Kwanini watu wanaogopa kufa?

Kwanini watu wanaogopa kufa?

Bwashee bomu halina formula. Linaweza likafyeka miguu tu na ukabakia hai na kiwiliwili chako kwa siku kadhaa, halafu ukaondoka ukiwa kwenye hali ya maumivu makali.
Oooh hapo mbaya ila lile ka boom💥 nakutawanya kila kitu ni fasta tu
 
Nilishawahi pata ajali , nilizimia , sikujua kilicho endelea, ningekufa hata nisingeju kama nilikufa au kuwepo tu😅
Umeona eeeh😁

Ukisukumwa huelewi kinachoendelea tena,unashtuka upo kitandani na mashuka meupe🙌
 
Issue si kuogopa Kifo, tatizo kubwa ni madhara ya Kifo chako kwa utakaowaacha wakiwa bado wanakitegemea. Mateso yatakayo wapata ndiyo kizungu Mkuti.
Mkuu, ndo maana nikasema maandalizi muhimu chochote kinaweza kutokea anytime
 
😁😁😁
Babu yetu kafa mwezi uliopita alikuwa na 107,huyu mkitoka nje yupo ndani peke yake nae anataka mumbebe akae nje, akikaa ndani chumbani Sasa ataita ilimradi tu apate wa kupiga nae story.
 
Mkuu, ndo maana nikasema maandalizi muhimu chochote kinaweza kutokea anytime
Maandalizi yapı. Fikiria una mtoto miaka 5 Leo hii unakufa! Utakuwa umemuandalia nini? Hata ukinunua bond, mpaka afike 18, ili ajitegemee, atakuwa kachoka. Kuna vya kuandaa na kuna ambavyo haviandaliwi
 
Nje ya mada. Kwanini baadhi ya watu dk za mwisho za kifo huwa wanajisaidia.
Naomba jibu la kitaalamu au la mantiki.
Kufa maana yake , ni ubongo na organ zote zina feli , hivyo mifumo yote inashindwa kuji control.
 
Watu wanaogopa kufa kwa sababu hawajui wanapoelekea baada ya kifo, dini ndio zimezidisha uoga kwa kuwahakikishia watu kuna maisha baada ya kifo bila uthibitisho wowote ule.
Yoda hapana...
Watu wanaogopa kufa kwa sababu ya maumivu sio kama unavosema ww..

Just imagine upo kwa gari imefeli break.. mda ule mtu anaogopa anapoelekea au anaogopa yale maumivu.

Mimi nasemaga kama kuna uwezekano wa mtu ukifikia hatua za mwisho unawambia wakuchome ile nusu kaputi then kabla ujaamka wana kupiga sumu ya kutokuamka moja kwa moja.

Unakufa bila maumivu kama walivokufa wale waliozama na chombo chini ya maji
 
Na kwanini mtu akikaribia kufa anaomba maji??

Au kama yupo na mtu atamtuma chochote akirudi kashakufa?

Baadhi wanaumwa sana/mnauguza eeeh,,siku mnamuona anaendelea vizuri anaefrahi,baada ya masaa anakata moto,hii inakuwaje?
 
Na kwanini mtu akikaribia kufa anaomba maji??

Au kama yupo na mtu atamtuma chochote akirudi kashakufa?

Baadhi wanaumwa sana/mnauguza eeeh,,siku mnamuona anaendelea vizuri anaefrahi,baada ya masaa anakata moto,hii inakuwaje?
Mengine ni maneno tu, myths na urban legends za watu.
 
Back
Top Bottom