Tausi.
Senior Member
- Aug 29, 2011
- 123
- 48
Kila kitu wanawake tu!Nyie mshafanya mazoezi?au hamhitaji?
Ni kweli kila kitu wanawake, mbona nyie nnavyo, na sis hatupendi wanaume wenye vitambi, na nyinyi vinawapunguzia hu-hb fanyeni mazoezi.
Kila kitu wanawake tu!Nyie mshafanya mazoezi?au hamhitaji?
na ukitaka kuondoa kitambi hips na ****** nayo yanasepa halooooooooooooooooooooosio ishu bwana. Ukiamua unaweza. Basi tu wanawake tunapenda kulakula, mazoezi hatufanyi na kazi ndogo ndogo tu zinatushinda. Tunataka kunenepa. Ukijitahidi unenepe **** au hips na kitambia nacho hicho. Lol!
huamini nini...sio kila mwanamke anapenda wowowo,napenda shepu nzuri sio kufungasha mizigo isiyo na tija
Wanawake weng wa kibongo wanamatumbo makubwa kama vitambi,ni kwa nini?
Pombe hizo na kula kula tu.. Ka hapa kuna limama linapata tusker beer ukimcheki kiunoni ana matairi utadhani general tyre :biggrin1:
ngoja madaktari bado wako kwenye mgomo, wakimaliza watakuja kutupa jipu
Kitambi ni matokeo ya skin tight. Mwili wa mwanamke unaruhusu mafuta yanayozidi mwilini kuwa stored kwenye makalio na mapaja. kwa sababu kila mwanamke sasa hivi anabana mapaja na makalio cells zinashindwa kupokea mafuta yanayozidi mwilini mafuta hayo yanajaa tumboni. ukiwaangalia wenye vitambi mapaja yamekuwa fimbo na makalio yamekuwa bapa lakini tumbo mbele. hayo ni madhara ya skin tight.
we mtu anakula chapati 3 na uji wa ulezi asubui...saa nne sambusa 4 namilkshake..mchana soseji 3 chipsi na mishkaki 6..jioni akitoka kazini ndo balaa ni kitimoto kilo moja na ndizi 4 anatiririshia na ndovu za baridi 6...halafu ndo arudi home unategea atakosa kitambi huyu....aghhh
Mimi nawafananisha na mbuyu. Stimu zote hunitoka, utaanzia wapi kuupanda?Jamani kwa nini ongezeko la wanawake wenye vitambi limekuwa kubwa?
Idadi ya wanaume inapungua lakini ya wanawake inaongezeka!
Kitambi kwa mwanamke kinapunguza mvuto au hamlijui hilo nyie wanawake?
kuridhika tu kwani wanaume sababu ilikuwa nini?