Msweet
JF-Expert Member
- Mar 26, 2014
- 2,937
- 3,997
Msweet unapotosha kwa makusudi. Hakuna dawa au chanjo duniani yenye success rate ya 100%
Ni sawa na kusema eti kma ARV haiponeshi Ukimwi wala haizuii kuambukiza mtu basi tusitumie kabisa..... Mtu akiugua VVU aachwe tu mpaka afe maana hta akitumia ARV sio guarantee ya kupona au kutoambukiza? Are you out of ur senses.
Then anasema ukipata madhara serikali haipo liable? Hvi ukipata madhara kwa kutumia Panadol kuna compensation? Ama ukitumia Radiotherapy ikaleta madhara kuna fidia? Hta operation huwa una sign ikifeli (sio kwa uzembe wa daktari) hakunaga compensation!! Sasa kipi kipya hapo?
Kuvaa barakoa na social distance haziwezi kuachwa kisa umechanjwa sababu risk ya kupata tena ipo hta kma ni 0.0001% so why take chances? Ukitumia dawa mseto huwa bado tunaambiwa tulale ndani ya neti..... Huwa hatuachi eti sababu tunatumia dozi!! Precaution ni muhimu.....