Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

umeona eeh! Unawakuta wengine miguu myembamba kiuno kimekonda ila kitambi hicho.
Wenye vitambi msisome posts zangu.

kwenye mananihino mtu anakaa kama anabembea sijui ndio inaitwa seesaw (kama nimepatia).......ha ha ha....kitambi bana.....
 
Hii sredi imeota nyoya sasa
 

Attachments

  • tumbo.jpg
    tumbo.jpg
    13.8 KB · Views: 64
<br />
<br />
lawyer nimekuachia kesi ya love connect.

Hautojutia uamuzi wako wa kuwa client wangu (reference ya kazi zangu ni Mbu, MJ1, LD, Afrodenzi bila kumsahau michelle ambae amepata mume chini ya ofisi yangu)

Kesi yako ni ngumu lakini kwa hatua ya awali naomba usitishe mawasiliano ya aina yoyote na watuhumiwa wote, masharti mengine nitayafafanua thru PM
 
Hautojutia uamuzi wako wa kuwa client wangu (reference ya kazi zangu ni Mbu, MJ1, LD, Afrodenzi bila kumsahau michelle ambae amepata mume chini ya ofisi yangu)<br />
<br />
Kesi yako ni ngumu lakini kwa hatua ya awali naomba usitishe mawasiliano ya aina yoyote na watuhumiwa wote, masharti mengine nitayafafanua thru PM
<br />
<br />
sawa sawa lawyer. Nasubiri huo ufafanuzi mwingine hlf naomba uniazime signature yako.
 
hahahaha...hongera bana! kumbe kuna classes.....! (mbona hujawahi kunambia kuwa sina mvuto na kitambi changu...lol)

Hawa wanaoponda vitambi hawajui kuvitumia bana! nilimsoma mtaalam mmoja wa Azebaijan anasema "kitambi ni silaha tosha ya kufikishana kileleni kwa wanaokielewa" mwisho wa kunukuu.
 
Hivi vitambi mnavyovijadili hapa ni mimba au?
 
Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?

Mkuu,

Hii inatokana na mambo mengi sana.
1.Staili ya maisha tunayoishi. Unakuta mama/Mwanamke anatoka home na gari na kurudi na gari. Hafanyi kazi yoyote inayouchangamsha mwili, home ana House Girl anayemfanyia kila kitu.
2.Vyakula tunavyokula, unakuta mtu anapiga bia +kitimoto +maji ya baridi hasa baada ya kula nk.
3.Madawa ya kupanga uzazi, hii inachangia sana wanawake kuota vitambi.

nk nk
 
mimi nina wasiwasi na haya madawa ya kuongeza mwili au sehemu fulani za mwili ndio yanasababisha haya au pia vidonge vya uzazi wa mpango kwani hapo nyuma vitambi viliikuwa nadra sana kuonekana kwa wanawake haswaa vijana wadogo lakini sasa hivi tena hawavifichi so ninafikiri kuna tatizo hapa kwenye matumizi ya madawa,,nafikiri ipo haja ya madaktari kufanyia utafiti hili,,,(bia na nyama mnona zilikuwepo toka enzi au pia wameongezea madawa)we need source......
 
Back
Top Bottom