kombaME
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 2,115
- 2,809
No, ni nchi nzima. Kwasiku nzima tena kwenye ngome ya CCM unaandikisha watu 6. Hali si Nzuri kwa kweliUngesema Chadema ndio wamekata tamaa ingependeza zaidi.Arusha na Moshi nimepita kule chadema wengi wameapa hawaji piga kura milele.Sijajua sababu Ni Nini.