Mkuu ndio maana kuna forum kama hizi kubadilishana vitu mbalimbali maana hamna ajuae kila kitu,tupe hiyo historia kaka na kilichopeleka hao weupe kutuchukiaMkuu mi naona wewe ndio ulikosa cha kuandika ungejua hivyo ungeanzia Historia ya mtu mweusi, mambo aliyokutana nayo.
Lakini wewe umekurupuka tu.
Mimi ninaeelewa historia ya mtu mweusi tangu mwanzo nafahamu fika
Na chanzo cha karibu ngozi nyeupe ku!chukia mtu mweusi.
Well said!Sidhani kama tuna IQ ndogo. IQ zetu ni kubwa sana tatizo zinaonekana ndogo kwasababu ya wachache waliopata nafasi kuwa na roho mbaya iliyopitiliza. Roho mbaya za wivu na visasi vinafunika ukubwa wa IQ zetu...
Mfano halisi ni hapa kwetu nyumbani... watu kama @munguwaDar a.k.a DB anaweza kufunika ukubwa wa IQ za watu milioni 4 wa Dar kwakuwa tu amepata nafasi ya kuonesha ubandidu wake hadharani...
Na huo ni mfano mmoja tu, kama si mambo ya kufanywa kama Lema, ningemtaja na mwingine tena... Lakini naogopa bwana yule si wa kujaribiwa.
Mkuu mi naona wewe ndio ulikosa cha kuandika ungejua hivyo ungeanzia Historia ya mtu mweusi, mambo aliyokutana nayo.
Lakini wewe umekurupuka tu.
Mimi ninaeelewa historia ya mtu mweusi tangu mwanzo nafahamu fika
Na chanzo cha karibu ngozi nyeupe ku!chukia mtu mweusi.
Historia inaonesha waarabu ndiyo waasisi wa hiyo mifumo yote ya elimu, kuanzia kuandika mpaka kuhesabu.Kumbuka tunatumia mifumo ya elimu iliyoanzishwa na wao,maana yake hata hao wasomi,wagunduzi wote walitoka kwao toka enzi na enzi
Swali ni kwa nini wao ndio walianzisha na sio sisi???
siyo wote hulu mtaani kuna vichwa, nadhani wale wanaojitokeza kuwa viongozi ndo wana IQ ndogo mfano hapa kwetu. mkuu wa mkoa na baba yakeWadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.
YOUNGBLOOD
Watanzania wanapenda kubisha kila kituMkuu ndio maana kuna forum kama hizi kubadilishana vitu mbalimbali maana hamna ajuae kila kitu,tupe hiyo historia kaka na kilichopeleka hao weupe kutuchukia
Mi IQ yangu n zaidi ya mzungu sasa sjui nitakua na rangi ganiWadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.
YOUNGBLOOD
![]()
mkuu kwenye kipengele cha sisi ungetoa ..alaf ungeweka mimi.Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.
YOUNGBLOOD
![]()
Mkuu yangu naona iko poa maanaMe naona we ndio una ndogo kuliko yeye.. 0.000000000004... Maana kuuliza si ujinga
Historia inaonesha waarabu ndiyo waasisi wa hiyo mifumo yote ya elimu, kuanzia kuandika mpaka kuhesabu.
Hata sisi wagunduzi tulikua nao humu humu Wapare na vyuma, Uvinza na chumvi.
Elimu tuliyoletewa ilikua imelenga kutengeneza vibaraka siyo wagunduzi wala wataalamu, tangu miaka hiyo mpaka leo Tanzania tumekua tunafanya majaribio na elimu yetu na ndiyo kisa bado hatujamaster kipi cha kukiweka ili kionekane katika ulimwengu wa macho.
Nikiangalia hapa kwenye picha naona vinaenda kabisa mkuu.Nafikir youngblood utakuwa umeelewa comment yangu ya mahusiano kati ya ukubwa wa nyeti na uwezo wa akili
Mfano wachina
Mkuu hii itahitaji kuandika threadMkuu ndio maana kuna forum kama hizi kubadilishana vitu mbalimbali maana hamna ajuae kila kitu,tupe hiyo historia kaka na kilichopeleka hao weupe kutuchukia
na ndo mana tunaendelea kuonekana tuna IQ ndogo tunapenda kuingiza siasa kila mahali.Sidhani kama tuna IQ ndogo. IQ zetu ni kubwa sana tatizo zinaonekana ndogo kwasababu ya wachache waliopata nafasi kuwa na roho mbaya iliyopitiliza. Roho mbaya za wivu na visasi vinafunika ukubwa wa IQ zetu...
Mfano halisi ni hapa kwetu nyumbani... watu kama @munguwaDar a.k.a DB anaweza kufunika ukubwa wa IQ za watu milioni 4 wa Dar kwakuwa tu amepata nafasi ya kuonesha ubandidu wake hadharani...
Na huo ni mfano mmoja tu, kama si mambo ya kufanywa kama Lema, ningemtaja na mwingine tena... Lakini naogopa bwana yule si wa kujaribiwa.
Kwani IQ kuwa ndogo au kubwa...inapimwa au kujulikana kwa vigezo gani.?Wadau naomba tujuzane ni kwanini sisi watu weusi IQ zetu ni ndogo sana kuliko hawa wenzetu wenye ngozi nyeupe? Je ndiyo jinsi mwenyezi mungu alivyotuumba au aina ya maisha yetu tunayoishi ndiyo chanzo?
Au kama kuna sababu zozote za kisayansi naomba tujuzane.
YOUNGBLOOD
![]()