ni mwanamama ambaye ameolewa na kuachika mara moja na sasa yupo ndani ya ndoa kwa miaka miwili na ushee,kwa mumewe wa kwanza kulikuwa hakuna hayo matatizo sasa ndio anaona mapenzi ni udhia na uchafu.alipoolewa na mumewe wa pili hakukuwa na tatizo lolote mpaka walipofikisha mwaka mmoja na nusu ndio kasoro zimeanza kujitokeza ni kwamba,
mumewe ameanzisha tabia ya kwenda chumvini wakati hawakuwahi kufanya hicho kitu hata siku moja!
mkewe amemuuliza umejulia wapi akamwambia ameangalia kwenye simu ya rafiki yake ambaye amehifadhi filamu za ngono sasa akaona hiyo staili akaipenda ndio akaanza kuifanyia mazoezi kwa mkewe.kikubwa na chakushangaza zaidi ni kero kubwa kwa mkewe akienda chumvini yale mate yanamwangika kwenye shuka hadi linalowa na yanayobakia mdomoni humlazimisha denda na kumtemea yote mdomoni na mkewe huyameza kwa kuogopa kumkasirisha mumewe, amevumilia ameshoka ikabidi avunje ukimya na kumueleza hicho kitendo ni bora tukiache kwa kuwa hatukiwezi mumewe amekataa na akampiga sana na kumwambia kishapa jemba ingine.mumewe anampenda na kumuacha hawezi na hicho kitendo cha kunyweshwa mate pia hawezi.afanyaje ili kuinusuru ndoa yake na kuepukana na mvua ya mate?
mumewe ni dactari wa meno na ni muhdzabe.
ushauri wangu ni kwamba aachane nae kasema ataolewa mara ngapi na umri umeshapita?kweli mapenzi kizaizai yanaumiza moyo
ushauri wenu unahitajika wadau
cc:wanajamvi wote wa mmu
Hahahahaha... Madame uko sahihi, lakini nilikuwa naamaanisha muda anapojua mumewe anarudi asiioshe kwanza, aache aikute na udambwi udambwi wake.kama vile atakuwa anaruka majivu na kukanyanga moto swaiba! maana yangu ni kwamba akiwa mchafu sana.........................
jamaa ataenda kwa waliowasafi
mkewe atapata fungus,U.T.I
haki yake ya msingi itapotea( sex)
au vp mkubwa? nionavyo mimi itakuwa sio poa
Haya ni maswala yao binafsi. Wakati wantongozana walikuja kuomba ushauri hapa? Kwa kifupi, hayatuhusu. Kila mtu anabeba msalaba wake. Habari ndio hiyo.
Kama hayakuhusu why unepoteza muda wako kuja kuandika gossip?
Haya ni maswala yao binafsi. Wakati wantongozana walikuja kuomba ushauri hapa? Kwa kifupi, hayatuhusu. Kila mtu anabeba msalaba wake. Habari ndio hiyo.
Napoteza muda wangu ili kurudisha heshima ya JF ya miaka sita iliyopita. Tulikuwa hatuandiki habari za maisha ya watu binafsi. Tulikuwa tunaongelea matukio na maendeleo. Maisha ya watu binafsi tuliwaachia waandishi wa magazeti ya udaku. Umenisoma?
Ngoja nikunong'oneze sio wote wanaotaka kutoka , wapo wachache tu wanaotaka kutoka lkn usimwambie mtu umesikia.Duh......ndoa zingine mashaka.ndio maana waliopo ndani wanatamani kutoka wakati waliopo nje wanataka kuingia.pole dadaaa .
uhhhhhh aaaaaah kizee cha jf cha hayatuhusu kimeshajipendekeza kukoment yasiyomhusu awwwwww!!!!! jf ya wakati huu huwezi kuilinganisha na jf ya sasa na ndio maana hata vitu vimebadilika na kuongezewa ubora.mfano mzuri tanzania miaka ya 60 sio tanzania ya leo tumebadikaje?.ukitaka jf ya miaka 6 iliyopita fungua post za miaka hiyo soma jikumbeshe kama wazee wenzako wanavyosikiliza nyimbo za zilipedwa!!!unafurukutwa na nini mzee wa jf waachie wajukuu waifurahie jf ni wakati wetu sasa.acha kabisa kisebusebu na kiroho papo. sitaki nataka kwa kizee wewe ni mbaya utaugua af upeleke malamiko jf doctors wakati maumivu ni yako binafsi na hayawahusu madaktari, habari sio hiyo kwa sasa mzee wa jf utaisoma ukiwa umesimamia .........kwenye ......... apo ujuwe naogopa ban na heshima ku drop.
Mmmh!!!! Hizi shule za kata zina mambo!!! Hongera Dr.Dalichako kwa kututangazia matokeo sahihi ya form four 2012. Hivi wewe hata darasa la saba umemaliza? Unachoandika, malaika ndio wanaweza kukuelewa.!!
Mmmh!!!! Hizi shule za kata zina mambo!!! Hongera Dr.Dalichako kwa kututangazia matokeo sahihi ya form four 2012. Hivi wewe hata darasa la saba umemaliza? Unachoandika, malaika ndio wanaweza kukuelewa.!!
Kama hayakuhusu why unepoteza muda wako kuja kuandika gossip?