja kuuliwa na mjomba wake na huyo dogo baada ya kukutana naye akitokea zake shamba mchana wa saa 8, alikimbizwa akaangusha koti nyoka akaanza kudunga koti akampiga na kipisi cha mti alikuwa anainuka juu kuspoti adui.
Watu walikusanyika kuja kumuona.
Kwamba avae helmet akapambane na NYoka mkuu kama dereva pikipiki anavyozuia kichwa kisipate majeraha?Vaa helmet ya chuma kisha nenda kapambane naye, you have all my blessings son..
Koboko/ Black MambaHuyu aina gani ya Nyoka?
Choroko, uji wa ulezi au wa mchele.Koboko huwa anagonga kichwani..Wazee walikuwa wanafanya hivi;
Wanachemsha Choroko na zikiwa zimeiva na za moto..zinawekwa kichwani zikiwa za moto kwa mtu mwenye ujasiri anaenda eneo alilokuwepo huyo Nyoka na kumchokoza...si atakuja kwa hasira na kumgonga mhusika kichwani...hapo atakuwa ameingiza kichwa chake kwenye chungu cha Choroko za moto na kufa.
Ila..yataka Moyo.
Hizi ni true story ambazo mimi mwenyewe nimeona kwa macho yangu za kusimuliwa ni nyingi t. ukweli ni kwamba huyu koboko sio wa kufanya nae masihara kabisa jiulize mtoto aliyeenda kuokota maembe hakufika kwao japo umbali huwezi tumia hata dk3 mama yake alisikia kelele ile anafika kamkuta mwane kashakufa na kukauka kabisa!Mtibue uone moto wake..! Anadevelop aggressiveness kulingana majaribio ya kumuua. Mkikosea kumua akajua anawindwa ni mkorofi sana.
Mtoa mada aliysimulia yote niliwahi kuyaona hadi nikadhani anatokea kijijini kwetu ila mimj siyo muha ni mnyambo.
Iko hivi kuna mtoto wa brother yangu aliuawa na huyu mdudu, huyo nyoka alikuwa anakoswakoswa na wawindaji wa wanyama pori hasa sungura. Alikuwa anakichaka chake kwa ndani kuna kichuguu kina mashimo ya mchwa alikuwa anaishi humo. Sasa bhana ilikuwa anatokaga kuota kijua cha saa 4 hivi mchana au mchana anapanda zake juu ya mti.
Nakumbuka ilikuwa msimu wa senene watu wa bukoba, karagwe wanajua nyakati zile tunakamata senene porini kwenye majini. Kijiji kizima kilikuwa kinajuaa pale huwa kuna huyo nyoka anaitwa engambila(yaani utaniambia).
Sasa yule dogo alikuwa mbishi sana, alipoambia asikaribie kichaka akagoma kwetu wanaamini aliponyoka senene wanakuwa wengi sababu anatoa harufu fulani kuwavutia. Yule dogo akawambia penye nyoka ndipo kuna senene wengi. Kumbe yule nyoka alikuwepo around na kichaka chake anakula zake senene. Dogo ata hakufika kichani kukaribia tu, alishangaa mdudu anamtokea dogo kukimbia akapigwa mgongoni akaaunguka akadungwa kwenye mguu tena akasimama akakimbia anapiga yowe watu wakasema tulikwambia. Alivyoulizwa kama amengatwa akasema ajadungwa, kama dakika kumi akaishiwa nguvu akaanguka na kutokwa na povu akafariki mwili uligeuka ukawa mweusi ghafla. Alikuwa darasa la nne. Huyo nyoka aliua mbuzi, mbwa, ng'ombe sana.
Alikuja kuuliwa na mjomba wake na huyo dogo baada ya kukutana naye akitokea zake shamba mchana wa saa 8, alikimbizwa akaangusha koti nyoka akaanza kudunga koti akampiga na kipisi cha mti alikuwa anainuka juu kuspoti adui.
Watu walikusanyika kuja kumuona.
Watu nawashangaa sana wanaposema ubebe chungu na uji wa moto hawaoni kuwa ni kubetia maisha hiiChoroko, uji wa ulezi au wa mchele.
Lakini hii hasa kama nyoka ameweka makazi kwenye matawi ya mti.
Kama Koboko mwenyewe anaishi kwenye miamba anaweza kukung'ata shingoni au kifuani na jungu lako la uji kichwani😂😂
Koboko anayeshambulia akiwa chini anasimama ili ang'ate, lakini siyo lazima agonge kichwani.
Jitahidi sana mkuu. kuna nyoka fulani wadogo ukimchokoza anakasirika hadi anapasuka mwenyewe tumefanya nao mdhaha kipindi tunachunga 😂 😂Nikipata muda wa kuandika nitashusha Uzi wa NYoka Kuanzia aina zake,sumu,hudumu ya kwanza,kuwaepuka nk
Tuombe uzima
Nahisi jamaa alikata moto . wale ng'ombe na watoto kipindi wanapokea dose walikuwa hawachukui muda wanakufa.Kuna siku huko langai simanjiro tunahifadhi mahindi kwenye store Sasa Kuna dogo akasema kamuona black mamba mle ndani! Nikawaambia madogo wote tukusanyike upande mmoja tufungue milango na tusogeze vitu taratibu,kweli bana alitoka kupitia dirisha kwa Kasi ya ajabu alivyoingia kwa majirani wakanyanyua majembe,mawe,miti kumuua akambusu kijana mmoja!
Sijajua kama alikufa ama vipi manake alikimbizwa hospital na Mimi nikaendelea na mbishe zangu
kivipJichanganyeni.
Duh ni mkubwa mixer mrefu sanaKoboko/ Black Mamba