King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,650
- 68,598
Hoja ni kwamba huko hospitali ndio wanajua uhalisia wa corona ndio nimeuliza mbona huko hakuna masharti kama zamani na wakati huko ndio kwenye wagonjwa wa corona?
Wizara ya afya kila siku inatoa matangazo kwenye TV jinsi ya kujikinga na korona ,kama hospital unazozisema hazichukui tahadhari basi ni uzembe wao,ofisi nyingi tu ukitembelea lazima uwe na barakakoa na wanakupiga na "Santaiza" ndio unaruhusiwa kuingia.
Kama umenote watu wanakata kamba sana kuanzia End of December mpaka Mid April hapo ndipo ugonjwa unafika peak baada ya hapo vifo vinapungua ,hiyo ndio trend ya corona,huu ugonjwa ushaingia hauwezi kuisha bila chanjo na dawa ya kutokomeza kama hazijapatikana.
Wewe endelea kuamini kwamba corona ni propaganda kama mwenzako MEKO alivyosema ni FUTA na kweli likamFUTA kwenye ulimwengu.