HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,994
- 102,833
AiseeeWa maana mamaaaeeehhh
Basi hongera
AiseeeWa maana mamaaaeeehhh
KumbeSi inavutia wateja wengi. Ujui more customer more profit
Kumbe ndo maana hawatoboi. Kumbe dustbinHao ni dustin la kutupia uchafu tu
😊Aisee!Ukishalewa upapase mzigo sio?!!!
Maisha hayaitaji uwe serious hakikisha unatafuta pesa unaenjoy stress, seriousness tupa kuleMleta mada haupo serious.
Kumbe mizigo inawaondoa akili. Ndo maana watu hawaishi naoSijawahi ona Mwanamke ana mzigo afu ana akili..
Weka picha tuoneMzigo ni mzito washushe mzigo kwanza ndio watoboe
Asante mkuu kwa kututhaminiNiachiani flat wote waje kwangu. Tupo tunaowathamini

75% ya wanawake wenye Mikia kwa Bongo wametoboa Kimaisha.Wewe unaongelea wa Nchi gani?
Sijawahi ona Mwanamke ana mzigo afu ana akili..



Akíli ziko makalioniHabari za Sikukuu! Niende kwenye maada, katika pita pita zangu nimegundua wanaume wengi wanapenda Wadada wenye Mizigo.
Tena wkt mwingine hata wakipita barabarani wanyabi wanashusha vioo Ili kuangalia Kwa uzuri.
Sasa najiuliza Kwa Nini mizigo Yako haiwafanyi watoboe kimaisha maana wengi mwishowe wanaangukia kuwa wauza Samaki na kuwa chakula Cha wavuvi.
Wazungu wanajua nyiye mnanoga sana. Nami nimeliona hilo. Nikajua wazungu hawana mbambambaAsante mkuu kwa kututhamini![]()
Mnawasumbua sana. Mnawaaribia future mapemaHabari za Sikukuu! Niende kwenye maada, katika pita pita zangu nimegundua wanaume wengi wanapenda Wadada wenye Mizigo.
Tena wkt mwingine hata wakipita barabarani wanyabi wanashusha vioo Ili kuangalia Kwa uzuri.
Sasa najiuliza Kwa Nini mizigo Yako haiwafanyi watoboe kimaisha maana wengi mwishowe wanaangukia kuwa wauza Samaki na kuwa chakula Cha wavuvi.
Kumbe hadi wewe una ZIGO ?Ipo siku yetu, tutatoboa.....
Wazungu hawana mambo mengiWazungu wanajua nyiye mnanoga sana. Nami nimeliona hilo. Nikajua wazungu hawana mbambamba

