Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

Africa ndo sehemu pekee duniani ambayo utakuta mtu amekaa anasema "napoteza poteza mda hapa ifike saa kumi nikaangalie simba na yanga" hahaha wachina wametusikia sasa wanakuja kwa kasi ya ajabu mpaka maandazi wanauza
Kuendelea kwa Taifa la china kumetokana na sababu za balance of power duniani! na hii ilikuwa ni moja ya mikakati ya kupunguza nguvu za urusi na sio sababu ya kujali muda.
Hata hivyo,nikirudi katika jibu lako jielize ni kwa nini hao wao na moyo wa kujali muda kuliko sisis kama muda ndio kigezo cha hayo uliyoyasema
 
Fine, tuliletewa elimu ili tuendelee kuwa vibaraka na tuendelee kutawaliwa; Je ni miaka mingapi tangu mkoloni aondoke?
Tumefanya Nini ktk elimu ili kuondoa makando kando aliyopandikiza mkoloni?
swali zuri,lakini tujiulize ni kwa nini hao wakoloni walitoka huko ulaya na kuja kututawala sisi na sio sisi kwenda kao.
Mkuu hatujaweza kufanya chochote kupitia elimu kutokana na kuwa na Elimu ya kimapokeo! Lakini hata tukisema tufanye kwa sasa ni ngumu sana kutokana na hiyo mifumo amabayo haweiweka toka enzi hizo mfano huwezi kuendelea kwa kutumia lugha ya mwingine,ukiangalia mataifa yanayoongoza duniani kwa uvumbuzi wa vitu mbalimbali yanatumia lugha zao kwenye mitaala ya Elimu.Sote tunajua kulibadilisha hili kwa sasa ni ngumu! je tufanyaje??
 
Kwani IQ kuwa ndogo au kubwa...inapimwa au kujulikana kwa vigezo gani.?
kuna njia wanazotumia,ila njia nzuri ni ugunduzi wa vitu au mambo mbalimbali yanayofanywa hapa duniani.
chukulia mfano mtu aliye vumbua hesabu za calculus au zile law zilizotumika kuunda vitu kama ndege,meli,mabomu n.k
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg
Sasa utafiti afanye mtu mweupe then unategemea nini? Hakuna ukweli hapo kwenye iq mana utafiti wanafanya wenyewe tena kwa vigezo vyao.
 
Iq haipimwi kwa kazi za mazoea
Bali uwezo wakufikiri na kugundua jambo jipya
Uwezo wakufikiri ni tofauti uwezo wakukumbuka
Unaweza ukawa unapata alama kubwa kwenye mtihan kwa uwezo mkubwa wakukumbuka jambo ambalo mwenzio ndio aliligundua
( iq inaendana na mambo ya creation na innovation)
ni kweli kabisa creation na innovation ndio kipimo cha IQ . Huwa kuna kitu nakifikiri bila majibu wanasayansi wanasema IQ za mtu zinatoka kwa Mama na sio Baba lakini katika creation na innovation za mambo na vitu mbalimbali duniani asilimia 98 zimegunduliwa na Wanaume nasio wanawake,swali ni ama IQ hizo zinztoka kwa wanawake ni kwa nini wao wasiongeze kwa gunduzi hizo
 
yes exactly,kama tungekuwa sawa hii mada isingekuwepo sa hivi pia tusingekuwa tunadharauliwa na wenzetu kama anavyosema mtoa mada.

Sasa ni kwanini Mungu apange watu wa jamii fulani wawe na IQ ndogo na jamii nyingine iwe na IQ kubwa ilihali tunajua kwamba kwake hakuna upendeleo wa aina yeyote ile na sisi ni mfano wake?
 
ni kweli kabisa creation na innovation ndio kipimo cha IQ . Huwa kuna kitu nakifikiri bila majibu wanasayansi wanasema IQ za mtu zinatoka kwa Mama na sio Baba lakini katika creation na innovation za mambo na vitu mbalimbali duniani asilimia 98 zimegunduliwa na Wanaume nasio wanawake,swali ni ama IQ hizo zinztoka kwa wanawake ni kwa nini wao wasiongeze kwa gunduzi hizo

Ndio maana umekuwa econometrician nimekuelewa sana mkuu
 
IQ na Elimu kipi ni kipi
IQ ndogp: nakufanya usiweze kujitambua na kuyatambua mazingira yako
IQ na elimu vina uhusiano wa karibu sana. Elimu duni inachangia sana kuendeleza kizazi cha watu wenye IQ ndogo.

Na ndio chanzo cha kuwa tegemezi kwa kila jambo.
 
Sidhani kama tuna IQ ndogo. IQ zetu ni kubwa sana tatizo zinaonekana ndogo kwasababu ya wachache waliopata nafasi kuwa na roho mbaya iliyopitiliza. Roho mbaya za wivu na visasi vinafunika ukubwa wa IQ zetu...

Mfano halisi ni hapa kwetu nyumbani... watu kama @munguwaDar a.k.a DB anaweza kufunika ukubwa wa IQ za watu milioni 4 wa Dar kwakuwa tu amepata nafasi ya kuonesha ubandidu wake hadharani...

Na huo ni mfano mmoja tu, kama si mambo ya kufanywa kama Lema, ningemtaja na mwingine tena... Lakini naogopa bwana yule si wa kujaribiwa.
Mkuu mda wote ww n siasa tu...hil taifa limeshakosea tangu Zaman.....tungeanza na kusafsha bunge hakika haya mambo mengne yangekua smooth... Wabunge wetu kwa sasa walipaswa wawe na degree na sio form 6 au kujua kusoma na kuandika...huu u mungu mtu unatokea kwa sababu ya bunge letu kuwa na zero brain...watajadil nn zaid ya udaku kama Elim n zero...? Kwa styl wacha tusubil miaka 100% mingne
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg

Hebu nijuze kwanza IQ ni nini..!!??
Halafu nijuze pia na factors affecting IQ whether nature or nurture .
Baada ya hapo ndio tuje tujadili.
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg
hivi unaelewa kwamba study ya mwaka jana ilionyesha the most intelligent person duniani ni mtu mweusi, na alitokea Nigeria?
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg
Labda tuwekane sawa nini IQ.
Unaposema fulani ana IQ maana yake amefanya kitu ambacho kimeleta manufaa bila ya kuleta athali yeyote.
Mtu anapofanya kitu zaidi yako na kinaleta madhala basi huyo ni mwaribifu wala sio ana IQ.
Kwa hiyo watu weusi ndio tuna IQ kubwa kuliko wao .kwani chochote tunachofanya hakileti madhara.
Bali wao weupe kila kitu wanachofanya kina madhara tena makubwa
Je iq yao ni ipi?
 
Sidhani kama tuna IQ ndogo. IQ zetu ni kubwa sana tatizo zinaonekana ndogo kwasababu ya wachache waliopata nafasi kuwa na roho mbaya iliyopitiliza. Roho mbaya za wivu na visasi vinafunika ukubwa wa IQ zetu... Mfano halisi ni hapa kwetu nyumbani... watu kama @munguwaDar a.k.a DB anaweza kufunika ukubwa wa IQ za watu milioni 4 wa Dar kwakuwa tu amepata nafasi ya kuonesha ubandidu wake hadharani... Na huo ni mfano mmoja tu, kama si mambo ya kufanywa kama Lema, ningemtaja na mwingine tena... Lakini naogopa bwana yule si wa kujaribiwa.

Mimi naona ufafanuzi wako unakubaliana na hoja. Maana unazidi kuonesha waafrika tulivyo ndo hoja ya mtoa hoja
 
Back
Top Bottom