Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,827
Mkuuu afrika nikubwa ujue
Mkuuu afrika nikubwa ujue
Iyo inaitwa ,funua kombe mwanaharamu aingie hahahahaaHakyamama, mpaka nimechoka kucheka sasa
View attachment 676292
Mkuuu tunapiga mkataba tu fresh apooooMiaka 75? Yani ule naye raha ujanani afu umwache uzeeni?
![]()
Ungefanya kuporomoa vipicha vyote vya aka kabenchi mkuuu.Miaka 75? Yani ule naye raha ujanani afu umwache uzeeni?
![]()
Together as one mkuuWoyoooo!!!! Nakukubali Sana Putin
Hako kabenchi mpk nimkamate ex wangu ndo ntakaacha salamaUngefanya kuporomoa vipicha vyote vya aka kabenchi mkuuu.
Nakabatiza jina kwasasa tukaite *Kabenchi Ka maajabu*.
Jamaaaan usikimbie sasa , @Aspirin anajitahidi sana kuniambia Mzeee baba ***uyo nichaguo lako*Nimekasirika sana babu kutoa picha zangu.
Haaaaa Putini Itabidi Anipe huyu Aseee.Tatizo jamaa anachagua sana... eti hata huyu kamkataa
View attachment 676285
Well saidMioyo ya wahusika ingekuwa inaongea, mngejua jinsi wanavyozihitaji ndoa.
Asikudanganye yeyote, furaha ya mwanamke iko kwa mwanaume na furaha ya mwanaume iko kwa mwanamke siku zote. Hakuna mtu asiyeihitaji ndoa au maisha ya kuishi wawili. Ni pale tu ambapo anakuwa hajapata mtu sahihi Wa kuwa naye.
Amini usiamini tunategemeana sana sana zaidi ya timu za mpira. Huwezi kuishi pekee ukasema uko happy na maisha yako. Not true.
Nimekasirika sana babu kutoa picha zangu.
aaminNa iwe hivo ila kwa wale waliofokia hatua hiyo.
Simu itakuwa imeisha chaji, ameenda kuchaji.
View attachment 676298
Hahahahahaha ila usisahau kapicha mkuuu maana tunategemea watu ili kuendelea kudhihirisha existence ya *kabenchi ka maajabu*.Hako kabenchi mpk nimkamate ex wangu ndo ntakaacha salama
Haaaaaaaaa Mzigua90 ndo unamanisha tayar kitu ?.Mbona siku hizi una hasira za karibu? Au tayari?
![]()