Kwanini Watanzania wengi wanaonekana hawana hamasa ya kupiga kura uchaguzi wa Serikali za mitaa 2019?

Safari hii kuna gali linapita mtaani kwangu likihamasishe watu wakajisajili majina yao ili waweze kushiriki uchaguzi huu wa serikali mtaa kitu nilichoshangaa watu wengi wako bize na shughuli zao hata hawamsikilizi mtoa matangazo, wengi yaani tofauti na zamani nilikuwa na hamsha hamsha ya uchaguzi ila safari hiii sijui ni mini tatizo.
Sie ccm tumekamia kisawa sawa,nyie ukawa endeleeni kuwa bize mitandaoni
 
Sasa si ndo kususa nchi? Kama unajiachia tu yeyote aongoze sababu hutaki kupiga kura maana yake ni nn? Hata kama Kuna wizi kura zinapokuwa nyingi ndivyo ugumu wa kuiba unavyoongezeka na kugomea matokeo kwa wananchi kunavyokuwa na nguvu. Nenda kule umasaini kwenye ukabila umuweke Mpare cjui mchaga halafu uibe kura useme kashinda kampita mtu wao uone kama watakuelewa.

Usipopiga kura ujue ushampigia usiyempenda.

Tena uzuri kwakuwa hatupigi kura inabidi wawaachie na familia zao uongozi, cha muhimu ni kuwa msg sent kwamba ccm na jiwe hawakubaliki. Hatuna muda wa kwenda kupata vilema visivyo na sababu ili ccm watangazwe washindi. Na huyo aliyeingia madarakani kihayawani hawezi kupata ushirikiano kama mtu aliyeingia kwa kura za watu wengi. Uongozi wa hivyo hauna tofauti na uongozi uliopindua nchi. Kuna ladha ya kuongoza ukiwa umechaguliwa na wengi, na kuna ladha tofauti kuongoza kwa kulazimisha.
 
Najua wengi watanipinga ila ukweli ni kwamba watu wengi wanaonekana hawana mudi wala mpango wa kupiga kura wala kushiriki uchaguzi mdogo huu wa serikali jambo hili nimelishuhudia

Safari hii kuna gali linapita mtaani kwangu likihamasishe watu wakajisajili majina yao ili waweze kushiriki uchaguzi huu wa serikali mtaa kitu nilichoshangaa watu wengi wako bize na shughuli zao hata hawamsikilizi mtoa matangazo, wengi yaani tofauti na zamani nilikuwa na hamsha hamsha ya uchaguzi ila safari hiii sijui ni mini tatizo.
Wacha wampigie Mbuzi Gita, wameyataka wenyewe.
 
Tena uzuri kwakuwa hatupigi kura inabidi wawaachie na familia zao uongozi, cha muhimu ni kuwa msg sent kwamba ccm na jiwe hawakubaliki. Hatuna muda wa kwenda kupata vilema visivyo na sababu ili ccm watangazwe washindi. Na huyo aliyeingia madarakani kihayawani hawezi kupata ushirikiano kama mtu aliyeingia kwa kura za watu wengi. Uongozi wa hivyo hauna tofauti na uongozi uliopindua nchi. Kuna ladha ya kuongoza ukiwa umechaguliwa na wengi, na kuna ladha tofauti kuongoza kwa kulazimisha.
Mkuu Tindo umeongea point kubwa sana, hakuna haja ya kutoana vilema ili hali wanaoenda kushinda ni CCM hata ufanye vipi.

Kwahiyo wawekane wao kama wanavyotaka kama walidhani kuna mtu watamvunja kiuno wamenoaaaa!!!
 
Acha kupiga mayowe kama Mbweha, umesusia Uchaguzi wewe na nani? Wenzako wamepanga foleni hapa wanaitafuta demokrasia ya kweli.

Jitahidi kuwapelekea na chakula cha mchana hapo kwenye foleni, ili waendelee kuipata demokrasia ya kweli. Hatuna muda wa kupata vilema na kupoteza maisha kisa ccm wanalazmisha kutangazwa washindi. Mkiona watu ni wachache iteni na wanafunzi wawasaidie kuwa wengi zaidi. Halafu huko kwenye vituo vya kujiandikisha wekeni picha za sgr, flyover, ndege nk ili watu wavutike zaidi. Wajanja tumeshtuka kugeuzwa mandondocha. Tunatumia njia ya kistaarabu kuwaonyesha wakati ukuta na ccm sasa sio wakati wake kuongoza tena. Halafu kwakuwa mtakuwa wenyewe ccm kwenye uongozi, tungeni na sheria kabisa kwamba uchaguzi wowote ccm lazima watangazwe washindi.
 
Tena uzuri kwakuwa hatupigi kura inabidi wawaachie na familia zao uongozi, cha muhimu ni kuwa msg sent kwamba ccm na jiwe hawakubaliki. Hatuna muda wa kwenda kupata vilema visivyo na sababu ili ccm watangazwe washindi. Na huyo aliyeingia madarakani kihayawani hawezi kupata ushirikiano kama mtu aliyeingia kwa kura za watu wengi. Uongozi wa hivyo hauna tofauti na uongozi uliopindua nchi. Kuna ladha ya kuongoza ukiwa umechaguliwa na wengi, na kuna ladha tofauti kuongoza kwa kulazimisha.
Huko ndo kususa.
Mambo ya massage sent mm huwa sioni umuhimu wake sababu kama Kuna ukweli basi mlengwa wa hiyo massage ndo msababishi, sasa anatumiwaje ujumbe ambao anaujua?
 
Najua wengi watanipinga ila ukweli ni kwamba watu wengi wanaonekana hawana mudi wala mpango wa kupiga kura wala kushiriki uchaguzi mdogo huu wa serikali jambo hili nimelishuhudia

Safari hii kuna gali linapita mtaani kwangu likihamasishe watu wakajisajili majina yao ili waweze kushiriki uchaguzi huu wa serikali mtaa kitu nilichoshangaa watu wengi wako bize na shughuli zao hata hawamsikilizi mtoa matangazo, wengi yaani tofauti na zamani nilikuwa na hamsha hamsha ya uchaguzi ila safari hiii sijui ni mini tatizo.
Sina muda huo wa kupoteza! Matokeo yanajulikana tayari!
 
Sasa si ndo kususa nchi? Kama unajiachia tu yeyote aongoze sababu hutaki kupiga kura maana yake ni nn? Hata kama Kuna wizi kura zinapokuwa nyingi ndivyo ugumu wa kuiba unavyoongezeka na kugomea matokeo kwa wananchi kunavyokuwa na nguvu. Nenda kule umasaini kwenye ukabila umuweke Mpare cjui mchaga halafu uibe kura useme kashinda kampita mtu wao uone kama watakuelewa.

Usipopiga kura ujue ushampigia usiyempenda.

Kura ina thamani kama inahesabiwa na matokeo kuheshimiwa. Hata wapiga kuwa wangekuwa mamilioni. Kama utashi wa kutangaza mshindi kwa mujibu wa matokeo ya kura haupo. Sioni sababu kwa nn nikajiandikishe na kupiga kura. Binafsi sitapiga kura.
 
Kura ina thamani kama inahesabiwa na matokeo kuheshimiwa. Hata wapiga kuwa wangekuwa mamilioni. Kama utashi wa kutangaza mshindi kwa mujibu wa matokeo ya kura haupo. Sioni sababu kwa nn nikajiandikishe na kupiga kura. Binafsi sitapiga kura.
Kutokupiga kura ni maamuzi, kinachonishangaza ni sababu inayokupelekea kufanya hayo maamuzi.

Hupigi kura sababu unahisi kura haitoheshimiwa na atatangazwa mshindi ambaye hamkumchagua, lakini maamuzi hayo yatasababisha huyo msiyemtaka atangazwe kirahisi zaidi na hamtaweza kuhoji maana hamkuhusika. Yaani unatoa msaada ili usilopenda, likamilike kirahisi zaidi.

Ndo maana nkakupa mfano wa ukabila wa umasaini na Mpare, Mpare ataweza kuiba kura za wamasai kirahisi? Na iwapo wamasai wasipopiga kura hata akitangazwa Mpare awaongoze watahoji?
 
Leo ni siku ya 4 toka zoezi lianze, hamasani ndogo sana, hata walioko vijijini ndani hawajitokezi, wanadai hawaoni umuhimu wala faida yake kwa kuwa wajiandikishe wasijiandikishe mshindi anajulikana, hii ni sehemu nyingi ngome za ccm na upinzani, kauli za viongozi wa serekali zimepelekea tafsiri mbaya kwa wananchi. Kuna baadhi ya vitongoji kina zaidi ya wakazi 350 lakina cha ajabu siku nzima anajiandikisha mtu 1/2
 
Usitudanganye hapa,
Huwa nikirudi likizo bongo, lazima nitembelee Arusha na kilimanjaro. Kwakweli, Arusha inakua kwa kasi sana, lkn Moshi iko vile vile, inabadilika pole pole.
Ule mji ni shidaa, hauendelei, umebaki kuwa mji wa matambiko. Ni mizimwi tu kila mahali. Hauna tofauti na gamboshi.
😝😛😝


Kama hauko Tanzania na una akili hizi yafaa urudi huku ndiko unatakiwa kuishi tena kule Gambosh yenyewe
 
Ungesema Chadema ndio wamekata tamaa ingependeza zaidi.Arusha na Moshi nimepita kule chadema wengi wameapa hawaji piga kura milele.Sijajua sababu Ni Nini.
basi chadema ni wengi sana ! maana waliopuuza uchaguzi huu ni watanzania 95%
 
Back
Top Bottom