juma30

Senior Member
Jun 25, 2022
149
421
Wana JF Wakulima tunataka kuona bei ya mbolea inashuka nchini, pia tunataka kuona mikakati ya Serikali ya kushusha bei ya mbolea lakini maelezo aliyoyatoa Waziri Bashe hayaleti unafuu wowote kwa wakulima.

Tatizo la Bei ya mbolea kupanda haliwezi kumalizwa na ruzuku kwani ruzuku inayotolewa haifiki hata asilimia 20 ya mahitaji sasa unapotuamini wananchi huku ukijua haikidhi mahitaji una maana gani

Tatizo lako Waziri Bashe unataka kutulazimisha bei ambazo hazipo huku ukituambia sijui bei za soko la dunia ila hata kama leo unaamini unaficha ukweli iko siku utaumbuka vibaya na hivyo vingereza vyako vya Very Danger. Mara anasema bei alizotaja kwenye Bajeti kuna F.O.B rate na kuna C.I.F rate mbona kwenye hotuba yako hayo maneno ya C.I.F hayapo. Soma kiambatanisho kwa hotuba yake

Anayoyasema Mpina sisi ndio tunayaona tulioko huku kwenye kilimo bei zinapanda kila siku tulitegemea Waziri ungesikiliza mawazo ya wabunge badala ya kuwa mkali huku sisi tunaangamia, KUMBUKA CHEO NI DHAMANA

Mpina wakati anasema bungeni aliomba Spika wa Bunge aunde Tume kuchunguza makandokado yaliyomo kwenye kupanda kwa bei ya mbolea kiholela kwanini wewe unaogopa kuundwa kwa tume hiyo na wakati ulituambia kwa kutamba kabisa bungeni kuwa you are ready to bare any cost this is what i believe kuhusu mbolea na kwanini kila unapoulizwa swala la bei ya mbolea una panic sana au una maslahi gani binafsi kwenye suala hilo.
 

Attachments

  • 5.pdf
    122.6 KB · Views: 7
Wana JF Wakulima tunataka kuona bei ya mbolea inashuka nchini, pia tunataka kuona mikakati ya Serikali ya kushusha bei ya mbolea lakini maelezo aliyoyatoa Waziri Bashe hayaleti unafuu wowote kwa wakulima.

Tatizo la Bei ya mbolea kupanda haliwezi kumalizwa na ruzuku kwani ruzuku inayotolewa haifiki hata asilimia 20 ya mahitaji sasa unapotuamini wananchi huku ukijua haikidhi mahitaji una maana gani

Tatizo lako Waziri Bashe unataka kutulazimisha bei ambazo hazipo huku ukituambia sijui bei za soko la dunia ila hata kama leo unaamini unaficha ukweli iko siku utaumbuka vibaya na hivyo vingereza vyako vya Very Danger.

Anayoyasema Mpina sisi ndio tunayaona tulioko huku kwenye kilimo bei zinapanda kila siku tulitegemea Waziri ungesikiliza mawazo ya wabunge badala ya kuwa mkali huku sisi tunaangamia, KUMBUKA CHEO NI DHAMANA

Mpina wakati anasema bungeni aliomba Spika wa Bunge aunde Tume kuchunguza makandokado yaliyomo kwenye kupanda kwa bei ya mbolea kiholela kwanini wewe unaogopa kuundwa kwa tume hiyo na wakati ulituambia kwa kutamba kabisa bungeni kuwa you are ready to bare any cost this is what i believe kuhusu mbolea na kwanini kila unapoulizwa swala la bei ya mbolea una panic sana au una maslahi gani binafsi kwenye suala hilo.
 
Ulweli ni kwamba mbolea imepanda bei dunia nzima sio hapa tu.asilimia kubwa mbolea inayosambaa duniani inatoka russia . Vita ya ukraine na urusi italeta njaa hasa kwenye nchi zinazoendelea.wanasiasa wa kitanzania hawataki kuwaambia ukweli
 
Ulweli ni kwamba mbolea imepanda bei dunia nzima sio hapa tu.asilimia kubwa mbolea inayosambaa duniani inatoka russia . Vita ya ukraine na urusi italeta njaa hasa kwenye nchi zinazoendelea.wanasiasa wa kitanzania hawataki kuwaambia ukweli
Mbolea imeanza kupanda tokea mwaka Jana mwezi wa 7
Acheni kusingizia vita
 
Mfumuko wa bei umeanza 2019 polepole hadi Sasa lakini nchi ya wahuni wanasingizia vita ya Ukraine
 
Ulweli ni kwamba mbolea imepanda bei dunia nzima sio hapa tu.asilimia kubwa mbolea inayosambaa duniani inatoka russia . Vita ya ukraine na urusi italeta njaa hasa kwenye nchi zinazoendelea.wanasiasa wa kitanzania hawataki kuwaambia ukweli
Kilichopandisha bei ya mbolea ni kufutwa kwa mfumo wa BPS uliokuwa unasimamia bei elekezi sasa mwaka 2021 wakafuta utaratibu huo na kuruhusu wafanyabishara wajipangie bei
 
Back
Top Bottom