Kwanini Wazungu hawafungui maduka Kariakoo?

Kwanini Wazungu hawafungui maduka Kariakoo?

Wanapenda kuzalisha badala ya kununua na kuchuuza.
ndo maana hata kama mfanyabishara mdogo anaanzisha startup ya kuproduce kitu fulani
 
Wazungu wanaangalia kuwekeza kwenye sekta yenye muelekeo wa miqka mingi mbele……biashara ya duka haina muono mzuri wa mbele……inaweza kubadirika muda wowote.
 
Halafu wauze nini. Subwoofer feki za kichina, maua ya plastiki au tochi za solar??
 
Nmekaa na wazungu kwa muda; wazungu wengi hawapendi sehemu zenye kelele nyingi. Na ukiangalia k.koo kelele zmejaa!
 
Nmekaa na wazungu kwa muda; wazungu wengi hawapendi sehemu zenye kelele nyingi. Na ukiangalia k.koo kelele zmejaa!

Nahisi hua wanakoma huku kwa kelele maana bongo kwa kelele kila sehemu bar halaf zina band weeee
 
wadau,

huwa najitahidi sana kuzunguka sehemu mbali mbali hapa dar na nje ya dar pia katika shughuli zangu binafsi lakini katika kuzunguka kote naona wanaofungua maduka ya nguo, stationary, spea za magar nk.. Ni wahindi, waarabu na wachina.

Yawezekana wapo lakini sijawahi kuwaona na hata kama wapo basi ni wachache saaana. Swali, ni kwanini wazungu hawafungui maduka???

Ukiangalia wazungu wengi waliopo nchini ni either wameajiriwa au wana kampuni zao wenyewe.

Nimejiuliza sana, nikaja na jibu moja nawewe utatoa mtizamo wako.

1. Nchi nyingi za ulaya hazina maduka ovyo ovyo kila mtaa. Unaweza kukuta eneo kama mwenge nzima ina super market mbili au tatu na hakuti maduka mengine mtaani hivyo swala la kufungua fungua maduka hawajazoea.

Kwanini wazungu hawana maduka kariakoo?

Dr. mchunguzi huru (phd)

dk hivi ni kwanini wazungu awana kigugumizi kama

aaaaaaaah aaahhhhhh lavvvvvvvvv yuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Dddddddddoooooonttttttttt taaaaaaaacccchi miiiiiiiiiiii
 
Nahisi hua wanakoma huku kwa kelele maana bongo kwa kelele kila sehemu bar halaf zina band weeee

Wazungu wenye mkwanja wa kutosha hawawez kukaa k.koo sababu ya kelele! Na wengi wanawadharu waafrika kwa mambo mengi!
 
Wadau,

Huwa najitahidi sana kuzunguka sehemu mbali mbali hapa Dar na nje ya Dar pia katika shughuli zangu binafsi lakini katika kuzunguka kote naona wanaofungua maduka ya nguo, stationary, spea za magar nk.. ni wahindi, waarabu na wachina.

Yawezekana wapo lakini sijawahi kuwaona na hata kama wapo basi ni wachache saaana. Swali, ni kwanini wazungu hawafungui maduka???

Ukiangalia wazungu wengi waliopo nchini ni either wameajiriwa au wana kampuni zao wenyewe.

Nimejiuliza sana, nikaja na jibu moja nawewe utatoa mtizamo wako.

1. Nchi nyingi za ulaya hazina maduka ovyo ovyo kila mtaa. Unaweza kukuta eneo kama Mwenge nzima ina super market mbili au tatu na hakuti maduka mengine mtaani hivyo swala la kufungua fungua maduka hawajazoea.

KWANINI WAZUNGU HAWANA MADUKA KARIAKOO?

Dr. MCHUNGUZI HURU (PhD)

PHD...jamii forum sasa umebaki na ma PHD.....ndio maana sasa ma great thinkers wamehama forum imebaki kama kijiwe tu..
Bora na sisi tupumzike
 
Last edited by a moderator:
Wataweza kumiliki misukule? maana kariakoo bila msukule haujauza

Mkuu umeongea jambo lakiufundi sana,,,! Manake ukikuta maduka yalivyobanana nawatu wanapiga kz simchezo huwa nabaki na maswali tu,,,!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom