I feel good
JF-Expert Member
- Oct 21, 2016
- 1,674
- 2,938
Good. Usimalize tu Alphabets zote.Nimekubali...
Yashapita hayo bila kinyongo tunajenga taifa.
Plan ziko A Hadi Z. Plan a na b zimefeli tunaenda plan C
Good. Usimalize tu Alphabets zote.Nimekubali...
Yashapita hayo bila kinyongo tunajenga taifa.
Plan ziko A Hadi Z. Plan a na b zimefeli tunaenda plan C
Maumivu ya kulazimisha mapenzi ni makali kuliko ya kuachwa. Kubali kuachwa songa mbele kwa Imani. Ukishaona mtu anakutungia makosa hata kwa ishu zisizo za msingi jua huhitajiki.... We jikatae tu hata kama unaumiaKweli maonevu makubwa kukatishwa!
Mi nikipigwa chini kwa kushitukizwa namba hiyo huwa najisikia maumivu kama yale ya kuachishwa kunyonya ziwa la mama nikingali ndogo.
Nasikia nilizua timbwili hadi akapaka kinyesi cha kuku nikaona kinyaa nd'onikatulizana, palikuwa hapatoshi!
I like that mindsetIf life Ndo inataka nizimalize namaliza tu af naanza na A. Usijibebeshe mizigo kisa kuangalia watu
Wala hata Sina shida ya kukuchezea, mtoto mzuri pliz njoo basi
[emoji706]
But umesema yeye yupo 50, si ndio?🤔 Age matters in the relationships because it affects how you make plans and decide on out comes.Sasa mid 30 na 50 ni mbaya
Since unachagua wanaume at this point,what is your goal?🤔48 bado Sanaa ila hata ingekuwa 50 bado Nina haki ya kupenda na kuamua kutokupenda . Kumkataa mtu sio kumnyanyasa ni kumpunguzia maumivu mbeleni. Ndo maama nilipoona sihitajiki kwa mwamba nikawa nimeelewa tu kiroho safi bila kinyongo.
Wewe me sio 45 Niko mid 30 punguza warakaSince unachagua wanaume at this point,what is your goal?🤔
I mean ni aidha unafuatwa sana na wanaume ,both sahihi na wa hovyo wakitaka mahusiano na wewe una decline au unafuatwa na wanaume wa hovyo wasio na sifa ya kuanza mahusiano na wewe katika umri uliopo and therefore unahangaika kujinasua ?
What is your story? And je unaweza kuwa specific na swala la umri wako,no need ya kuficha umri kwenye discussion kama hizi.
Wanazingua bwanaUkijiona sasa hv huumii kwenye mapenzi, ujue kwisha ww 😎
Pole sana, karibu kwangu tuyajenge labla ww ndo nmeandaliwaWanazingua bwana
The most painful moment imenifanya niwe sugu siumii sana kupoteza yeyote ni vile nilipoteza mzazi. Kwamba kama mzazi aliniacha nikaumia Nika survive hawa wengine ni maji tu. Yani pale Ndo nilipoona kumbe kupoteza kwenye mapenzi ni nothing....
Mpaka umelileta hapa unajali sanaAlijua kulalamika asee alaf me nkawa sijali wala nini. Kama mwezi hivi analia Lia. Sasa nimekutana na mwamba kabisa yaleyale ndo yamenigeukia. Sema nini sijali wala nini
Bado tukihitaji passport tukufuate?DJ Walete na matarumbeta ya mtae
Nakadori amerudi. Account ya awali ya Nakadori imeleta changamoto.
Niliwamiss
makaveli10 UMUGHAKA
SafiKikao ninachoweza kukaa na mtu mi cha utafutaji tu sio cha mapenzi kwa sasa
Alafu sio mjomba mimi ni ankoMwanamke ku..........bwa ni kawaida mjomba