Mimi mbona sikijui hicho? kama ni ulevi, ungesema "wanawake walevi" na usingejumuisha kusema wanawake wengi.
<br />FF kwa nini sio wanawake wapiga 'kilauri?'<br />
au wapiga kilauri wote ni walevi?
hahhaa,umeanza eeh? ulevi ulevi tu,lol!
<br />
<br />
FF kwa nini sio wanawake wapiga 'kilauri?'
au wapiga kilauri wote ni walevi?
Hata hiyo ingefaa vilivile kama "walevi" ni harsh.
Mimi mbona sikijui hicho? kama ni ulevi, ungesema "wanawake walevi" na usingejumuisha kusema wanawake wengi.
sio suala la kuwa 'harsh' wala, ila huwa kuna dhana ya unywaji na ulevi. hivi zina tofauti?
Mnywaji maji ya kunywa au chai au kahawa au juice? hao ni wengi sana na mimi ni mmoja wao. Na wanywaji kilevi ni walevi na wao pia wapo na ni wengi sana. Kuwa mlevi ni kwa yoyote atumiae kilevi ama kwa uchache wake ama kwa wingi wake, kinyume cha hapo ni kujidanganya nafsi.
Wanawake wanachokunywa akiwa na buzi na anachokunywa akiwa peke yake ni tofauti....
just to taste how heavy is your wallet.