kweli mapenzi uchafu, na udhia............

kweli mapenzi uchafu, na udhia............

haya ntamwambia ila mate mmmmmh

hv mtu unaweza kupika mboga bila kuweka viungo kama,nyanya,kitunguu na vitu vingine?mwambia ajifunze kula mlo kamili.Au wewe Ummu unaweza kula ugali bila mboga jamani?
 
Mimi namwona mpuuzi huyo mwanaume. Kwani kila unachoona kwenye picha lazima ukifanyie kazi? Akiona video zinazoonyesha mwanamke anasex na mbwa je atafuga mbwa ili asex na mkewe? Isitoshe ngono sio raha ya mmoja ni ya wote wawili. Mwanaume hapaswi kuwa mbinafsi kwenye suala la ngono. Ahakikishe njia yoyote anayotumia mkewe ameridhia kabisa bila woga. Aheshimu maoni yake kama anakataa staili fulani. Kifupi huyo mume hana sifa hizo. Na kuna uwezekano akadai ni picha kwenye simu kumbe ni vitendo anavyofanya nje huko.
 
ni mume,nimevaa uhusika kwa kuwa huyu ninaye msilimulia ni rafiki yangu, lake langu na langu pia lake

mhh kama yenu moja wewe nawe hupendi kugawa salt???
hebu kwanza wadada waeleze raha ya kulambwa chumvi, pengine rakiyo akapata the other side!
 
Ungenipa namba za huyo dada ili nimuelekeze kwa makini na kwa vitendo liwe somo kwa mume wake
 
Back
Top Bottom