The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,059
- 8,190
Kwema wanajf nashindwa kuelewa hivi vitu kwa wanawake wa sasa
1. Wengi wanatazama material things kama magari, uchawi wao ni magari yaan ukiwa na nyumba labda uibebe kichwani waone uko na nyumba au kiwanja/shamba.
2. Wengi wanatanguliza pesa sana yaani nimejaribu kwa madada wengi afu hii mi naona ni kero mfano unachukua namba unachat naye first time ashaanza unasikia samahani naomba nitumie sh. 30000 au sijui nirushie sh.5000 ya bando.
Kiukweli hii kitu inakera no upendo hapa hata kama nina iyo pesa.
3. Hili swala linaniface sana hadi naona amna haja ya mahusiano bora ubaki pekee yako kuliko kero za hivi.
Mi nachukulia seriously relationship afu nakuta hii kitu first time tu mizinga kibao kuombana ombana.
Au tuassume wanawake wa sasa amna aliye serious umalaya tu ndio unatrend,
maana mapenzi ya sasa yamekuwa ni utapeli au biashara fulani ya gambling kamari.
Hata kama utalipa pesa upewe penzi bado amna mapenzi hapo ni uhuni lakini naona wanaume ndio tunaonyanyaswa.
Pengine mimi binafsi nasemaga kama lady atanifuata kwa pesa atakuwa amejiharibia sana.
1. Wengi wanatazama material things kama magari, uchawi wao ni magari yaan ukiwa na nyumba labda uibebe kichwani waone uko na nyumba au kiwanja/shamba.
2. Wengi wanatanguliza pesa sana yaani nimejaribu kwa madada wengi afu hii mi naona ni kero mfano unachukua namba unachat naye first time ashaanza unasikia samahani naomba nitumie sh. 30000 au sijui nirushie sh.5000 ya bando.
Kiukweli hii kitu inakera no upendo hapa hata kama nina iyo pesa.
3. Hili swala linaniface sana hadi naona amna haja ya mahusiano bora ubaki pekee yako kuliko kero za hivi.
Mi nachukulia seriously relationship afu nakuta hii kitu first time tu mizinga kibao kuombana ombana.
Au tuassume wanawake wa sasa amna aliye serious umalaya tu ndio unatrend,
maana mapenzi ya sasa yamekuwa ni utapeli au biashara fulani ya gambling kamari.
Hata kama utalipa pesa upewe penzi bado amna mapenzi hapo ni uhuni lakini naona wanaume ndio tunaonyanyaswa.
Pengine mimi binafsi nasemaga kama lady atanifuata kwa pesa atakuwa amejiharibia sana.