Mnyika: Pamoja na kudai Tume Huru Wananchi wanatutaka tushiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa iwe mvua liwe jua Watalinda kura!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,998
142,023
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa

Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua.

===

mnyika.jpeg

"Mimi nimepata wasaa wa kusikiliza wananchi kwenye mikutano ya operesheni +255 Katiba mpya na kwenye mikutano ya hadhara, nimepata wasaa wa kuwasikiliza wananchi kwenye maandamano hata kwenye maisha ya kawaida wananchi wanatuambia iwe mvua, iwe jua pamoja na kudai marekebisho katika uchaguzi lakini jiandaeni kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 na hawa ni wananchi mitaani, vijijini walioporwa haki yao ya uchaguzi wanatuambia jamani eeh safari hii msisusie shirikini uchaguzi" -John Mnyika

Source: Jambo TV
 
Mawakala wenu tu 2020 walinunuliwa karibia wote kwenye majimbo mliyosema ndo ngome zenu, unadhani kuna mwananchi gani ataenda kulinda kura za Chadema, Uongo tu wa wanasiasa, wanatafuta gear ya kusema public opinion ndo imefanya washiriki uchaguzi, haha
 
Mawakala wenu tu 2020 walinunuliwa karibia wote kwenye majimbo mliyosema ndo ngome zenu, unadhani kuna mwananchi gani ataenda kulinda kura za Chadema, Uongo tu wa wanasiasa, wanatafuta gear ya kusema public opinion ndo imefanya washiriki uchaguzi, haha
Ngoja tuone
 
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa

Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua

Source: Jambo TV
Wawakilishi wa vyama ndiyo kazi yao, wengine baada ya kupiga kura rudi nyumbani, usubirie matokeo!
Nakupeni wasio kwa ccm na chadema, chagueni Wawakilishi waaminifu, sio mnaweka mtu mwenye njaa akionyeshwa laki moja anapangawa.
 
Hawana ubavu wa kususa. Wasuse ili iweje?Watatafuta visingizio na wakishiriki watagaragazwa vibaya.Mnyika kaona aseme ukweli hawana ubavu wa kususa.
 
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa

Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua

Source: Jambo TV
Wako tayari kufa kwa utitiri? Maana CCM wataua kama walivyozoea.........
 
Wewe tayari huwezi kulinda kura!
Naweza, na lazima uwe tayari kufa. Kufa, kufa, kufa au uwe na mabomu na wewe wakirusha na wewe unarusha, short of that ni ngumu maana tunaogopa kufa. Tukiwa kama wakenye, then tutazilinda kura.
 
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa

Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua.

===


"Mimi nimepata wasaa wa kusikiliza wananchi kwenye mikutano ya operesheni +255 Katiba mpya na kwenye mikutano ya hadhara, nimepata wasaa wa kuwasikiliza wananchi kwenye maandamano hata kwenye maisha ya kawaida wananchi wanatuambia iwe mvua, iwe jua pamoja na kudai marekebisho katika uchaguzi lakini jiandaeni kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 na hawa ni wananchi mitaani, vijijini walioporwa haki yao ya uchaguzi wanatuambia jamani eeh safari hii msisusie shirikini uchaguzi" -John Mnyika

Source: Jambo TV
amepigaje apo 🐒

eti watashiriki au hawashiriki uchaguzi?
 
Kinachotekea wasimamizi wote wale yaani:

1. Msimamizi mkuu.
2. Msimamizi msaidizi namba moja.
3. Msimamizi msaidizi mamba mbili.
4. Karani muongoza wapiga kura.

Wapewa maelekezo na mkurugenzi kivyovyote akuna mpinzani kupita.

Wanahusika kwenye kupiga kura zaidi ya mia mia kwenye vituo, wanatumbukiza kwenye balloon box.

Wanawafanyia fitina mawakala wa upinzani waonekane hawajatimiza vigezo vya kusimamia kura za wagombea wao hivyo lango linakuwa wazi kwa wizi.

Nishawai kushuhudia kura zinapigwa upya usiku kituo fulani hivi yameletwa mabox mapya na karatasi mpya, wasimamizi wanashirikiana kukocpy namba za ID ya vitambulisho vya wapiga kura zilizopigiwa upinzani na kupiga upya kura kupigia CCM.

Upinzani mjipange sana, jamaa wanambinu chafu sana.

Saizi wapo wanadiscuss sehemu zenye shida upande wao wanajipanga wagombea wa upinzani pindi wanaporudisha fomu wawapore njiani kabla hazijafika kwa wasimamizi wa uchaguzi.

Wamepanga waanze na uchaguzi wa serikali za mitaa.
 
Kinachotekea wasimamizi wote wale yaani.
1. Msimamizi mkuu.
2. Msimamizi msaidizi namba moja.
3 msimamizi msaidizi mamba mbili.
4. Karani muongoza wapiga kura
Wapewa maelekezo na mkurugenzi kivyovyote akuna mpinzani kupita.
Wanahusika kwenye kupiga kura zaidi ya mia mia kwenye vituo, wanatumbukiza kwenye balloon box.
Wanawafanyia fitina mawakala wa upinzani waonekane awajatimiza vigezo vya kusimamia kura za wagombea wao hivyo lango linakuwa wazi kwa wizi.
Nishawai kushuhudia kura zinapigwa upya usiku kituo Fulani hivi yameletwa mabox mapya na karatasi mpya, wasimamizi wanashilikiana kukocpy namba za I'd ya vitambulisho vya wapiga kura zilizopigiwa upinzani na kupiga upya kura kupigia ccm.
Upinzani mjipange Sana jamaa wanambinu chafu Sana ,
saizi wapo wanadiscuss sehemu zenye shida upande wao wanajipanga wagombea wa upinzani pindi wanaporudisha fomu wawapore njiani kabla azijafika Kwa wasimamizi wa uchaguzi.
Wameplan waanze na uchaguzi wa serikali za mitaa
acha upotoshaji 🐒

uchaguzi siku zote ni huru, wa wazi na wa haki ispokua kama umelenga kuchonganisha na kuleta fujo 🐒

hata hivyo utadhibitiwa vizuri sana mapema mno 🐒
 
Hawana ubavu wa kususa. Wasuse ili iweje?Watatafuta visingizio na wakishiriki watagaragazwa vibaya.Mnyika kaona aseme ukweli hawana ubavu wa kususa.
Point nyepesi Sana
 
Katibu mkuu wa Chadema John Mnyika amesema Wananchi wanawataka washiriki Uchaguzi wa serikali za mitaa

Wananchi wamesema watalinda kura ije mvua lije jua.

===


"Mimi nimepata wasaa wa kusikiliza wananchi kwenye mikutano ya operesheni +255 Katiba mpya na kwenye mikutano ya hadhara, nimepata wasaa wa kuwasikiliza wananchi kwenye maandamano hata kwenye maisha ya kawaida wananchi wanatuambia iwe mvua, iwe jua pamoja na kudai marekebisho katika uchaguzi lakini jiandaeni kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka 2024 na hawa ni wananchi mitaani, vijijini walioporwa haki yao ya uchaguzi wanatuambia jamani eeh safari hii msisusie shirikini uchaguzi" -John Mnyika

Source: Jambo TV
Tindo
 
Back
Top Bottom