Gentleman ni bar ipo Sinza hapaMimi ni laddy
Natumai umenielewa mkuu, ndio maana umekwepa swali kimtindo.Nina gandwa na wanawake ninao madem wengi sana, na sibembelezi,
Wewe una umri gani kwanza tuanzie hapo? Maana isije ikawa upo 48 halafu una mnyanyasa mhenga mwenzako.Yule dhaifu kweli. Mbaba karibia miaka 50 unalilia mapenzi karne hii?
Miaka 50 ni kaka wa watu?😂😂😂Ulimchezea kaka wa watu daah💔🚮😂
Nyie mabinti wa siku hizi kama mna mapepo,mzee wa miaka 50 unaendaje kumvulia chupi?Mubaba wa 50yrs ni mvulana?
Hapana alinikuta tu Niko moodless yani sikutaka tu Mambo mengi
Nyie endeleeni na mizaha,uzee uko hapo kona ya tatu. Hii speed mnayokwenda nayo mtaangusha magari nawaambieniKila mtu ni dhaifu akipenda. hasa yule anaekaa upande wa I love You 😀😀
Bora uwe unavizia upande wa I love u too
Mbona sehemu zote tamu umezifuta futa na mawino yenye kuumiza macho why?Jaman za jioni?
Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....
Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.
Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.
Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.
Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.
View attachment 3588922View attachment 3588923
Unamjua huyu dada? Kama sio binti?Nyie mabinti wa siku hizi kama mna mapepo,mzee wa miaka 50 unaendaje kumvulia chupi?
😀😀 tutawafata makwenuNyie endeleeni na mizaha,uzee uko hapo kona ya tatu. Hii speed mnayokwenda nayo mtaangusha magari nawaambieni
[emoji706]Coc am ready to be your husband, am serious on this pliz
48 bado Sanaa ila hata ingekuwa 50 bado Nina haki ya kupenda na kuamua kutokupenda . Kumkataa mtu sio kumnyanyasa ni kumpunguzia maumivu mbeleni. Ndo maama nilipoona sihitajiki kwa mwamba nikawa nimeelewa tu kiroho safi bila kinyongo.Wewe una umri gani kwanza tuanzie hapo? Maana isije ikawa upo 48 halafu una mnyanyasa mhenga mwenzako.
Nisingeziacha mjomba....Mbona sehemu zote tamu umezifuta futa na mawino yenye kuumiza macho why?
Mi mkuu huwezi nipiga chini kiwepesi namna hiyo bhana, tutafikishana mbali.
Bora limekupata.Jaman za jioni?
Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....
Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.
Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.
Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.
Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.
View attachment 3588922View attachment 3588923
Hamna cha pole hapo. It was just a payback time.Basi unipe japo pole mtoto mzuri
Kweli maonevu makubwa kukatishwa!Nisingeziacha mjomba....
Hata huyu alitaka kunifikisha mbali maama kuna chat zingine sijaziweka. All in all najua alijiskia vbaya maana mshazoea kutupiga Sisi matukio.... Ikitokea tumefanya Sisi mnaona mmeonewa