Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,143
Nashangaa sana kijana au binti anapelekeshwa na mapenzi kama gari bovu, lazima uwe na msimamo. Unapenda sawa lakini usikubali akili zote ukahamishia kwa mtu.
Unamtongoza mtu akisema hapana au subiri nitakupa jibu unamchana kabisa kuwa basi nimeghairi. Mtu anayekupenda tangu kitambo hana muda wa kufikiri au kukuzungusha.
Wife kwa mara ya kwanza nilikutana naye bank ya CRDB Kahama, nilipomwona tu nikasema huyu ni wife material, nikamwambia lengo langu na kumtaka anipe jibu papo hapo.
Angekataa au kuniambia subiri nifikirie ningefuta namba yake mbele yake na asingekuwa mke wangu sasa.
Mchumba akikukataa au kukuwekea vizingiti na masharti ambayo awali hujayaona, mchane live kuwa basi umeghairi, na usirudi nyuma, ukirudi nyuma utakuja kufanyiwa jambo mpaka utakubali
Note: Mtu aliyeumbwa kwaajili yako na Mungu awe mke au mume siku mkikutana kunakuwa na connection ya moja kwa moja bila mawimbi. Yaani lazima ushangae naye atashangaa.
Ndoa ni jambo la kimungu 100%
Hata kisa cha Isaka na mkewe kinathibitisha hilo
Unamtongoza mtu akisema hapana au subiri nitakupa jibu unamchana kabisa kuwa basi nimeghairi. Mtu anayekupenda tangu kitambo hana muda wa kufikiri au kukuzungusha.
Wife kwa mara ya kwanza nilikutana naye bank ya CRDB Kahama, nilipomwona tu nikasema huyu ni wife material, nikamwambia lengo langu na kumtaka anipe jibu papo hapo.
Angekataa au kuniambia subiri nifikirie ningefuta namba yake mbele yake na asingekuwa mke wangu sasa.
Mchumba akikukataa au kukuwekea vizingiti na masharti ambayo awali hujayaona, mchane live kuwa basi umeghairi, na usirudi nyuma, ukirudi nyuma utakuja kufanyiwa jambo mpaka utakubali
Note: Mtu aliyeumbwa kwaajili yako na Mungu awe mke au mume siku mkikutana kunakuwa na connection ya moja kwa moja bila mawimbi. Yaani lazima ushangae naye atashangaa.
Ndoa ni jambo la kimungu 100%
Hata kisa cha Isaka na mkewe kinathibitisha hilo