Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 410
<br />Eti vitambi vinaharibu shepu, mara cjui vinapunguza mvuto loh! Wewe kama una mke au girlfriend inatosha , sasa huo mvuto kwa wanawake wengine unautaka wa nini? Wao nao si wana wapenzi wao, kama kitambi ni kero wataambizana wao wenyewe, wewe mwangalie wa kwako tu...... basi!!
<br />
Mbona umekuwa mkali hivo kipipi? Maada imekugusa nini, au nawewe ni muhanga wa vitambi? Jamaa kajalibu kutoa angalizo lake kwa dada zetu wenye vitambi, kama wewe huna kitambi basi toa ushauri kwa wenzako na sio kuwa mkari kama pilipili bila ushauri wowote, samahani ni maon yangu tu.