Kudos Jovitha!! lakini tafadhari kuwa na marafiki ili ujipime how strong you are!!Hapana sipo hivyo hata kidogo nahisi Nina roho ya kipekee, coz sijui kuringa, sina nyodo, majigambo, nipo kawaida mnoo nainapotokea mwanamke mwenzangu kafanya jambo zuri nasikia amani mnoo kumpongezaaa,... Hivyo ndiyo jilivyo
Lakini sina rafiki wa kike hata mmoja wala wakiume, mda mwingi napenda kuwa peke yangu, kuepusha mambo yasiyo na ulazima
Ni kweli, nimeshakuwa na marafiki kipindi cha nyuma lakini wote walinisaliti yani tokaa niingie mjini sijawahi kupata rafiki wa kweliii, wakati nasoma kijijini kwetu nilipata rafiki anaitwa Jackline ,yule ndiyo alikuwa rafiki wa kweli tulipo maliza sec tukaja mjini bado urafiki wetu uliendelea kudumu kwenye shida na rahaaa ............ . .... Na hadi Leo hii tunapendana mnooo yani mnoo ila kwasasa mwenzangu ameshaolewaaa,.... Mimi bado na siunajua MTU akishaingia kwenye ndoa lzm kuna vitu vinabadilika, kuna mambo siwezi mshauri, n.k alafu sasa hivi tuko mikoa tofauti, yangu Jack aolewe nimekuwa mpwekw mnooo....Kudos Jovitha!! lakini tafadhari kuwa na marafiki ili ujipime how strong you are!!
Siku zote matatizo hayakimbiwi, ila yanatatuliwa...

Kama nyie hampendani basi chakufanya ni kutupenda sisi wanaume tu maana hatutowaangushaHaaaaa haaaaa .Tupe ushauri wa kujenga basi.Tufanyeje
Sema una katabia ka u antisocial.Hapana sipo hivyo hata kidogo nahisi Nina roho ya kipekee, coz sijui kuringa, sina nyodo, majigambo, nipo kawaida mnoo nainapotokea mwanamke mwenzangu kafanya jambo zuri nasikia amani mnoo kumpongezaaa,... Hivyo ndiyo jilivyo
Lakini sina rafiki wa kike hata mmoja wala wakiume, mda mwingi napenda kuwa peke yangu, kuepusha mambo yasiyo na ulazima
Naweza kuwapa ushauri lakini naogopa maana badala ya kuupokea mnaweza kuniundia kundi la msuto...Haaaa haaa shemeji Upo?? Mbona umesema kinyongee.Tupe ushauri
Hata Mimi Nina Rafiki wa toka Sec aitwae Grace.Hajawai nisaliti Hata kusikia ananitetaa.Grace Popote ulipo.I miss u.Ni kweli, nimeshakuwa na marafiki kipindi cha nyuma lakini wote walinisaliti yani tokaa niingie mjini sijawahi kupata rafiki wa kweliii, wakati nasoma kijijini kwetu nilipata rafiki anaitwa Jackline ,yule ndiyo alikuwa rafiki wa kweli tulipo maliza sec tukaja mjini bado urafiki wetu uliendelea kudumu kwenye shida na rahaaa ............ . .... Na hadi Leo hii tunapendana mnooo yani mnoo ila kwasasa mwenzangu ameshaolewaaa,.... Mimi bado na siunajua MTU akishaingia kwenye ndoa lzm kuna vitu vinabadilika, kuna mambo siwezi mshauri, n.k alafu sasa hivi tuko mikoa tofauti, yangu Jack aolewe nimekuwa mpwekw mnooo....
Nampenda sana rafiki yangu mnoo na alijifungua mtoto wakiume akambatiza jina linalofanana na lakwanguuu.........![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kweli kabisa.Tuombewe.Mana wengi wetu tumejawa Na Unafiki.Mwenzio kaolewa katulia utasikia mmmmh hafiki popote wataachana tu.Jamani.Kweli??kwa nini usifurahie Na wewe ujitahidi uwe kama Wao.Uige njia zao?Watapendana siku yesu akirudi kwa mara ya pili kuja kuwa suluhisha....
Sijui hiyo ni kweli kama ni kweli basi watapendana mwisho wa dunia hahaaa kama sio basi ni full kuchukiana mpaka akhera watachukiana tuu hakuna namna hapo
Ivi kuna chombo ambacho kiliundwa kusuruhisha migogoro ya wanawake kweli au ndo hizo WAMWA, BAWATA...
nawaasa wanawake pendaneni, just try to cope the way men behave.... Utakuta wanaitana kwa matusi lakin likija suala la kusaidiana walaaa haina shida,
Wanawake daaa mnajifanya mnapendana mnaitana majina mazuri kweli, sweet, dear, mpenzi n.k lakin litokee tatizo kidogo huuu moto wake aseee ni hatari hauzimwi hata kwa fire.
Wanawake ni jeshi kubwa mnaweza leta mapinduzi makubwa sana duniani kama mtakuwa wamoja.
That is all about my take to women.
Sijui kama hatupendani ila mi napenda jinsia zote tuKumbe ni kweli hampendani. Nilidhani ni majungu tu ya mitaani.
jje's
Valentina
Mahondaw
Paprika
Dabby anakusalimia!Sijui kama hatupendani ila mi napenda jinsia zote tu


