Tetesi: Ulinzi wa Nchimbi waimarishwa maradufu

Tetesi: Ulinzi wa Nchimbi waimarishwa maradufu

Kevzy

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2026
Posts
720
Reaction score
1,166
Hi

Nimependa sana hii sinema na sio maigizo, je? Si ni tofauti kati ya sinema na maigizo

Nimeona mgawanyiko huu unaenda kuwapoteza baadhi ya wananchi wengi wa kawaida ambao wachanga kwenye siasa na wasiojua lolote

Tujiandae wakuu wa nchi wakimiliki vyama tofauti na kimoja tawala, na kumuweka bwanah mkubwa kama mgombea wa uraisi ili kuyumbisha upinzani

Hamuwezi kuelewa

Mwana fa; mazoea
Kila kitu ni biashara hata jeneza na sanda yako, usitake amani wakati wa vita utakufa mapema “””**** kaungane na kina mama


IMG_9600.jpeg
 
Sidhani kama Hilo la chama kipya linawezekana, binafsi naamini hakuna maigizo bali ni vita halisi na haijaanza Leo....imeanza Since bwana mkubwa akiwa katibu wa chama.

Wapo waliopoteza uhai wao kisa tu wapo karibu na bwana mkubwa.
 
Actually huyo ndiye hasa anapaswa kuwa mtetezi wa maslahi ya Tanganyika kwenye hii serikali ya muungano ndiyo logic ya huyu akitoka huku VP atoke kule!!
 
Katika kitu kilifanya idadi kubwa ya watu kufa kwenye yale mauaji yaliyoanza Oct 29 ni pamoja na watu kutokuelewa baadhi ya basics ndogo ndogo za mambo ya kijeshi mfano order ya kutotoka nje.
Order ya kutoka nnje? Nieleweshe kiaje?
 
Actually huyo ndiye hasa anapaswa kuwa mtetezi wa maslahi ya Tanganyika kwenye hii serikali ya muungano ndiyo logic ya huyu akitoka huku VP atoke kule!!
Akishika madaraka watu wataanza kusema hafai, sasa hiv kila mmoja anamtaka
 
Actually huyo ndiye hasa anapaswa kuwa mtetezi wa maslahi ya Tanganyika kwenye hii serikali ya muungano ndiyo logic ya huyu akitoka huku VP atoke kule!!
Nae ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine. Bongo mwanasiasa wa kumwekea dhamana ni Lissu tu. Consistency kwenye misimamo yake angalao unaweza kumwamini
 
Katika kitu kilifanya idadi kubwa ya watu kufa kwenye yale mauaji yaliyoanza Oct 29 ni pamoja na watu kutokuelewa baadhi ya basics ndogo ndogo za mambo ya kijeshi mfano order ya kutotoka nje.
Askari kufyatua risasi ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kujiridhisha mtu anaetaka kumdhibiti anataka kumdhuru. Hata kama kuna order ya kutotoka nje, askari hawezi kuingia tu kwenye kibanda cha kuangakia mpira na kupiga watu risasi. Atawaweka chini ya ulinzi, akijiridhisha hakuna mpango wowote wa hatari ulikua unaendelea hapo atawaamuru waondoke ilo eneo. Kilichotokea MO29 ni moja ya madhara ya huu utaratibu tuliojiwekea kwamba hizi nafasi za chini kwenye majeshi ni kwa ajiri ya wavuta bangi na waliofeli shule
 
Askari kufyatua risasi ni hatua ya mwisho kabisa baada ya kujiridhisha mtu anaetaka kumdhibiti anataka kumdhuru. Hata kama kuna order ya kutotoka nje, askari hawezi kuingia tu kwenye kibanda cha kuangakia mpira na kupiga watu risasi. Atawaweka chini ya ulinzi, akijiridhisha hakuna mpango wowote wa hatari ulikua unaendelea hapo atawaamuru waondoke ilo eneo. Kilichotokea MO29 ni moja ya madhara ya huu utaratibu tuliojiwekea kwamba hizi nafasi za chini kwenye majeshi ni kwa ajiri ya wavuta bangi na waliofeli shule
Nakubaliana na wewe yapo makosa makubwa yaliyofanywa na hawa mapolisi ila kwa upande wa raia wa kawaida nao walikua na uelewa mdogo wa hizi order za kijeshi baada ya kuambiwa tusitoke nje wapo waliokuwa wanaendelea kutoka na wengi walipoteza maisha au kuumia kwa sababu hiyo... mwanzoni ile tume ya mchongo ya chande walipokua wanaruhusu wanahabari warushe live wengi wa wahanga ukiskiliza vizuri utagundua hilo.
 
Nae ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine. Bongo mwanasiasa wa kumwekea dhamana ni Lissu tu. Consistency kwenye misimamo yake angalao unaweza kumwamini
Lissu?? Misimamo?? Consistency?? Hayo ni mahaba yako tu Chief!!

Suala la Lowasa vipi? Fisadi halafu anafaa!!😀

Nimezungumzia sababu ya Rais wa JMT na makamu wake kutoka pande mbili za muungano wala simaanishi Nchimbi ni wa maana,ni walewale!!
 
Back
Top Bottom