Kwanini watu wa mkoa wa Kagera wanaongoza kwa kipato cha chini licha ya Wahaya kutamba sana?

Mhaya

JF-Expert Member
Aug 20, 2023
1,658
4,866
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake wana kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unajua tena: wasomi, wenye pesa, watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
 
Takwimu zinaonesha kwamba, Kagera ni kati ya mikoa ambayo watu wake na kipato kidogo zaidi. Pamoja na yote tunayofahamu kuhusu wenyeji wa mkoa huo (Si unaju tena: wasomi , watu wa kwenda nje ya nchi na mengine). Mkoa huo umezidi kudorora kwenye kila nyanja ya maendeleo.

Toa Maoni: unahisi wahaya wanafeli wapi licha ya wao kuwa miongoni mwa makabila matano makubwa Tanzania na kutamba kwenye Majiji kama Dar na Mwanza kwa Elimu, Pesa pia kuongoza kwa kuvuka Border kwenye Ughaibuni, lakini Kagera inapumulia Oxygen kimaendeleo?

Mhaya wa mjini DR HAYA LAND jibuni hoja hizi pamoja na watu wengine.
Kipato Cha Mtu mmoja mmoja kagera wapo vizuri ila Swala la uchumi huwa wanatazama zaidi revenue mapato yanayokusanywa Sasa bukoba Hakuna viwanda wala product Ambazo zinazalishwa kwa wingi compare to other regions

Yale makusanyo kutoka katika Biashara (revenue ) ndo huwa wanayatumia Kama kigezo kuwa bukoba au kagera ni mkoa masikini .

Personally ukienda bukoba hasa bukoba mjini, karagwe, bukoba vijijini n.k watu Kama watu hawana Maisha Magumu wanaishi vizuri wananyumba za bati mashamba ya ndizi ya kutosha mifungo n.k

Sasa ukija Kama dsm ukatafuta Mtu mmoja mmoja utashangaa kuona a lot of people wana shida Sana na hali ngumu za Maisha kulinganisha na watu wa bukoba kagera

Lakini dsm ina viwanda , bandari , Biashara nyingi n.k Ambazo zinaingiza mapato Makubwa serikalini. That is way Wanasema dsm ipo vzr kiuchumi .

Ila tukiangalia quality ya Maisha ya Mtu mmoja mmoja hakuna mkoa watu wanaishi vizuri Kama Bukoba kagera fatilia vizuri.
 
Wahaya na wasukuma wana ulimbukeni flan hivi wakifanikiwa ila mhaya kazidi mno, ni kama matumbo yanachoma choma wasipofanya masifa.

hata anunue pikipiki tu ni atajipitisha mtaani ili mjue, nilishawai shuhudia muhaya kaingia ofisi flan hajazima gari lengo lake aonekane ana hela kumbe ni Ulimbukeni wa kiwango cha lami.
 
Kipato Cha Mtu mmoja mmoja kagera wapo vizuri ila Swala la uchumi huwa wanatazama zaidi revenue mapato yanayokusanywa Sasa bukoba Hakuna viwanda wala product Ambazo zinazalishwa kwa wingi compare to other regions

Yale makusanyo kutoka katika Biashara (revenue ) ndo huwa wanayatumia Kama kigezo kuwa bukoba au kagera ni mkoa masikini .


Personally ukienda bukoba hasa bukoba mjini, karagwe, bukoba vijijini n.k watu Kama watu hawana Maisha Magumu wanaishi vizuri wananyumba za bati mashamba ya ndizi ya kutosha mifungo n.k


Sasa ukija Kama dsm ukatafuta Mtu mmoja mmoja utashangaa kuona a lot of people wana shida Sana na hali ngumu za Maisha kulinganisha na watu wa bukoba kagera

Lakini dsm ina viwanda , bandari , Biashara nyingi n.k Ambazo zinaingiza mapato Makubwa serikalini. That is way Wanasema dsm ipo vzr kiuchumi .


Ila tukiangalia quality ya Maisha ya Mtu mmoja mmoja hakuna mkoa watu wanaishi vizuri Kama Bukoba kagera fatilia vizuri.
Wewe ndo umejibu uhalisia.
 
Kipato Cha Mtu mmoja mmoja kagera wapo vizuri ila Swala la uchumi huwa wanatazama zaidi revenue mapato yanayokusanywa Sasa bukoba Hakuna viwanda wala product Ambazo zinazalishwa kwa wingi compare to other regions

Yale makusanyo kutoka katika Biashara (revenue ) ndo huwa wanayatumia Kama kigezo kuwa bukoba au kagera ni mkoa masikini .


Personally ukienda bukoba hasa bukoba mjini, karagwe, bukoba vijijini n.k watu Kama watu hawana Maisha Magumu wanaishi vizuri wananyumba za bati mashamba ya ndizi ya kutosha mifungo n.k


Sasa ukija Kama dsm ukatafuta Mtu mmoja mmoja utashangaa kuona a lot of people wana shida Sana na hali ngumu za Maisha kulinganisha na watu wa bukoba kagera

Lakini dsm ina viwanda , bandari , Biashara nyingi n.k Ambazo zinaingiza mapato Makubwa serikalini. That is way Wanasema dsm ipo vzr kiuchumi .
Kwa nini sasa tusirudi ku-invest kwenu, maana umegusia hakuna viwanda na biashara za kukuza miji, we huoni ni muda sasa wahaya kurejea makwao na kuanza kujenga kama walivyofanya wamisri?

Ki ukweli uwezi kulinganisha maisha ya mtu anayeishi maisha nyumba ya bati dar, na mtu anayeishi nyumba nzuri bukoba... Dar es salaam expenditure ni kubwa kuliko kagera, huyo mtu anayeishi maisha ya kwenye nyumba za bati uchumi wake au pato lake kwa siku anaweza kumzidi mtu anayekaa nyumba nzuri karagwe...

Ifike muda sasa wahaya turudi na kuanza kuboresha majumbani kwetu, na kwenye miji yetu na kufungua biashara za maana... utakuta Mhaya huyo huyo anamiliki mashule, maduka na biashara nzuri Mwanza au Dar, lakini anashindwa kuwekeza kagera
 
Hakuna viwanda,tra inakusanya kidogo ukilinganisha na population. Ila jamaa wako vzr
Upo sahihi Sana ukipima individual watu wa bukoba wanaishi vizuri Sana chakula wanacho mvua zipo samaki wapo so watu wa kule sio watu wa Biashara kubwa kubwa Wala viwanda n.k lakini kumkuta mtu ana Maisha Magumu labda apende yeye.


Sasa hii ni tofauti na mikoa mingine Kama DSM one mistake one goal


Niseme bukoba hata Mtu mjinga anaishi vizuri analala Sehemu Safi na Milo 3-4 anapata hii huwezi kuipata Sehemu Kama DSM Kama hauna Akili lazima uzekee uswahilini .
 
Kipato Cha Mtu mmoja mmoja kagera wapo vizuri ila Swala la uchumi huwa wanatazama zaidi revenue mapato yanayokusanywa Sasa bukoba Hakuna viwanda wala product Ambazo zinazalishwa kwa wingi compare to other regions

Yale makusanyo kutoka katika Biashara (revenue ) ndo huwa wanayatumia Kama kigezo kuwa bukoba au kagera ni mkoa masikini .


Personally ukienda bukoba hasa bukoba mjini, karagwe, bukoba vijijini n.k watu Kama watu hawana Maisha Magumu wanaishi vizuri wananyumba za bati mashamba ya ndizi ya kutosha mifungo n.k


Sasa ukija Kama dsm ukatafuta Mtu mmoja mmoja utashangaa kuona a lot of people wana shida Sana na hali ngumu za Maisha kulinganisha na watu wa bukoba kagera

Lakini dsm ina viwanda , bandari , Biashara nyingi n.k Ambazo zinaingiza mapato Makubwa serikalini. That is way Wanasema dsm ipo vzr kiuchumi .


Ila tukiangalia quality ya Maisha ya Mtu mmoja mmoja hakuna mkoa watu wanaishi vizuri Kama Bukoba kagera fatilia vizuri.
If hakuna viwanda wala uzalishaji wala kilimo.
Hao watu hela wanatoa wapi?
Au ulidhani vitu hivyo vinatengana?
Msipobadilika maendelea kukamata mkia, Si ndio nyie mliambiwa na Chalamila mnafungua maduka saa 5 asubuhi?
 
Kwa nini sasa tusirudi ku-invest kwenu, maana umegusia hakuna viwanda na biashara za kukuza miji, we huoni ni muda sasa wahaya kurejea makwao na kuanza kujenga kama walivyofanya wamisri?

Ki ukweli uwezi kulinganisha maisha ya mtu anayeishi maisha nyumba ya bati dar, na mtu anayeishi nyumba nzuri bukoba... Dar es salaam expenditure ni kubwa kuliko kagera, huyo mtu anayeishi maisha ya kwenye nyumba za bati uchumi wake au pato lake kwa siku anaweza kumzidi mtu anayekaa nyumba nzuri karagwe...


Ifike muda sasa wahaya turudi na kuanza kuboresha majumbani kwetu, na kwenye miji yetu na kufungua biashara za maana... utakuta Mhaya huyo huyo anamiliki mashule, maduka na biashara nzuri Mwanza au Dar, lakini anashindwa kuwekeza kagera
Wahaya wanaishi Maisha yenye maana na uhalisia wao wako Mbele ya Muda uwekezaji wa mashule wahaya wamewekeza Sana fatilia shule zinazofanya Vizuri Tanzania lazima utazikuta shule Kama Kaizirege na Kemebos ambako nimesoma Mimi Ada kipindi hicho ilikuwa 2.5Mil 2012 .


Shule wamejengh Sana wahaya Tena shule Bora Sana zenye viwango vya chuo kikuu.
 
If hakuna viwanda wala uzalishaji wala kilimo.
Hao watu hela wanatoa wapi?
Au ulidhani vitu hivyo vinatengana?
Msipobadilika maendelea kukamata mkia, Si ndio nyie mliambiwa na Chalamila mnafungua maduka saa 5 asubuhi?
Life is about setting standard sisi hatushindani na mtu tunakula tunachotaka maji yapo Umeme haukatiki tunatoa Uganda ,samaki sangara ndizi kibao , Elimu tunayo Sasa unadhani tutake Nini Tena Mkuu au unataka MUNGU atupe Nini sisi huku bukoba tupo Mbele ya Muda tunaishi kwa UPENDO Uhuru na Amani

Pesa tunauza maharage huku kilimo Cha maharage na ndizi kinatupa hela Sana Tena Sana .
 
Life is about setting standard sisi hatushindani na mtu tunakula tunachotaka maji yapo Umeme haukatiki tunatoa Uganda ,samaki sangara ndizi kibao , Elimu tunayo Sasa unadhani tutake Nini Tena Mkuu au unataka MUNGU atupe Nini sisi huku bukoba tupo Mbele ya Muda tunaishi kwa UPENDO Uhuru na Amani

Pesa tunauza maharage huku kilimo Cha maharage na ndizi kinatupa hela Sana Tena Sana .
Mmeseti standard gani?
Unaelewa maana ya Standard lakini we Mhaya?
Nani anawarefer nyie kama Benchmark ya mafanikio?
Msibobadilika mtaendelea kukamata mkia.
 
Usijifungie, zunguka na mikoa mingine.....
Mikoa gani Mkuu ambao unaweza kuusogelea bukoba kwa good life standard haupo hata mmoja Mimi nimetembea Sana ogopa mkoa ambao unapata mvua yakutosha ogopa Sana ogopa watu wasomi ogopa Sana ogopa watu walikutangulia Kupata Exposure ya kuijua Dunia ogopa sana
 
Back
Top Bottom