Kweli mjini ni msingi kiuno..

Kweli mjini ni msingi kiuno..

Kutoka 20:14
Usizini

Wakorintho 6:18
Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

Wakorintho 6:9
Msidanganyike, waasherati hawataurithi Ufalme wa Mungu
 
Neno mswano halitumiwi ja aina ya mwanamke uliyejaribu kumzungumzia. Corporate sluts wana lugha yao.
 
Aisee nimeamini kweli hapa mjini msingi kiuno na ukijua kuchezesha tu kiuno chako utapata pesa za fasta sana maana jana kiukweli nilikichezesha sana kiuno changu tokea asubuhi mpaka alfajiri mimi ni mwendo wa kuchezesha kiuno changu tu aisee wakuu kiukweli Jana kupitia kuchezesha kiuno changu nimepata hela ya kodi,hela mafuta ya kuendea kazini,hela ya marejesho ya vikoba,hela ya king'amuzi na chenji ikabakia aisee

Halafu ndiyo atokee mtu mtu anishauri kufugwa na mwanaume thubutu? Kwa huku tu kuchezesha kiuno napata pesa zaidi ya mshahara wangu na kupitia hapa bila shaka yataenda mswano sana njoo au jiunge na mimi kuchezesha kiuno!! Karibu wadau na nyie niwachezeshee kiuno lakini pesa iwe mfuko wa shatii.

Welcome folks.
Nauona ujio wa JF Danguro forum,
 
Aisee nimeamini kweli hapa mjini msingi kiuno na ukijua kuchezesha tu kiuno chako utapata pesa za fasta sana maana jana kiukweli nilikichezesha sana kiuno changu tokea asubuhi mpaka alfajiri mimi ni mwendo wa kuchezesha kiuno changu tu aisee wakuu kiukweli Jana kupitia kuchezesha kiuno changu nimepata hela ya kodi,hela mafuta ya kuendea kazini,hela ya marejesho ya vikoba,hela ya king'amuzi na chenji ikabakia aisee

Halafu ndiyo atokee mtu mtu anishauri kufugwa na mwanaume thubutu? Kwa huku tu kuchezesha kiuno napata pesa zaidi ya mshahara wangu na kupitia hapa bila shaka yataenda mswano sana njoo au jiunge na mimi kuchezesha kiuno!! Karibu wadau na nyie niwachezeshee kiuno lakini pesa iwe mfuko wa shatii.

Welcome folks.
🤣🤣😅😅😅😅
 
Picha, ukichezesha kiuno na kuingiza pesa zaid ya mshahara.
 
Mkuuu unamatatizo ya saikolojia kujifanya ww mwanamke na una mda mrefu hujat..ia
 
Back
Top Bottom