#COVID19 Kwanini Watanzania wengi wanakataa chanjo ya Corona?

Hoja ni kwamba huko hospitali ndio wanajua uhalisia wa corona ndio nimeuliza mbona huko hakuna masharti kama zamani na wakati huko ndio kwenye wagonjwa wa corona?

Wizara ya afya kila siku inatoa matangazo kwenye TV jinsi ya kujikinga na korona ,kama hospital unazozisema hazichukui tahadhari basi ni uzembe wao,ofisi nyingi tu ukitembelea lazima uwe na barakakoa na wanakupiga na "Santaiza" ndio unaruhusiwa kuingia.

Kama umenote watu wanakata kamba sana kuanzia End of December mpaka Mid April hapo ndipo ugonjwa unafika peak baada ya hapo vifo vinapungua ,hiyo ndio trend ya corona,huu ugonjwa ushaingia hauwezi kuisha bila chanjo na dawa ya kutokomeza kama hazijapatikana.

Wewe endelea kuamini kwamba corona ni propaganda kama mwenzako MEKO alivyosema ni FUTA na kweli likamFUTA kwenye ulimwengu.
 
Wizara ya afya kila siku inatoa matangazo kwenye TV jinsi ya kujikinga na korona ,kama hospital unazozisema hazichukui tahadhari basi ni uzembe wao,ofisi nyingi tu ukitembelea lazima uwe na barakakoa na wanakupiga na "Santaiza" ndio unaruhusiwa kuingia.

Kama umenote watu wanakata kamba sana kuanzia End of December mpaka Mid April hapo ndipo ugonjwa unafika peak baada ya hapo vifo vinapungua ,hiyo ndio trend ya corona,huu ugonjwa ushaingia hauwezi kuisha bila chanjo na dawa ya kutokomeza kama hazijapatikana.

Wewe endelea kuamini kwamba corona ni propaganda kama mwenzako MEKO alivyosema ni FUTA na kweli likamFUTA kwenye ulimwengu.
Nazungumzia hospitali za Muhimbili na Amana.

Hata hicho kipindi unachosema corona inakuwa kwenye peak bado hakukuwa na ulazima wa kuvaa barakoa wala kunawa mikono kwenye hizo hospitali, nayaeleza haya kwa sababu huko ndio mnasema wanajua uhalisia wa corona kwamba wanakutana na hao wagonjwa wa corona hivyo nilitegemea kuwe na tahadhari ya hali ya juu.

Suala la Meko mnalazimisha kuwa kafa kwa corona,nasema mnalazimisha kwa sababu mbatumia hisia zenu hamna sababu zenye za kuelezea kwanini mnasema Meko kafa kwa corona? Mfano Maalim seif nasema kafa kwa corona kwa sababu alikuwa anajulikana anaugua huo ugonjwa na hakupona tukasikia kafariki hivyo ni sababu ya msingi kusema Maalim seif kafariki na corona, sasa wewe ndugu yangu nikikuuliza hapo sababu ya kusema Meko kafa na corona utaniambie kisa alikuwa anaidharau corona.
 
Nazungumzia hospitali za Muhimbili na Amana.

Hata hicho kipindi unachosema corona inakuwa kwenye peak bado hakukuwa na ulazima wa kuvaa barakoa wala kunawa mikono kwenye hizo hospitali, nayaeleza haya kwa sababu huko ndio mnasema wanajua uhalisia wa corona kwamba wanakutana na hao wagonjwa wa corona hivyo nilitegemea kuwe na tahadhari ya hali ya juu.

Kuchukua tahadhari kitu kingine na ugonjwa kuwepo kitu kingine........Mwenyekiti wa Madaktari(MAT) amesema ugonjwa upo kwahiyo kujilinda ni jukumu lako ,ukiamua kutoavaa pia haulazimishwi ,ni sawa na kutolala kwenye net ukanda wa pwani ambapo malaria ipo juu hakuna mtu atakayekuja kukulazimisha ulale kwenye net.
 
Multcountries Coperations and criminals are the ones runs the world. Anzia hapo...hii ni massive and huge business so lazima ifanikiwe... Drugs, weapons, technologies and extraction companies ndio vinara wa uchumi na uhalifu duniani... Any kind of obstacle to thier business should be eliminated by any means. Wabongo whether you like or not chanjo haiepukiki. Tupo hapa...
 
Kuchukua tahadhari kitu kingine na ugonjwa kuwepo kitu kingine........Mwenyekiti wa Madaktari(MAT) amesema ugonjwa upo kwahiyo kujilinda ni jukumu lako ,ukiamua kutoavaa pia haulazimishwi ,ni sawa na kutolala kwenye net ukanda wa pwani ambapo malaria ipo juu hakuna mtu atakayekuja kukulazimisha ulale kwenye net.
Tanzania hatupimi corona na hivyo hakuna takwimu ndio maana nyie mnasema huko hospitali ndio wanajua uhalisia wa corona kwamba wanakutana na hao wagonjwa wa corona, sasa sehemu kama hospitali ni muhimu kuchukua tahadhari wakati wote kutokana mazingira vyao ya kazi hasa kwa ugonjwa kama huu ndio tahadhari ilipaswa izidi.

Sasa sijui huyo Mwenyekiti alisema lini hivyo na huko kutochukua tahadhari kuna maana gani kwao?
 
Tanzania hatupimi corona na hivyo hakuna takwimu ndio maana nyie mnasema huko hospitali ndio wanajua uhalisia wa corona kwamba wanakutana na hao wagonjwa wa corona, sasa sehemu kama hospitali ni muhimu kuchukua tahadhari wakati wote kutokana mazingira vyao ya kazi hasa kwa ugonjwa kama huu ndio tahadhari ilipaswa izidi.

Sasa sijui huyo Mwenyekiti alisema lini hivyo na huko kutochukua tahadhari kuna maana gani kwao?

Watu wanapata ugonjwa mitaani (kama mitaani hawachukui tahadhari haitosaidia wakichukua tahadhari wakienda hospital) ,hospital wanaenda kutibiwa tu ,madaktari wao kama wao wanachukua tahadhari na muda wote wanavaa barakoa ,kuingia ofisi zao nje kuna ndoo na maji hata muhimbili maji yapo na sabuni zipo.

Ile siku kamati ya korona ilipotoa ripoti yake ,Azam wakamuhoji Mwenyekiti wa MAT ,Charles Hillary akamwambia Mbona MAT mpo kimya kuzungumzia ugonjwa wa korona? Akasema kwamba wao hawana mandate ya kutoa taarifa ya hali ya ugonjwa nchini ila walitoa angalizo tu kama madaktari kwamba ugonjwa upo na wananchi wajinkinge.
 
Watu wanapata ugonjwa mitaani (kama mitaani hawachukui tahadhari haitosaidia wakichukua tahadhari wakienda hospital) ,hospital wanaenda kutibiwa tu ,madaktari wao kama wao wanachukua tahadhari na muda wote wanavaa barakoa ,kuingia ofisi zao nje kuna ndoo na maji hata muhimbili maji yapo na sabuni zipo.

Ile siku kamati ya korona ilipotoa ripoti yake ,Azam wakamuhoji Mwenyekiti wa MAT ,Charles Hillary akamwambia Mbona MAT mpo kimya kuzungumzia ugonjwa wa korona? Akasema kwamba wao hawana mandate ya kutoa taarifa ya hali ya ugonjwa nchini ila walitoa angalizo tu kama madaktari kwamba ugonjwa upo na wananchi wajinkinge.
Mkuu labda uwe sio mtu kwenda maeneo ya hizo hospitali ndio hutojua tofauti ya mwanzoni na sasa kwenye kuchukua tahadhari, Kauli ya kusema ugonjwa upo na watu wachukue tahadhari mbona ni kauli ya kiujumla sana na hata kipindi cha Meko tulikuwa tunaambiwa tuchukua tahadhari.
 
Mkuu inaonyesha haujui ugonjwa wa korona ulivyo!! Hapa tunalilia protection ya 3% population wasiondoke na korona.....3% ndio wahanga wa corona ...97% wana survive kwahiyo sizungumzia hao 97% wasiojali kabisa....tuwajali hao 3% wasiondoke na korona.....

Unajua kwamba katika 100 watakaopata korona 85 wanaweza kupona bila kuonyesha dalili? Kujazana kwenye masoko au madaladala bila kuvaa korona haimaanishi kwamba watu hawaambukizani au ugonjwa haupo....

ukitaka kujua stats za ugonjwa fika hospital.....Madaktari wanajua ila mimi na wewe ambao hatupo kwenye hizo kada tutaona kwamba korona hakuna coz watu hawavai barakoa na wanajazana kwenye masoko.
Kuna uhakika kabisa kwamba hyo 3% watapona, mana naona hata hizo baadhi ya nchi ambazo tayari watu kadhaa wamechomwa bado kuna vifo na baadhi ya watu wanafariki kutokana na hyo hyo chanjo.
Au ndyo watu wanataka kuendana juhudi za mataifa makubwa.
Ila at least kitu kifanyike kuliko kukaa kimya kabisa.
Chanjo wapewe wahitaji.
 
Hivi wabongo mkuu unawajua ama unawasikia??
Subiri chanjo iletwe hapa halafu uone msongamano kwenye kuchanjwa. Hawa watu waone hivi hivi tu ni vigeu geu hatari ni watu wa kwenda na upepo unakoenda.

Mi nna imani watanzania wengi watachanjwa, hii chanjo haitakua lazima ila itakua lazima kwa namna moja ama nyingine. Inawezekana kuna huduma utazikosa bila kua na chanjo na hivyo kukulazimu uchanjwe, sidhani kama serikali itaileta tu afu iwe hiyari kirahisi namna hiyo.

Ni kama waliposema kujisajili kwa ajili ya vitambulisho vya taifa watu walikua wajajivutavuta, wakagusa panauma kwenye laini za simu, mpaka leo nida kuna watu wanazisakama hizo namba tu mambo yao yaende.
Tena ni watu wasio na msimamo ni hovyo hovyo tu Mambo yao wanaweza kukuuza mzima mzima na hao watu ogopa sana ndumilakuwili.
 
Utasikia mtu anakuja na hoja dhaifu kabisa kuwa eti chanjo ina lenga kutumaliza waafrika wakati karibu 80% ya dawa zilixopo mahospitalini mwetu zinatoka huko, hao wazungu wakitaka kufanya hivyo si watafanya tu hata kwenye ARVs!!? Watu wamekuwa brainwashed sana na jiwe kuu la pembeni.
By the way dawa zote zina side effects zake sasa kama kuna watu hawataki wasilazamisje lakini wajue tu hii policy ya ulimwengu inakwenda hivyo kuna baadhi ya huduma ujue kwamba utakosa kama huna chanjo .Usicheze na serikali ina mkono mkubwa.
 
Mimi kuna kitu kinaitwa Pfezer tayari kipo mwilini mwangu 2doze nishamaliza nipo salama usalimini alhamdulilah Rabbilalamiyn.Tupo salama na maisha yanaendelea sasa wale munaobishana kama mavi ya mzungu yananuka au hayanuki nenda ukayanu ndio utajua ukweli.Bora adui mwerevu kuliko rafiki mjinga.
 
Msweet unapotosha kwa makusudi. Hakuna dawa au chanjo duniani yenye success rate ya 100%

Ni sawa na kusema eti kma ARV haiponeshi Ukimwi wala haizuii kuambukiza mtu basi tusitumie kabisa..... Mtu akiugua VVU aachwe tu mpaka afe maana hta akitumia ARV sio guarantee ya kupona au kutoambukiza? Are you out of ur senses.

Then anasema ukipata madhara serikali haipo liable? Hvi ukipata madhara kwa kutumia Panadol kuna compensation? Ama ukitumia Radiotherapy ikaleta madhara kuna fidia? Hta operation huwa una sign ikifeli (sio kwa uzembe wa daktari) hakunaga compensation!! Sasa kipi kipya hapo?

Kuvaa barakoa na social distance haziwezi kuachwa kisa umechanjwa sababu risk ya kupata tena ipo hta kma ni 0.0001% so why take chances? Ukitumia dawa mseto huwa bado tunaambiwa tulale ndani ya neti..... Huwa hatuachi eti sababu tunatumia dozi!! Precaution ni muhimu.....
 
Back
Top Bottom