Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

<br />
<br />
khaaa! Kwahyo kloro ana mimba? Ooh!
Kwa kanuni za kimaumbile za JF, hiyo inaitwa TUMBO Calling............You have been notified and warned accordingly!..........Ngoja niMP PAW. Alivyokuwa na mtambi mkubwa, lazima ulambwe BAN!
 
Hili swali tukimwuliza Jeikei atajibu:
"Hayo ni maendeleo" kama alivyojibu kwa msongamano.
 
Masikini mie sred hii imeshanitoa matumaini ya kupendwa!! Na umbo hili la tembo mtoto?, byebye kupendwa!
<br />
<br />
wala ickupe hofu my dear kuna watu wanapenda figure nene...c kila mtu anataka vimodo! (tujipe moyo)
 
ngoja nifanye mazoezi hata mimi nakichukia kweli bwana
 
Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?

Dah! Umenigusa sana, binafsi kinanikera naomba ushauri nifanyeje. Nilikuwa navaa nguo tumbo ilikuwa inc 29 nilipojifungua mtoto wa kwanza huwezi amini sasa hivi tumbo navaa inch 37. hebu nishauri nifanyeje
 
mnawaonea bure wengine wamefanyiwa operation za uzazi matumbo lazima yashuke na siyo kitambi na ukizingatia mlo wa mama mzazi inakuwa kazi kudhibiti tumbo mi naona poa tu je kama umemuoa akabadilika baada ya operation utamuacha kuweni waungwana!!!
 
mnawaonea bure wengine wamefanyiwa operation za uzazi matumbo lazima yashuke na siyo kitambi na ukizingatia mlo wa mama mzazi inakuwa kazi kudhibiti tumbo mi naona poa tu je kama umemuoa akabadilika baada ya operation utamuacha kuweni waungwana!!!

Operesheni has got nothing to do with it, niulize mimi.
 
Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?

Beki tatu wamewapunguzia shughuli za kuzunguka zunguka jikoni na hivyo wamewaiga wanaume kukaa na rimoti sebuleni wakiangalia sinema za wale watu wa amerika ya kusini.
 
Mzima wewe Madame KH!?.... Madame KH hayo mazoezi labda yawe ya “kuimaintain” hiyo "figure" ya kufa mtu lol! 🙂 🙂 🙂 lakini kitambi nasikia ulikipiga marufuku miaka mingi kisikusogelee kabisa labda kama kimeanza kukunyemelea hizi wiki za karibuni 🙂

Mhhhh!! ngoja nami nianze mazoezi.....mhhh!!! asante kwa kunikumbusha.
 
Kitambi ni matokeo ya skin tight. Mwili wa mwanamke unaruhusu mafuta yanayozidi mwilini kuwa stored kwenye makalio na mapaja. kwa sababu kila mwanamke sasa hivi anabana mapaja na makalio cells zinashindwa kupokea mafuta yanayozidi mwilini mafuta hayo yanajaa tumboni. ukiwaangalia wenye vitambi mapaja yamekuwa fimbo na makalio yamekuwa bapa lakini tumbo mbele. hayo ni madhara ya skin tight.
 
Mzima wewe Madame KH!?.... Madame KH hayo mazoezi labda yawe ya "kuimaintain" hiyo "figure" ya kufa mtu lol! 🙂 🙂 🙂 lakini kitambi nasikia ulikipiga marufuku miaka mingi kisikusogelee kabisa labda kama kimeanza kukunyemelea hizi wiki za karibuni 🙂

BAK,
Kwanza nimefurahi kukuona. Sijui nani huyo alikuficha......)

Kuhusu kitambi....hahahahah.....ni muhimu ku-maintain, ili nisije kukosa mvuto...hahahahah.....🙂

Karibu sana BAK. Stay blessed.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
BAK,
Kwanza nimefurahi kukuona. Sijui nani huyo alikuficha......)

Kuhusu kitambi....hahahahah.....ni muhimu ku-maintain, ili nisije kukosa mvuto...hahahahah.....🙂

Karibu sana BAK. Stay blessed.


Ahsante sana Madame KH, Kuhusu kufichwa Mhhhhh! Naogopa "kuchema" hahahahah lol! Nashukuru nimerudi jamvini kuja kujifunza kutoka kwa wachangiaji mbali mbali na pia kujadili mambo mbali mbali yanayojiri ndani ya nchi yetu na duniani kwa ujumla.

Weekend njema

Ubarikiwe sana.
 
BAK,
Kwanza nimefurahi kukuona. Sijui nani huyo alikuficha......)

Kuhusu kitambi....hahahahah.....ni muhimu ku-maintain, ili nisije kukosa mvuto...hahahahah.....🙂

Karibu sana BAK. Stay blessed.

Ahsante sana Madame KH, Kuhusu kufichwa Mhhhhh! Naogopa "kuchema" hahahahah lol! Nashukuru nimerudi jamvini kuja kujifunza kutoka kwa wachangiaji mbali mbali na pia kujadili mambo mbali mbali yanayojiri ndani ya nchi yetu na duniani kwa ujumla. Endelea na mazoezi ya nguvu ili uendelee kukifukuza kitambi kisikusogelee kabisa maana ni kweli kinaharibu sana mvuto 🙂🙂

Weekend njema

Ubarikiwe sana.
 
Back
Top Bottom