ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
- Thread starter
- #101
Na bado tu,asubirie KABAAAAAAANG!
hiyo itakuwa shughuli kweli rafiki
Na bado tu,asubirie KABAAAAAAANG!
mhh kama yenu moja wewe nawe hupendi kugawa salt???
hebu kwanza wadada waeleze raha ya kulambwa chumvi, pengine rakiyo akapata the other side!
Kweli kila mtu na mtuwe..........POLE MWAYA!
ummu hujambo....nitakushauri private
Na wewe mwambie umeona kwemye simu ya shogaako! Nokia asha!
Majanga
wanawake wanafiki tu unakuta wengine hawataki mbele ila wanapenda nyuma wakifika kwa waume zao halali ndio wanajifanya hawapendi utundu kumbe unafiki tu mfano mzuri wale walionatiana temeke rip.
Duh! Kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya firauni. Mapenzi ya kuangalia kideo na kuiga mabaya.
Kweli hapo tatizo ni sheria za kwenda chumvini tu..!! Akirekebisha hapo huyo mama/dada atakuwa anadai mwenyewe..!
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
tatizo sio denda kabisa swaiba, tatizo ni mate anayobakisha ndani ya mdomo wake na kumnywesha mkewe wakati denda linaendelea na hayo mate sio kidogo ni mengi kama vile umekunywa maji kidogo afu unasukutua meno na kuyatema au yale ya mama mjamzito tena awe ameyalundika kwa muda na kuyatema.ndo hayo mate anayoteseka nayo na sio denda
ni mwanamama ambaye ameolewa na kuachika mara moja na sasa yupo ndani ya ndoa kwa miaka miwili na ushee,kwa mumewe wa kwanza kulikuwa hakuna hayo matatizo sasa ndio anaona mapenzi ni udhia na uchafu.alipoolewa na mumewe wa pili hakukuwa na tatizo lolote mpaka walipofikisha mwaka mmoja na nusu ndio kasoro zimeanza kujitokeza ni kwamba,
mumewe ameanzisha tabia ya kwenda chumvini wakati hawakuwahi kufanya hicho kitu hata siku moja!
mkewe amemuuliza umejulia wapi akamwambia ameangalia kwenye simu ya rafiki yake ambaye amehifadhi filamu za ngono sasa akaona hiyo staili akaipenda ndio akaanza kuifanyia mazoezi kwa mkewe.kikubwa na chakushangaza zaidi ni kero kubwa kwa mkewe akienda chumvini yale mate yanamwangika kwenye shuka hadi linalowa na yanayobakia mdomoni humlazimisha denda na kumtemea yote mdomoni na mkewe huyameza kwa kuogopa kumkasirisha mumewe, amevumilia ameshoka ikabidi avunje ukimya na kumueleza hicho kitendo ni bora tukiache kwa kuwa hatukiwezi mumewe amekataa na akampiga sana na kumwambia kishapa jemba ingine.mumewe anampenda na kumuacha hawezi na hicho kitendo cha kunyweshwa mate pia hawezi.afanyaje ili kuinusuru ndoa yake na kuepukana na mvua ya mate?
mumewe ni dactari wa meno na ni muhdzabe.
ushauri wangu ni kwamba aachane nae kasema ataolewa mara ngapi na umri umeshapita?kweli mapenzi kizaizai yanaumiza moyo
ushauri wenu unahitajika wadau
cc:wanajamvi wote wa mmu
Usihofu ni maujuzi tu bila kuchafua mazingira wala kumkera mwenzio. Zaidi ya hapo raha ya mate yako uyameze mwenyewe, kinyume na hapo utajuaje kama kuna madini ya chumvi.nakubali mawazo 100%
inaelekea wewe.............................................samahani lakin
Wewe lazima utakuwa pacha wangu yaani hujui tu, mawazo yako yameenda vidato mno.Watu wengine Bwana perception zenu ndio zinawatesa nani kakuambia nanihii ya mke wako ni uchafu, eti ananyweshwa maji machafu.....? Kuna watu wanameza spank! Nanilii ikisafishwa vizuri mama hana infection mbona hakuna hata chembe ya halufu ni kama unalamba lips tu, tena kwa mke wangu...... uuuwiii....?
Naomba nitoe mwongozo, hizi ni kanuni ndogondogo tu mkuu, sheria ipo kwenye mkataba wa ndoa.hivi kwani huwa kuna sheria???
Usihofu ni maujuzi tu bila kuchafua mazingira wala kumkera mwenzio. Zaidi ya hapo raha ya mate yako uyameze mwenyewe, kinyume na hapo utajuaje kama kuna madini ya chumvi.nakubali mawazo 100%
inaelekea wewe.............................................samahani lakin