Kwanini watu wanaogopa kufa?

Kwanini watu wanaogopa kufa?

Na kwanini mtu akikaribia kufa anaomba maji??

Au kama yupo na mtu atamtuma chochote akirudi kashakufa?

Baadhi wanaumwa sana/mnauguza eeeh,,siku mnamuona anaendelea vizuri anaefrahi,baada ya masaa anakata moto,hii inakuwaje?
Kifo kina Mambo Mengi sana mwingine kwasababu ya kiburi Cha uzima akikaribia kufa anawaomba msamaha wote aliowakwaza

Mwingine kama alikuwa hana Dini anarudi kundini chapu kwa haraka (huyu hofu inakuwa imemtawala)
 
Sio maneno tu ni kweli hayo mambo yapo
Binadamu ni viumbe wa kutengeneza story za mambo, zile story zenye mysteries au conspiracies ndani yake zinavutia, kusambaa na kudumu kwenye jamii kirahisi na ukubwa.

Katika watu elfu moja wanaokufa Tanzania kila siku watakuwepo watakaotaka maji, watakaowatuma watu vitu na watakaochangamka muda mfupi kabla ya kifo, pia watakuwepo ambao hawatataka maji, hawatawatuma watu vitu na hawatachangamka kabla ya kifo. Kundi la pili halitengenezi story nzuri za kugusa hisia kama kundi la kwanza kwa hiyo hutazisikia story zao kama kundi la kwanza.
 
Kufa maana yake , ni ubongo na organ zote zina feli , hivyo mifumo yote inashindwa kuji control.
Nimekupata mkuu lakini kwanini usiwe kutapika hadi iwe kutoa kutoa taka mwili.
Akili yangu ndogo inaniambia ni sababu ya uoga husababisha tutoa haja kubwa/ndogo.
 
Kufa maana yake , ni ubongo na organ zote zina feli , hivyo mifumo yote inashindwa kuji control.
Kufa maana yake ni kujivua gamba(mwili) roho inaendelea na maisha bila kuchoka.
 
Logically usichokifahamu kinaogofya
Sadhguru "death is the cosmic joke"
 
Nimekupata mkuu lakini kwanini usiwe kutapika hadi iwe kutoa kutoa taka mwili.
Akili yangu ndogo inaniambia ni sababu ya uoga husababisha tutoa haja kubwa/ndogo.
Mgonjwa au mtu anayeishiwa nguvu ni rahisi zaidi kujisaidia kuliko kutapika.
 
Nimekupata mkuu lakini kwanini usiwe kutapika hadi iwe kutoa kutoa taka mwili.
Akili yangu ndogo inaniambia ni sababu ya uoga husababisha tutoa haja kubwa/ndogo.
Kwenye moment ya kufa sijawahi kuona mtu akiogopa , wapo wanaotapika pia inategemea alikua akiumwa nini
 
Maandalizi yapı. Fikiria una mtoto miaka 5 Leo hii unakufa! Utakuwa umemuandalia nini? Hata ukinunua bond, mpaka afike 18, ili ajitegemee, atakuwa kachoka. Kuna vya kuandaa na kuna ambavyo haviandaliwi
Nimekuelewa mkuu unaongelea upendo wa dhati kwa watu wako wa karibu Lakini Asili haielewi kuzaliwa ni Asili na kufa ni Asili inatenda pia.
 
Kwenye moment ya kufa sijawahi kuona mtu akiogopa , wapo wanaotapika pia inategemea alikua akiumwa nini
Well said, tunaogopa sisi tulio hai ila mtu akiwa katika critical point kifo hakiogipeshi, Kuna watu wamekunywa sumu, wamejipiga risasi n.k hawaogopi kabisa...Kuna point ukifika "death is nothing"
Kuna Wazee wanawauta mpaka vijana wao na kuwaaga (nimeshuhudia hii)
 
Back
Top Bottom