Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

Kwanini watu weusi wana IQ ndogo sana?

Sera za viwanda zilifanikiwa.tulikuwa mpaka spare za magari tunachonga.viwanda Mangula,kiltex,uda na kadhalika.tena vilizalisha kwa miaka mingi tuu.Wachina wameweza vuka toka mfumo mmoja kwenda mwingine bila matatizo.Sisi tumeharibu katika kumvuka toka socialism kwenda ubepari.tumeshindwa kutumia mtaji wa wanzilishi.kuna W atakaosema Nyumba ulianza kumporomokea mjengaji,kuna ukweli lakini alituonyesha kuwa Penye nia kuna njia.
Wachina walivuka na matatizo mkuu.
Ile big leap forward ilikula sana nguvu kazi maana baa la njaa liliteketeza maisha ya wengi.

Uimara wao ndiyo leo umewaweka pale.

Mla rushwa atanyongwa, mzembe atapata adhabu kali n.k
 
Mkuu umeniwahi nlotaka kuchangia kama wewe. Kuthibitisha angalia jamii za tz ambapo ugali sio chakula kikuu ni watu wenye uwezo mkuba kiakili. Wachaga, wahaya na wengineo angalia mmasai aliefanikiwa kwenda shule uwezo wao ni mkubwa sana.
Muongo, chakula asili cha mwanadamu ni matunda, mbogamboga nafaka. Kama IQ ni chakula, jamii zinazokula hivyo ndo ziwe na IQ kubwa. Halafu, nadhani mnachanganya IQ na vitu vingine hapa,
 
Mkuu hiyo ni hatar sana
Binafsi huwa nawaza sana na bado nakosa majibu
Mfano nchin kwetu
Tunamagazati ya michezo, siasa, na udaku mengi sana kuliko magezeti ya mambo ya science na technology japo watu tuone picha na kusoma kwa lugha yetu juu ya uguduz uwezi ona jambo hilo.
Angalia vipind vya tv na radio zetu utaona bado jambo hilo linaukakasi
Redio pendwa utaona inavipind vingi vyakuchambua wasanii na wanasiasa kuliko mambo ya ugunduzi, kwa hali hiyo unafikir lin tutakuja badilika
yani mkuu jaribu kupata picha kuwa sisi madini tulikuwa tunachezea alivyokuja mzungu akona hii ni mali kwaiyo sisi hata uwezo wa kutambua kuwa hii nimali tulikuwa hatuna naona nature kidogo inatubana ,
tutaendlea sawa lakini sio kam mzungu
 
Uko sahihi kabisa mkuu na ndiyo hapa tunajikuta tunaona watu wa side B wana iq kubwa kwakua wanafanya ugunduzi na vitu kama hivyo.

Ukweli mkuu elimu yetu inatuandaa kuja kuishi maisha mazuri ambayo ni kuitumia vizuri taaluma yako ikuingizie pesa not otherwise.

Na ndio maana mtu aliyesoma na hana hela jamii inamuona kama alipoteza muda tu huko shuleni.
 
Kukamatw kama panzi na kuuzwa ilikuwa sababu ya IQ NDOGO.
NAMNA MAMBO YANAVYENDESHWA NCHINI NI SABAB YA WATAWALA WEUS
IQ ndogo ndivyo zilivyo ,,badala ya kuwaza Kutafuta ufumbuzi wa tatizo la Ukame lililolikumba Taifa ili sasa Wasomi wenye CV na Vyeti vzr waje na majawabu ya namna ya kulitatua tatizo hili,,

Hakuna watu wapo bise kutaka CV ya Makonda tu,, Ukame,, Maradhi,, Vifo vya watoto wadogo vyote hivyo hakuna anayefikiria zaidi CV ya Makonda tu.
IQ ndogo unawajadili wenzako
 
Kwl akili zetu badala tulale twnde makazin tunachat wazung Sasa iv wamepumzisha akili kuwaza mambo yamsingi sisi huku daud bashite

Mkuu hata kubadilishana mawazo tu humu JF ni njia moja wapo ya ku activate akili.

Kingine wengine muda huu ndio wasaa muafaka wa kufanya mambo mengine tofauti na kulala.
 
Youngblood

IQ ni nini? Unafuatilia masuala ya IQ ilivyoanza na jinsi sasa ukiongelea IQ miongoni mwa wasomi wa cognitive sciences unaonekana umepitwa na wakati?

Aliyetengeneza silaha za nuclear zinazoweza kuua binadamu wote na ambaye hajatengeneza nani ana akili?
 
mzungu katengeneza mfumo wa kutufanya tusipendane ss kwa ss...mf wamarekani weusi wanajua fika afrika ndipo asili yao. ..pia inajulikana fika Africa ni bara lenye rasilimali nyingi..lkn cha ajabu.kila siku wazungu wanakuja kuwekeza..ni nadra sana kusikia black America amekuja kuwekeza Africa...tafakari
 
Ogopa sana mtu sahani moja ya ubwabwa,kofia na kanga vinamsahaulisha matatizo ya miaka mitano!
 
Ukiamini hivyo utabaki hivyo, kwa mimi siamini usemi wako na misemo mingine inayo fanana na huo wako, zaidi nacho kiona watu weusi wananyimwa fursa na pia wanadumazwa akili na hao unauwaita weupe hivyo kujikuta wapi chini ki fikra wakati wote, japo wengine wanajitambua nakujikwamua sana , japo tone na damu haliwezi kuonekana baharini lakini ndio hivyo sio wote wenye lQ ndogo kama unavyo sema wewe…
 
hahahahaaaa,,,, wanene vp? anyway ni kutokana na vyakula vyenye nguvu/wanga na vinywaji vyetu vile
 
Kwa sbb sisi weusi tunapenda Ku deal na mambo mepesi mepesi kama vile kujadiri kwa muda mrefu CV ya MAKONDA wakati wenzetu huwa wanajadiri na kuyapatia ufumbuzi mambo mazito mazito sisi muda wote mawazo yetu yapo kwenye kujadili Papuchi na Chura tu.
Ndio maana tuna iQ ndogo, coz hili halikuwa la kujadili Bali kuwaondolea uma mashaka kisha imani irudi na mambo yaendelee
 
kwanza hiyo IQ yenyewe ni ya kwao, hawawezi kubali tugawane sawa kwa sawa au tuwazidi, lazima wajipendelee wao kwanza..
na sisi (weusi) tutengeneze cha kwetu jama tusitake kuwa sawa na wenye IQ yao.
 
Swali ni zuri lakini ingefaa liulizwe kwa nini watu weusi hatuchangii katika maendeleo ya sayansi, teknolojia na sanaa kuendana na uwiano wa jumla yetu tukilinganishwa na wengine duniani? Hilo suala ni pana kuliko la IQ.
Ukizungumza ya IQ lazima kwanza uone IQ huwa inapima mambo gani. Inapima uwezo wa mhusika kuelewa mambo fulani ukilinganisha na umri alio nao. Mtoto mdogo wa miaka 5 akijua mambo fulani yaliyochaguliwa kwenye mtihani kuliko mtoto wa miaka 10 basi huyo mtoto wa miaka 5 ana IQ kubwa. Hapo unaweza kujua mambo kadhaa yanayoweza kusababisha tofauti ya uelewa.
Lakini suala la watu weusi kutofanya vizuri katika ujumla wake ni pana zaidi na ni la kweli. Sababu muhimu zinzoturudisha watu wote weusi ni zifuatazo:
1. Hatutunzi historia yetu na kuitumia: Wana salsafa wanatueleza kuwa "Wale ambao wanaipuza historia watairudia." Na ndivyo inavyotokea kwa sisi weusi. Tunarudia makosa ya babu zetu. Bado tunauza hata wenzetu!
2. Hatuna mambo yanayotuunganisha watu weusi, hasa kuhusu namna ya kutunza miili afya na lishe kwa hiyo ubongo wetu kwa wastani ni mdogo: hatuna common diet makini wala tabia au code ya usafi ya mtu mweusi.
3. Uongozi wa mtu mweusi ni dhaifu: Hatukumsikiliza hata Obama alipotueleza tatizo letu ni kuabudu viongozi badala ya kujenga taasisi-institutions- hasa good governance. Marais wa Afrika waliona kama anawatukana! Ndiyo tatizo la uongozi.
4. Hatuna upeo wa muda mrefu wala maono yake ya kutetea vizazi vijavyo. Tunapenda raha ya leo peke yake. Mtu mweusi anaona ana muda mwingi sana kumbe wenzetu hata wanapoishi miaka 100 wanaona ni muda mfupi! Niliwahi kumsikia Steve Jobs kuhusu muda wakati wa uhai wake!
5. Hatujakubaliana mafundisho muhimu na ya msingi kuhusu mambo muhimu ya kuzingatia katika maisha kwa watoto wetu tangu wakiwa wadogo hadi miaka 7 wakati wanaanza kuwa na akili zao za kuishi.
Mwisho:
Inawezekana kuna mengine zaidi lakini tungeanza na haya, hata wastani wa IQ katika jamii ya watu weusi ingepanda.
Shukran sana.
 
Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.

YOUNGBLOOD
1cc6d28eb8e235a7d8aec86c58ca57f3.jpg
"the tragedy of Africa"
[HASHTAG]#kwahiyo[/HASHTAG] unategemea 'white' afanye research halaf yeye ajiwek na IQ ndogo????
 
Ukiingia weusi utakuwa wakati wa kulala au kupumzika, na ukiingia weupe wakati wa kuhangaika na pirika. Kwahio jibu lako lipo hapa watu weusi hatujaletwa duniani kuhangaika bali kupumzika tu. Na hao weupe ndio wapo na mahangaiko yao ya kidunia wakati sisi huku mabwanyenye tumetulia.



Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Ni ukweli kabisa, tumewekwa kuwatawala fikra zao katika ulimwengu wa roho na wao wahangaike tu kutufanyia kazi.., ndiyo maana sisi ni shida ku memorize kitu! Sisi watu weusi ni wafalme..
 
Back
Top Bottom