Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Kweli nimeamini mwanamke anahitaji ndoa

Aiseeeee Mkuu ,,,nmecheka mpaka wamenishangaaaa ....aka kabenchi kapo nchi gan ???

Nmecheka hadi machozi yanatoka.

Haka kabenchi katawapeleka watu wengi motoni. Kako Nairobi... we kazi yako ni kukaa chemba unawadungua mafuska mapicha kama sniper wa Urusi.
big1.jpg
 
Sasa mtu akiolewa asifurahi jamaani aonyeshe huzuni wakati maisha yenyewe mafupi haya.

Kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hivyo ikitokea furaha muhimu bana.
Umeongea vizuri dada. Huwa sipendi kusikia binti anasema ndoa kitu gani halafu baadae huyo unakuta analalamika amekosa mchumba. Nature huwa haidanganyi, mwanamke anamhitaji mwanaume na mwanaume anamuhitaji mke. Tunategemeana

Unaweza kukuta mwingine anatoa reference ya walio fail kwenye ndoa kama justification ya yeye kutotaka kuolewa. Mimi huwa nawauliza kwanini wanajiweka kwenye kundi la walio fail? Maana kwenye ndoa kuna walio vizuri pia. Kwahiyo hupaswi kujiwazia mabaya na ikiwa yatatokea utajua la kufanya. Lakini kwanini ndoa uiwazie vibaya wakati hujaingia?
 
Huyu ni Shishi Trump anafuraha kupita maelezo kwa kuolewa na Uchebe.

Twende mbele turudi nyuma hapa mjini utadanga wee ila mwisho wa siku ndoa utaihitaji tu. Na kama ukifika 40's haujaolewa hautakuwa na maisha yenye amani.

Hongera Uchebe naona mzimu wako haujaleta masihara kama mzimu wa Nuhu.
Mwache shishi Trump ananiburudisha!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom