Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,832
Bora ubaki hukohuko ulikoelekea,hapa usirudi..
Akirudi utamfanya nini?
Bora ubaki hukohuko ulikoelekea,hapa usirudi..
Ngoja niwape somo ndugu zangu wa kiumeni...
Sisi wanaume ndio mwenekano wa mwanamke...
Usigune bhanaaa...huo ndio ukweli...
Jinsi unavyokuwa nadhifu, maarufu, mtanashati na sifa ziambatanazo na hizo hiyo ni "credit" kubwa kwa mwanamke...
Mwanamke hupenda aonekane na atambulike mahali alipo...
Hivyo suala la kuwa na mwanaume maarufu, it's a big plus to em...
Ulimbukeni wanawake wana akili fupi kama za kuku.
kwi kwi kwi ! tukutane canada basi, alipo mkulu! atatupa lift ya kurudia, lol!Kwakuwa wewe huwazimikii na kuwashobokea masupa staa, unaonaje ukianza rasmi kujinanafasi na mie?
Poa, mi tayari nimesha vika hapa TORONTO BAR Manzese Uwanja wa Fisi nakungojea wewekwi kwi kwi ! tukutane canada basi, alipo mkulu! atatupa lift ya kurudia, lol!