Kwaya ya Barabara ya 13 Ulyankulu

Kwaya ya Barabara ya 13 Ulyankulu

sasa hivi wamebakia wakina Rose Muhando na mauno yao, hivi umeona video ya Rose ya wololo? huyu dada ananichefua hadi basi, sijui mshauri wake ni nani huyu mwanamke, na sijui halipiti kwenye mitandao likasoma maoni ya watu akajirekebisha? achukue mfano wa Bahati, Christina shusho etc, hizo nyimbo nilizisikia nikiwa mdogo but mpaka leo nikizisikia nasuuzika roho sana sana, hazichuji kabisaa.
Mkuu Nyimbo za Bahati na Shusho ulikuwa mdogo? Au nimesoma vibaya?
 
Hizi ndizo nyimbo/muziki bora wa Injili nilipata kusikiliza
************************************
1. Katika Viumbe Vyote
2. Mmoja wa Wanasheria
3. Mtu Ajaribiwapo
4. Mtu Mkubwa Mmoja
5. Neno Alikuwa kwa Mungu
6. Nyumba Juu ya Mwamba
7. Samsoni Mnadhiri
8. Twasoma Mwezi wa Sita
9. Ufunuo wake Yohana
10. Wakati ule wa Nuhu
************************************


Kulikua na barabara ya 13 na Mapigano Kwaya!

Hawa watu walikua wanaimba sn jamani!
 
Nipo hapa nasikiliza nyimbo za zamani hadi machozi yananilenga. Kwa kweli hawa waimbaji wa zamani wamebarikiwa sana. Ila kuna watu wana roho mbaya mno. Baada ya kuona tunaweza kupata nyimbo hizo YouTube, wameenda kuzifuta. Waacheni watu tusikilize nyimbo za Mungu. Roho mbaya ya nini???

Napenda sana nyimbo za Barabara 13, Arusha Town Choir, Upendo Choir (Hai), Nkinga Christian Choir (NCC), na Patandi Choir (Arusha).
 
Kuna albam 1 inaitwa PESA, sijui waliimba kwaya gan..bonge 1 pa albam
 
Nipo hapa nasikiliza nyimbo za zamani hadi machozi yananilenga. Kwa kweli hawa waimbaji wa zamani wamebarikiwa sana. Ila kuna watu wana roho mbaya mno. Baada ya kuona tunaweza kupata nyimbo hizo YouTube, wameenda kuzifuta. Waacheni watu tusikilize nyimbo za Mungu. Roho mbaya ya nini???

Napenda sana nyimbo za Barabara 13, Arusha Town Choir, Upendo Choir (Hai), Nkinga Christian Choir (NCC), na Patandi Choir (Arusha).
Mkuu nadhani ni kwa nia nzuri tu ya kutaka wahusika wapate jasho lao kwa kazi kubwa waliyoifanya.ingawa sina uhakika maana walijitoa haswaa.

Isijekuwa wahuni tu wanataka watumie fursa.
 
Kuna vijana wa Poneka pale Igunga au Nkinga hivi, noma sana ilikuwa
 
Mkuu kupata albumu nzima inaweza kuwa ngumu. Unaweza kutaja baadhi ya nyimbo zilizomo kwenye album hii nikutafutie?
[/QUOTE

ninayo tape lakini pale juu haijaandikwa majina ya nyimbo lakini bila shaka zitakuwa na majina haya 1. Upendo wa mungu, furahia ukombozi, pilato alipomtwaa, noeli, shamba lenye thamani
 
Nipo hapa nasikiliza nyimbo za zamani hadi machozi yananilenga. Kwa kweli hawa waimbaji wa zamani wamebarikiwa sana. Ila kuna watu wana roho mbaya mno. Baada ya kuona tunaweza kupata nyimbo hizo YouTube, wameenda kuzifuta. Waacheni watu tusikilize nyimbo za Mungu. Roho mbaya ya nini???

Napenda sana nyimbo za Barabara 13, Arusha Town Choir, Upendo Choir (Hai), Nkinga Christian Choir (NCC), na Patandi Choir (Arusha).
Mkuu hawa patandi kila nikiwasikia hasa wimbo wao mmoja unaoimba "mambo yaliyotokea meru yanasikitisha" napata huzuni ya ghafla ya mjomba wangu aliyefia vita vya dayosisi huko miaka ya 1193/4[emoji29]
 
Patandi Kwaya Ile album baada ya Vita inaitwaje?

Naitafuta sana
 
Hizi ndizo nyimbo/muziki bora wa Injili nilipata kusikiliza
************************************
1. Katika Viumbe Vyote
2. Mmoja wa Wanasheria
3. Mtu Ajaribiwapo
4. Mtu Mkubwa Mmoja
5. Neno Alikuwa kwa Mungu
6. Nyumba Juu ya Mwamba
7. Samsoni Mnadhiri
8. Twasoma Mwezi wa Sita
9. Ufunuo wake Yohana
10. Wakati ule wa Nuhu
************************************
Ukiipata hii album nitag.
 
Nami usinisahau copy.
Mnaweza kujikumbusha hapa:



Mie nilikuwa Mpenzi mkubwa wa Nzega Mission Choir. Pia Kwaya ya Kanisa Kuu Arusha na yule Mwalimu wao mwenye madevu, walikuwa wananimaliza kwa uimbaji wao.

Ila kwa sababu fulani fulani, hadi leo ninapenda sana na kuzitafuta nyimbo za Mwanza Town Choir. Hii wengi wanachanganya na Kwaya ya AIC, hapana. Hii nasikia ilishakufa kama Kwaya na sijui wapi naweza kuipata kanda yao nzima yenye hizo nyimbo.

Waweza kusikiliza hapa chini kuanzia wimbo wa 141-145. Kama kuna mtu anazo basi ntanunua CD au kaseti yake na kuirekodi na kumrudishia copy ya CD akitaka.

https://archive.org/details/Injili
 
Hizi ndizo nyimbo/muziki bora wa Injili nilipata kusikiliza
************************************
1. Katika Viumbe Vyote
2. Mmoja wa Wanasheria
3. Mtu Ajaribiwapo
4. Mtu Mkubwa Mmoja
5. Neno Alikuwa kwa Mungu
6. Nyumba Juu ya Mwamba
7. Samsoni Mnadhiri
8. Twasoma Mwezi wa Sita
9. Ufunuo wake Yohana
10. Wakati ule wa Nuhu
************************************
Naona hakuna aliyezipakua hizi nyimbo. Mimi ninazo zote mp3 tena quality nzuri. Kesho nikiwasha kompyuta yangu mpakato nitaziweka hapa zote. Nikisahau mnikumbushe wadau. Huwa nazisikiliza nyimbo hizi nikiwa na huzuni au kama nimetingwa na shughuli nzito inayohitaji utulivu wa fikra na roho.
 
Kuna kwaya nahisi ni ya singida,, inaanza na igizo la mtu mmoja anaitwa SABINA, kati ya nyimbo kuna mmoja inamuhusu NEBUKADNEZA, hiyo ilikuwa about 1998,, kuna mwenye kuweza kuunganisha dots hizo nikaipata hii CD naitafuta sana
 
Nakukumbusha Mdau
Naona hakuna aliyezipakua hizi nyimbo. Mimi ninazo zote mp3 tena quality nzuri. Kesho nikiwasha kompyuta yangu mpakato nitaziweka hapa zote. Nikisahau mnikumbushe wadau. Huwa nazisikiliza nyimbo hizi nikiwa na huzuni au kama nimetingwa na shughuli nzito inayohitaji utulivu wa fikra na roho.
 
Back
Top Bottom