Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,827
Hakika Leo nimejikuta nachekaaaaaaa alafu nilikua out of mood kweli ..hahahahahahMleta mada leo kazusha mengi sana. Acha nicheke tu
![]()
Hakika Leo nimejikuta nachekaaaaaaa alafu nilikua out of mood kweli ..hahahahahahMleta mada leo kazusha mengi sana. Acha nicheke tu
![]()
Mi nimecheka kwa maneno yako. Unachekesha kama Chris Tucker... Acha nicheke tuHakika Leo nimejikuta nachekaaaaaaa alafu nilikua out of mood kweli ..hahahahahah
Ila na wewe nimekukubali kwa kutokelezea. Nimekubali we ni mzigua na Vladimirovich Putin atafaidi sana...
View attachment 676286









Ila na wewe nimekukubali kwa kutokelezea. Nimekubali we ni mzigua na Vladimirovich Putin atafaidi sana...
View attachment 676286
Mzigua90 njooo uone Aspirin kakupiga picha ...Hahahaaaaa poa Mkuu...hii ndo dunia nawatu ndo sisi kucheka nimore healthy !!!.Mi nimecheka kwa maneno yako. Unachekesha kama Chris Tucker... Acha nicheke tu
View attachment 676287

Nisamehe basi... Sitaweka ile uliyonipa... uliyopigia saluni ukijiandaa kwenda kwenye sendoff ya dadaakoNimemtumia pm naona kaileta huku @Aspirin babu siku nyingine nitakua sikupi picha sijapenda ulichofanya leo![]()
Weeee mkuuu ,,,,ivi vipicha picha umevistore ???![]()
![]()
![]()
![]()
Daaaaaaahhhhhh Ila sio mbaya wala sijatikisika Mzigua90 , Aspirin anajaribu kunieleza kwa picha ,namna gan u mzuriNimemtumia pm naona kaileta huku @Aspirin babu siku nyingine nitakua sikupi picha sijapenda ulichofanya leo![]()
Hahahahaa kabisaaa hapo nikifo tu mkuuu.Mpaka kifo kiwatenganishe...
View attachment 676288

mzigua ndo utanga wenyewe huuuu..unaambiwa hawa wa mama ,wanajipaka hadi Katanga usoni duuhhhh.Nisamehe basi... Sitaweka ile uliyonipa... uliyopigia saluni ukijiandaa kwenda kwenye sendoff ya dadaako
View attachment 676290
Umeongea vizuri dada. Huwa sipendi kusikia binti anasema ndoa kitu gani halafu baadae huyo unakuta analalamika amekosa mchumba. Nature huwa haidanganyi, mwanamke anamhitaji mwanaume na mwanaume anamuhitaji mke. Tunategemeana
Unaweza kukuta mwingine anatoa reference ya walio fail kwenye ndoa kama justification ya yeye kutotaka kuolewa. Mimi huwa nawauliza kwanini wanajiweka kwenye kundi la walio fail? Maana kwenye ndoa kuna walio vizuri pia. Kwahiyo hupaswi kujiwazia mabaya na ikiwa yatatokea utajua la kufanya. Lakini kwanini ndoa uiwazie vibaya wakati hujaingia?