Kweli malipo duniani, ahera kuhesabiwa

Kweli malipo duniani, ahera kuhesabiwa

Yule dhaifu kweli. Mbaba karibia miaka 50 unalilia mapenzi karne hii?
Wewe una umri gani kwanza tuanzie hapo? Maana isije ikawa upo 48 halafu una mnyanyasa mhenga mwenzako.
 
Jaman za jioni?

Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....

Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.

Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.

Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.

Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.

View attachment 3588922View attachment 3588923
Mbona sehemu zote tamu umezifuta futa na mawino yenye kuumiza macho why?

Mi mkuu huwezi nipiga chini kiwepesi namna hiyo bhana, tutafikishana mbali.
 
Wewe una umri gani kwanza tuanzie hapo? Maana isije ikawa upo 48 halafu una mnyanyasa mhenga mwenzako.
48 bado Sanaa ila hata ingekuwa 50 bado Nina haki ya kupenda na kuamua kutokupenda . Kumkataa mtu sio kumnyanyasa ni kumpunguzia maumivu mbeleni. Ndo maama nilipoona sihitajiki kwa mwamba nikawa nimeelewa tu kiroho safi bila kinyongo.
 
Mbona sehemu zote tamu umezifuta futa na mawino yenye kuumiza macho why?

Mi mkuu huwezi nipiga chini kiwepesi namna hiyo bhana, tutafikishana mbali.
Nisingeziacha mjomba....
Hata huyu alitaka kunifikisha mbali maama kuna chat zingine sijaziweka. All in all najua alijiskia vbaya maana mshazoea kutupiga Sisi matukio.... Ikitokea tumefanya Sisi mnaona mmeonewa
 
Jaman za jioni?

Basi nimekumbuka hii story nimejicheka Sana. Katika pitapita zangu za utafutaji kipindi flani nikakutana na mkaka flani mfanyabiashara mkubwa tu.....

Me bwana nikawa busy na utafutaji maana mapenzi nilishayachoka... Basi tukawa kila nikipita kwenye biashara yake tu napiga story mbili tatu.... Madai yake akanielewa. Akawa sasa anasumbua kweli kweli kwamba ananihitaj.

Basi me nkajiuliza mbona niko single tu si naweza kuwa na huyu mtu tusaidiane mawazo.... Huku na huku tukakutana (elewa maana ya neno kukutana) basi bwana baada ya pale basi tu nikawa sina mood nae....kila akinitafuta nikawa namkwepaa... Akawa humble kweli msomi wa watu Katika kujua nini kimehapen me nkamjibu tu sitaki tena.

Akanisumbua Sanaa. Akawa anajiuliza nimepatwa na nini. Eti ananiuliza kwani nilitaka nini kwake? Mbona nimemchezea.... ! Me nikamblok nikamute. Sasa na Mimi yamenikuta hayo hayo nimejikuta najicheka sanaaa baada ya kuhuzunika.

Kweli malipo ni hapahapa.
Leo nitamtoa kufuli akinitafuta nimuombe msamaha... Ila sitataka mazoea.

View attachment 3588922View attachment 3588923
Bora limekupata.
What goes around, comes around like a Hoola Hoop!!!
 
Nisingeziacha mjomba....
Hata huyu alitaka kunifikisha mbali maama kuna chat zingine sijaziweka. All in all najua alijiskia vbaya maana mshazoea kutupiga Sisi matukio.... Ikitokea tumefanya Sisi mnaona mmeonewa
Kweli maonevu makubwa kukatishwa!

Mi nikipigwa chini kwa kushitukizwa namba hiyo huwa najisikia maumivu kama yale ya kuachishwa kunyonya ziwa la mama nikingali ndogo.

Nasikia nilizua timbwili hadi akapaka kinyesi cha kuku nikaona kinyaa nd'onikatulizana, palikuwa hapatoshi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom