Promotion imepata good responseThubutu sio kila mwanamke aliyoko kwenye ndoa basi maziwa yamelala
Kuna jamaa kaeleza vizuri juu hapo kuwa kadri umri unavyosogea kwa mwanamk ankuwa na ham sana kabla ya uzee. Huyo hakupata raha hiyo tng muda mrefu...Anaipata kwa sasa lazima apate mhaho,just imagine U didn't ever cum for almost 20 year..Kumbe ndio michezo yenu eeh, ndio maana huyu mama hapa kazini hata ufanisi wa kazi umeshuka kutwa muda wote yuko na simu yake. Sasa sijui hata anakumbuka majukumu yake akiwa nyumbani?
Nitunukie na mimi huo utamu madam, Inyara si hapo tu 😁Ndo watamu mkuu
Tatizo akishapata kijana mtundu anayeweza kukamua maji yake na yakatoka yote,lazima akili ya kazi au ufanisi wa kazi upungue,kwa sababu muda mwingi atakuwa anakumbukia hiyo show.Kumbe ndio michezo yenu eeh, ndio maana huyu mama hapa kazini hata ufanisi wa kazi umeshuka kutwa muda wote yuko na simu yake. Sasa sijui hata anakumbuka majukumu yake akiwa nyumbani?
Sio ujinga ni starehekumbe ni vijana wengi mmeingia kwenye huu ujinga
Ahsante sana na ntaongeza bidii na ustadi katika kuendelea kuwashughulia wenye uhitajiHongera sana,kwenye kikao chetu cha Mwezi December tutakupatia tuzo na nishani ya ujasiri na ukakamavu.
Bro mtag anasbo icho kipande cha mwisho ulichoandikaNimewaza namna ya kukujibu nimeshindwa maana kuna vitu vingi sn ktk hili.
1.A desire to have a new thing
2.Capability ya hao vijana wadogo ktk kuchakata
3.Ndani kuna mazoea,ni kimoja then usingizi
4.Mwanamke anavoenda umri ndiyo anazidi kutaka kuchakatwa haswaaa.
5.Ufundi wa vitu vingi wa hao vijana wadogo.
6.Migogoro ndani ya nyumba
6.Makundi ya WhatsApp ya wadada/wamama wanaambizana vitu vingi sana.
Nilikuwa katik dimbwi hilo la kuwa na mdada mkubwa kabisa kwangu,aisee alikolea na amekolea sanaaaa though nilishaanza kumkwepa.Yani kuna kitu huwa anani-test hadi nimeogopa,nikagundua anasimuliwa na wenzake sasa she wants to test,na ni kweli hajawahi. Nilivyomsoma nimeweka GAP kubwa sana namkwepa
Nadhani factors zimeeleweka.
Mimi siowi, wake za watu wapo, afu watamu kweli yani. Hawana usumbufu, sio wachoyo, hata kitandani wanakupa ukitakacho.Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa la wamama (hasa walioko katika ndoa) kutoka kimapenzi na vijana wadogo wanaowazidi umri hata mara tatu (3) na unakuta ameridhika na haogopi kuwa jamii inayomzunguka itamchukuliaje.
Nimeona kwa mfanyakazi mwenzangu ambaye ana watoto watatu na kwa chini ya kapeti nilisikia harusi yake
Shikamoo dada DinazardeWanapeleka sana moto
Marahabaa totoooShkamoo dada Dinazarde
kwa mujibu wa rafiki yangu, alitongozwa na mke wa kigogo. Mwanamke alikuwa anamtaka. Afu jamaa mwenyewe ni chalii mdogo tuu, wakati ananieleza na ushahidi alikuwa nao.Hivi sasa kumekuwa na wimbi kubwa la wamama (hasa walioko katika ndoa) kutoka kimapenzi na vijana wadogo wanaowazidi umri hata mara tatu (3) na unakuta ameridhika na haogopi kuwa jamii inayomzunguka itamchukuliaje.
Wacha weee......... nijongeee nini DM na mimi ,manake upepo ninao.
Njoo pm mrembo
HahahahaVijan wenzangu nitafutieni na mimi huyo Mmama nianze kuona viwango
Ila nilikuw napga mmama wa kipare lakn bado alikuw ananiomb ela kwa nguvu na bili hataki kulpa au ku share cost .
NB usimjarbu mmama wa kipare