Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Kwanini wanawake wengi mna vitambi siku hizi?

Mwanamke kitumbo mwenzangu hahahaaaa
 
Siku hizi kuna tabia ambayo si nzuri na siipendi kiukweli,wanawake wengi wanavitambi kitu ambacho kinaharibu shape zao na kuwafanya waonekane hawana mvuto.mbaya zaidi siku hizi hadi mabinti wadogo kabisa nawenyewe wanavitambi kitu ambacho huwaaribia shape zao na kuwafanya ata nguo zisiwakae vizuri.nawaomba wanawake hasa mabinti mjitahidi kufanya mazoezi ya kuondoa vitambi ili mmentain shape
zenu na kuongeza mvuto.hii ni nzuri kwenu na kwa wenzi wenu.ni hayo tu kama nimewakera sorry
hapo itakuwa sio kumaintain shape bali ni kuja kuwa mabaunsa,
mazoezi hayapunguzi vitambi ila yana komaza mwili
 
nadhani tupunguze kukaba, tukitoka job tuwahi home kupika ugali-finyango mbili tulee watoto. manake hii tabia ukitoka job tu unaanza kuuliza tunaenda wapi,kmoto kikifika ni finyango yako-finyango yangu. mhudumu akifika bia yako-bia yangu,kha! au na nyie mkiwahi kurudi home wote tutakuwa kama ze obama family.
 
Bia za ofa na ktimoto kwa saaaana.mambo ya kupenda kusafiria nyota hayo.
 
Vitambi hata kwa wanaume navyo ni issue. Kwa hiyo hii thread inge focus pande zote. Na sisi hatutaki hivyo vitambi vyenu.
 
Siku hizi kuna tabia ambayo si nzuri na siipendi kiukweli,wanawake wengi wanavitambi kitu ambacho kinaharibu shape zao na kuwafanya waonekane hawana mvuto.mbaya zaidi siku hizi hadi mabinti wadogo kabisa nawenyewe wanavitambi kitu ambacho huwaaribia shape zao na kuwafanya ata nguo zisiwakae vizuri.nawaomba wanawake hasa mabinti mjitahidi kufanya mazoezi ya kuondoa vitambi ili mmentain shape
zenu na kuongeza mvuto.hii ni nzuri kwenu na kwa wenzi wenu.ni hayo tu kama nimewakera sorry

WEWEEE.hebu uliza waume zao wakwambie, we usha wahi kula demu mwenye tumbo tumbo? ( sio kitambi tafadhali). Bwana we wanautamu wao. hapo kwenye mavazi inawezekana ikawa soo.
 
Ulaji usiofaa na unywaji wa pombe umekuwa chanzo cha vitambi kwa wanawake. Pia wengi wao hawana mpango na mazoezi. Chips, kuku wa kukaanga, mayai, sausage nk vinapendwa sana na kina mama.
 
Afya mgogoro. Kazi ya ARV kuleta vitambi vya kihindi
 
mmmh......nyie hamuoni vitambi vyenu a a....mnaona vya wenzenu......tena laiti mngejua hivyo vyenu vinavyoboa......mngevipunguza.....
 
Kuna utafiti na ushaidi wa kutosha kuwa wenye vitambia hawawezi kukuna ile kitu.Moja ya ushaidi na namna wake wa wenye vitambi wanavyogawa nje na kung'ania VIPOTABO kwa gharama kubwa.Vitambi vinapunguza heshima jamani ikiwa ni pamoja na mwili kukosa nguvu(kutojiweza) na kuharibu shape pia kupelekea kumegewa kiburudisho
Hakuna kitu kama hicho.Wakati mwingine mtu yupo fiti lakini shughuli inakua ya tabu,itakua mtu ana kitambi kama gunia?mimi naamini kila mwenye kitambi hawezi kazi,labda kama anatumia nguvu za ziada
<br />
<br />
 
Eti vitambi vinaharibu shepu, mara cjui vinapunguza mvuto loh! Wewe kama una mke au girlfriend inatosha , sasa huo mvuto kwa wanawake wengine unautaka wa nini? Wao nao si wana wapenzi wao, kama kitambi ni kero wataambizana wao wenyewe, wewe mwangalie wa kwako tu...... basi!!
 
<font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">mmmh......nyie hamuoni vitambi vyenu a a....mnaona vya wenzenu......tena laiti mngejua hivyo vyenu vinavyoboa......mngevipunguza.....</span></font></font>
<br />
<br />
hahahaha! Tena mi wenye vitambi siwapendi hata robo.lol.
 
Masikini mie sred hii imeshanitoa matumaini ya kupendwa!! Na umbo hili la tembo mtoto?, byebye kupendwa!
 
Back
Top Bottom