Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 479
- 665
- Thread starter
- #181
Kipindi Cha nyuma walikuwepo wakutosha na huenda hatukuwa waona Hawa koboko lakini wanakijij walisha wamakoza kabisa Kwa mbwa na kuwafukia kwenye mashimo Yao hatimae kufa. Wanakula sana karanga waleUzuri wa wale wanapenda maeneo ya vichaka , mangroose anaweza kuwakamata na kuwapeleka ila inahitaji gharama wangu wa vijijini wanajua kuwatega , ila 🦡 ni ngumu kumkamata.
Kwa nature ya eneo aliloelezea wanayapenda sana hawa wadudu sidhani kama wanaweza kuhama labda wafukuzwe