Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,289
Awe ni mcheza mpira, sinema, maigizo, sarakasi, ngonjera, bongo fleva etc, wanawake hupapatika sana hata kama hana kitu.....
Awe n mpira ,
sinema, maigizo, sarakasi, ngonjera, bongo fleva etc, wanawake
hupapatika sana hata kama hana kitu.....
Ngoja niwape somo ndugu zangu wa kiumeni...
Sisi wanaume ndio mwenekano wa mwanamke...
Usigune bhanaaa...huo ndio ukweli...
Jinsi unavyokuwa nadhifu, maarufu, mtanashati na sifa ziambatanazo na hizo hiyo ni "credit" kubwa kwa mwanamke...
Mwanamke hupenda aonekane na atambulike mahali alipo...
Hivyo suala la kuwa na mwanaume maarufu, it's a big plus to em...
Kwakuwa wewe huwazimikii na kuwashobokea masupa staa, unaonaje ukianza rasmi kujinanafasi na mie?sikuwahi kuwaza kuwa ni hivyo! kumbe eee???
Kula 5,
Ti, Ti, Ti, Ti, Ti.
Wape Wape hao.
U-smart, Pesa, Uhongaji ndio Silaha yetu sisi Madada.
Nani asietaka Maisha mazuri jamani?
Huoni wanamuziki wa Ki-Zaire wanavyowapapatikia Mijimama,
Yote hyo ni Pesa.
2Be Smart +Mpunga=Ulimbo.
Nitarudi mkinihitaji.
Kula 5,
Ti, Ti, Ti, Ti, Ti.
Wape Wape hao.
U-smart, Pesa, Uhongaji ndio Silaha yetu sisi Madada.
Nani asietaka Maisha mazuri jamani?
Huoni wanamuziki wa Ki-Zaire wanavyowapapatikia Mijimama,
Yote hyo ni Pesa.
2Be Smart +Mpunga=Ulimbo.
Nitarudi mkinihitaji.
Bora ubaki hukohuko ulikoelekea,hapa usirudi..
Na N'tarudi tu.
Bichwa lako.