Kumbe! Hii ni ktk Tanzania Je, ktk nchi nyingine zenye blacks Nini tatizo la kuwa na IQ ndogo?Baada ya wakoloni kuondoka ikafuata Nyerere kuhakikisha hapinduliwi, watu hawalali njaa, umoja, huku akiwa hayupo tayari kuufuata ubepari.
Sera za ulimu za kipindi hiko hazikua na msaada mpaka leo usimamizi na utekelezaji wa sera za elimu ni mtihani.
Yaani ni kama tumeamua tuwe tunafanya 'trial and error' katika elimu yetu, hapo ndipo tumekwama miaka yote kwakua hatujapata wa kuendeleza alichoacha mwenzake kila mmoja anakuja na jipya.