Escaper
JF-Expert Member
- Nov 11, 2018
- 1,780
- 3,232
Tetemeko tulichanga hizo zikapigwa ..kwahiyo tulieni kama mko saluni
#ChangiaLissu
Sent using Jamii Forums mobile app
#ChangiaLissu
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazitoa kila siku anahamishia kwenye account yake ya Ubelgiji. Ana monitor kila saa mzigo uliopo bankNaona Risk wanaweza freeze hata hiyo account....
Huyo sio Mange ni akaunti fekiBy Mange Kimambi
Tuendelee kumchangia Mh Tundu Lissu, Mpaka sasa zimefika M28 kwa mwezi March, kutoa ni moyo si utajiri.
.
.
Tafadhali tuma pesa kwenda #M_pesa 0754 616 564 au Tigopesa 0716445360 Jina FRANK MUGHWAI.......... Au kupitia benki ya #CRDB nambari ya akaunti 01J2043045300 TUNDU ANTIPAS LISSU.
View attachment 1046472
Hao watu ni kama wale wadokozi wa mboga kwenye vyungu jikoni. Anajikuta tu kafunua chungu na kudokoa. Au wachawi wa kufundishwa tangu utotoni. Anafanya ulozi for fun! Hawezi kuacha. Ndiyo tabia za hao wanaopinga Lissu kuchangiwa fedha. Wanajinunisha kwa fedha ambazo si zao. Uchawi! 🔫Hivi inakuwaje mtu unakuwa na roho mbayaa na kikatili mpaka wakati wa mfungo wa kwarema ??
Watu wana mijiroho, siyo kama kina sisi ambao hata kuchinja kuku tunaogopa.
Hakuna mtu mwenye roho ngumu kama aliyekula hela ya rambirambiCHADEMA kwenye michango ndo wanatumiaga picha ya Lissu na Magongo lakin kwenye ziara za marekani hatuyaoni CHADEMA nyie CHADEMA mungu anawaona ujue
Kama akaunti za benki ziko sahihi hakuna tatizo.
Akipanga kuinanga serikali anapitia kwa kinyozi na kunyoa kiduku na kutupia suti ya vipande vitatu, lakini akitaka kutapeli michango anachechemea na magongo huku akitia sura ya huruma. Kazi ipo.
Hahaha mkuu umeuaTatizo tukichanga za kwenye majanga mnatumia kununulia madiwani sasa huo ni ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app
6CE124NBWJP Imethibitishwa Tsh12,000.00 imetumwa kwa 255754616564 - FRANK MGHWAI Tarehe 14/3/19 saa 4:04 PM kwa ada ya Tsh310.00.Nimeshamchangia mheshimiwa Lisu japo ni kidogo naamini haba na haba hujaza kibaba, na nitaendelea kumchangia kwa kadri nitakavyoweza nahatimae Lisu hataweza kuteseka kama serikali inavyotaka ateseke hivyo ndivyo tunavyoweza kusema.
Kuna la kujifunza hapo. Ujiulize ni kwa nini wanatoa bila shuruti na walikuwa wanalilia wapatiwe njia za kuwasilisha michango yao. And, people are still longing for such means of contribution to be well informed to them. Watu wana uchungu, hasira na mengi mengineyo.
MUNGU akubariki sana6CE124NBWJP Imethibitishwa Tsh12,000.00 imetumwa kwa 255754616564 - FRANK MGHWAI Tarehe 14/3/19 saa 4:04 PM kwa ada ya Tsh310.00.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata matibabu yake ni mawaziri wengi tuu walimchangia Kwa siri huku wakiwa na chuki na jiweKuliko kununua vitambulisho vya umachinga bora kumchangia TL
Mwanasheria mkuu,Sirro na CDF watachangia kimya kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni hadhi ya taasisi ndo inayomlinda ila hata mama yetu anajaribu tu kua jasiriMbona hata matibabu yake ni mawaziri wengi tuu walimchangia Kwa siri huku wakiwa na chuki na jiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tusisahau hulka ya kitanzania ambayo baba wa taifa letu alitujengea "UMOJA NA MSHIKAMANO". Hata kama ni ccm bado wao pia ni watanzania, pia sio wanaccm wote wanaounga mkono udhalimu wa awamu hii.Ni vema Chadema ikaweka wazi jambo hili ili lieleweke , ni kweli kabisa kwamba kuna kampeni imesambazwa dunia nzima ya kumchangia Mh Lissu baada ya mawakala wa shetani kuzuia mshahara wake , watu wameanza kuchanga kwa kishindo sana , tunashukuru sana na kwa kweli tunamuomba Mungu awajazie palipopungua.
Lakini ni vema michango hii isitokane na wanaccm , na kama kuna mwanaccm amechangia mpaka sasa basi ARUDISHIWE PESA ZAKE , tunahitaji mchango lakini hatupokei pesa za majini , hatupokei hela zilizojaa damu , hizo hapana , hatuzitaki , Kupokea hela za mchango wa Mh Lissu kutoka kwa wanaccm ni sawa kukufuru Mungu , ni kumdhalilisha Lissu mwenyewe , hii haina tofauti na KUTAKATISHA PESA , Tusikubali
Naomba kuwasilisha.