Kwanini Wanawake wenye Mizigo hawatoboi?

Kwanini Wanawake wenye Mizigo hawatoboi?

40d08a58-7f67-4db7-b76c-d4ab5ede90ec.jpg
 
Habari za Sikukuu! Niende kwenye maada, katika pita pita zangu nimegundua wanaume wengi wanapenda Wadada wenye Mizigo.

Tena wkt mwingine hata wakipita barabarani wanyabi wanashusha vioo Ili kuangalia Kwa uzuri.

Sasa najiuliza Kwa Nini mizigo Yako haiwafanyi watoboe kimaisha maana wengi mwishowe wanaangukia kuwa wauza Samaki na kuwa chakula Cha wavuvi.
Uuzaji wa mbususu na uuzaji wa pombe kamwe hautajirishi.
Unaweza kuzishika kwa muda but..at the end utarudia ukapuku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom