ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,785
- 1,317
ni mwanamama ambaye ameolewa na kuachika mara moja na sasa yupo ndani ya ndoa kwa miaka miwili na ushee,kwa mumewe wa kwanza kulikuwa hakuna hayo matatizo sasa ndio anaona mapenzi ni udhia na uchafu.alipoolewa na mumewe wa pili hakukuwa na tatizo lolote mpaka walipofikisha mwaka mmoja na nusu ndio kasoro zimeanza kujitokeza ni kwamba,
mumewe ameanzisha tabia ya kwenda chumvini wakati hawakuwahi kufanya hicho kitu hata siku moja!
mkewe amemuuliza umejulia wapi akamwambia ameangalia kwenye simu ya rafiki yake ambaye amehifadhi filamu za ngono sasa akaona hiyo staili akaipenda ndio akaanza kuifanyia mazoezi kwa mkewe.kikubwa na chakushangaza zaidi ni kero kubwa kwa mkewe akienda chumvini yale mate yanamwangika kwenye shuka hadi linalowa na yanayobakia mdomoni humlazimisha denda na kumtemea yote mdomoni na mkewe huyameza kwa kuogopa kumkasirisha mumewe, amevumilia ameshoka ikabidi avunje ukimya na kumueleza hicho kitendo ni bora tukiache kwa kuwa hatukiwezi mumewe amekataa na akampiga sana na kumwambia kishapa jemba ingine.mumewe anampenda na kumuacha hawezi na hicho kitendo cha kunyweshwa mate pia hawezi.afanyaje ili kuinusuru ndoa yake na kuepukana na mvua ya mate?
mumewe ni dactari wa meno na ni muhdzabe.
ushauri wangu ni kwamba aachane nae kasema ataolewa mara ngapi na umri umeshapita?kweli mapenzi kizaizai yanaumiza moyo
ushauri wenu unahitajika wadau
cc:wanajamvi wote wa mmu
mumewe ameanzisha tabia ya kwenda chumvini wakati hawakuwahi kufanya hicho kitu hata siku moja!
mkewe amemuuliza umejulia wapi akamwambia ameangalia kwenye simu ya rafiki yake ambaye amehifadhi filamu za ngono sasa akaona hiyo staili akaipenda ndio akaanza kuifanyia mazoezi kwa mkewe.kikubwa na chakushangaza zaidi ni kero kubwa kwa mkewe akienda chumvini yale mate yanamwangika kwenye shuka hadi linalowa na yanayobakia mdomoni humlazimisha denda na kumtemea yote mdomoni na mkewe huyameza kwa kuogopa kumkasirisha mumewe, amevumilia ameshoka ikabidi avunje ukimya na kumueleza hicho kitendo ni bora tukiache kwa kuwa hatukiwezi mumewe amekataa na akampiga sana na kumwambia kishapa jemba ingine.mumewe anampenda na kumuacha hawezi na hicho kitendo cha kunyweshwa mate pia hawezi.afanyaje ili kuinusuru ndoa yake na kuepukana na mvua ya mate?
mumewe ni dactari wa meno na ni muhdzabe.
ushauri wangu ni kwamba aachane nae kasema ataolewa mara ngapi na umri umeshapita?kweli mapenzi kizaizai yanaumiza moyo
ushauri wenu unahitajika wadau
cc:wanajamvi wote wa mmu