Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 35,667
- 70,301
Why usimpende mwanamke mwenzio???sema tuko real kwenye hisia zetu kama umekwazwa tunareact compared to men. Wanaume wao yanakwisha hapo hapo thats why wanaonekana wanapendana ila ki ukweli kuna wanaume hawapendani hata kusalimiana tuu hakuna. Kinachotuponza wanawake ni hulka yetu ya kutotaka kushindwa na si kwamba tunachukiana labda wapo wachache wenye chuki mnazozisemea ila wengi ni mabifu tuu.


