Kwanini wanawake wanaiunga mkono CHADEMA kwa woga?

Kwanini wanawake wanaiunga mkono CHADEMA kwa woga?

Wakuu kwa Ufupi labda niweke kwa Ufupi maana haina haja ya kujaza Page nyingi halafu hatuna Summary


Problem Statement

1. Wanawake kutohudhuria kwa wingi Mikutano ya CDM as compared to Mikutano ya CCM.

2. Hata hao wachache wanaohudhuria hawaungi mkono waziwazi


Sababu

1. BAWACHA imelala katika kutoa Elimu Mahsusi kwa wanawake inayolenga kuwakomboa Kifikra

2. Mfumo wa Kiuongozi unaowanyima Fursa wanawake hasa wale wanaonekana kuwaunga Mkono wapinzania waziwazi

3. Wanawake kupendelea kupewa vitu kama Khanga, T-shirt, Sikari, Taarab na Burudani Mbalimbali ambavyo CDM imekuwa haitoi

Suluhisho

1. BAWACHA ichukue jukumu lake kuhamaisisha wanawake Tanzania kote ikiwezekana waajiriwe watu Mahsusi kwa ajili ya kazi ya Uhamasishaji

2. CDM na Watanzania indelee kutoa Elimu kwa Uma na hasa Wanawake

3. Itamkwe kwamba BAWACHA imeshidwa jukumu lake la Msingi


Hayo ni Mawazo yangu kwa leo

 
Mkuu nadhani unachokisema kipo na naamini umeona zaidi ya mara moja ndiyo maana umekuja na wazo hili,kitu ambacho mimi binafsi naweza kusema ni kuwa bado mama zetu wanafikiri kwa woga,wanaamua kwa woga na kutenda kwa woga,ifahamike kuwa ccm wamepandikiza woga kwa wananchi hasa wanawake kiasi kwamba wanashindwa kuwa huru dhidi ya maisha yao.

CHADEMA kwa sasa pamoja na mambo mengine inajikita zaidi katika kutoa elimu ya kujitambua wa watu wa kada zote ili kuwakomboa watz kuanzia katika fikra zao,Labda pia nikukumbushe mkuu suala la kufika katika mkutano ni suala lakiuelewa,suala la kushangilia kinachozungumzwa katika jukwaa pia ni suala la uelewa so cha muhimu kwa CDM imeona ijikite kwanza katika kuwafanya watz wote wakiwemo wakina mama ili wafike ktk mihadhara mbalimbali wapate elimu ya kujitambua na pia watakapoelewa watakuwa ktk nafasi nzuri ya kushangilia wanachokielewa.

Na kwa namna ndugu yangu umeelezea kwa uzoefu wako nimelewa kuwa siku wanawake wa tz watakapo support CDM kwa umoja wao basi CDM itakadhiwa nchi moja kwa moja.Karibu sana ndugu yangu!!!!!!!
 
Mkuu Jamaa ana poit ya Msingi sana na si Lazima Akubaliane na Wewe.
Mkuu,shida yetu sisi ni kuona siku moja ccm inakaa pembeni na kuwa chama cha upinzani. So hata kama
tutaiga yale mabaya yao kwa mda si mbaya! tukishawatoa tutarudisha kanuni za mwanzo na kuzizingatia.
Lakini kwa sasa nawashauri CDM wagawe khanga maeneo ya uswazi na kila mkutano wawaite bongo fleva
 
Mkuu,shida yetu sisi ni kuona siku moja ccm inakaa pembeni na kuwa chama cha upinzani. So hata kama
tutaiga yale mabaya yao kwa mda si mbaya! tukishawatoa tutarudisha kanuni za mwanzo na kuzizingatia.
Lakini kwa sasa nawashauri CDM wagawe khanga maeneo ya uswazi na kila mkutano wawaite bongo fleva

Kama suala ni kuingia Ikulu kwa Namna yeyote naona Tuanza Kununua Shahada za Kupigia Kura za Hao akina Mama ambao wewe unaonekana kwamba Vichwa Vyao haviwezi kukombolewa
 
Mkuu tuko pamoja ila sikubaliani na wewe kuwa wanawake wa masaki posta mikocheni wameelimika.
Mkuu, mwanamke wa Masaki utamlinganisha na wa Tandale? labda kwa mahusiano ya kimapenzi lakini si kumdanganya kwa kumpa khanga eti kipigie kura chama changu. BIG NO
 
Mkuu,shida yetu sisi ni kuona siku moja ccm inakaa pembeni na kuwa chama cha upinzani. So hata kama
tutaiga yale mabaya yao kwa mda si mbaya! tukishawatoa tutarudisha kanuni za mwanzo na kuzizingatia.
Lakini kwa sasa nawashauri CDM wagawe khanga maeneo ya uswazi na kila mkutano wawaite bongo fleva

Rip Chadema

Yaani muige mabaya kwa muda???!naona mmeshaanza kunogewa na mabaya..

Mlianza kuiga kuhonga kura kule uzini kura @ kura 200,000/- kama ccm wafanyavyo..

Sema tuta-advance vipi kuwapita ccm..siyo kuiga..yaani chadema na ccm mama yao moja..
 
Wakuu kwa Ufupi labda niweke kwa Ufupi maana haina haja ya kujaza Page nyingi halafu hatuna Summary


Problem Statement

1. Wanawake kutohudhuria kwa wingi Mikutano ya CDM as compared to Mikutano ya CCM.

2. Hata hao wachache wanaohudhuria hawaungi mkono waziwazi


Sababu

1. BAWACHA imelala katika kutoa Elimu Mahsusi kwa wanawake inayolenga kuwakomboa Kifikra

2. Mfumo wa Kiuongozi unaowanyima Fursa wanawake hasa wale wanaonekana kuwaunga Mkono wapinzania waziwazi

3. Wanawake kupendelea kupewa vitu kama Khanga, T-shirt, Sikari, Taarab na Burudani Mbalimbali ambavyo CDM imekuwa haitoi

Suluhisho

1. BAWACHA ichukue jukumu lake kuhamaisisha wanawake Tanzania kote ikiwezekana waajiriwe watu Mahsusi kwa ajili ya kazi ya Uhamasishaji

2. CDM na Watanzania indelee kutoa Elimu kwa Uma na hasa Wanawake

3. Itamkwe kwamba BAWACHA imeshidwa jukumu lake la Msingi


Hayo ni Mawazo yangu kwa leo

Kwa hapa naweza sema ahsante! you made my day....gawa khanga bure, ita muziki...shughuli iendelee
 
Mmh! nimecheka sina mbavu!!!!...any wayz acha nikujibu.
Mkuu hili ni jina langu la ukweli kabisa.... i mean ni jina la ukoo wetu (jina la babu)
Babu yangu alipigana vita ya majimaji kule Songeanna yeye kazi yake ilikuwa ni kubeba lichuma likubwa sana
kwa hajili ya kunolea zana za kivita (za jadi) so makamanda wenzake walipenda kumuita Mshikachuma kutokana
na kitengo chake....naitwa Najee Mshikachuma.
:focus:

Asante! Itabidi na mimi nitumie jina langu halisi. maana naona ukileta hoja kali watu wanakutoa ulikojificha.

 
Mkuu,shida yetu sisi ni kuona siku moja ccm inakaa pembeni na kuwa chama cha upinzani. So hata kama
tutaiga yale mabaya yao kwa mda si mbaya! tukishawatoa tutarudisha kanuni za mwanzo na kuzizingatia.
Lakini kwa sasa nawashauri CDM wagawe khanga maeneo ya uswazi na kila mkutano wawaite bongo fleva

Sikubaliani na wewe kabisa! Sera hiyo itaiua CDM kama CUF ilivyojiua kwa kuwa na serikali ya umoja kule Znz
 
Asante! Itabidi na mimi nitumie jina langu halisi. maana naona ukileta hoja kali watu wanakutoa ulikojificha.

Yaani wee acha tu! hayo ndiyo mambo ya JF....nashukuru wewe hujaniulizia avatar -original face.
 
Wakuu kwa Ufupi labda niweke kwa Ufupi maana haina haja ya kujaza Page nyingi halafu hatuna Summary


Problem Statement

1. Wanawake kutohudhuria kwa wingi Mikutano ya CDM as compared to Mikutano ya CCM.

2. Hata hao wachache wanaohudhuria hawaungi mkono waziwazi


Sababu

1. BAWACHA imelala katika kutoa Elimu Mahsusi kwa wanawake inayolenga kuwakomboa Kifikra

2. Mfumo wa Kiuongozi unaowanyima Fursa wanawake hasa wale wanaonekana kuwaunga Mkono wapinzania waziwazi

3. Wanawake kupendelea kupewa vitu kama Khanga, T-shirt, Sikari, Taarab na Burudani Mbalimbali ambavyo CDM imekuwa haitoi

Suluhisho

1. BAWACHA ichukue jukumu lake kuhamaisisha wanawake Tanzania kote ikiwezekana waajiriwe watu Mahsusi kwa ajili ya kazi ya Uhamasishaji

2. CDM na Watanzania indelee kutoa Elimu kwa Uma na hasa Wanawake

3. Itamkwe kwamba BAWACHA imeshidwa jukumu lake la Msingi


Hayo ni Mawazo yangu kwa leo

Mkuu nakuunga mkono, kuongezea CDM ilichukulie jambo hili seriously waanzishe operation maalum ya Okoa wanawake sambamba na operation ya mikoa ya kanda ya kusini na zanzibar.
 
hakuna mademu wanaogombania wanaume ndani ya chadema,ni vile hawajitokezi tu lakini ni wengi sana.
 
kamanda wanawake tuko wengi sana na wala hatuhitaji kuhongwa hizo leso tuna uwezo wa kuwa navyo,khanga sh 5000 uliza kombati ni sh ngapi na wtunanunua hatungoji kupewa bure acha kuongea utumbo wewe.
 
mpka mgawe kanga na t-shrt?

Tatizo lako ni shule;

obama_2012_tshirt-p235543847620409392zv2fr_125.jpg
democratic_flag_t_shirt-p235262715271849855a85l_325.jpg
98158803v3_240x240_Front.jpg
 
Asilimia kubwa ya wanawake hawapendi vurugu, lugha ambazo mara nyingi zinatumika kwenye kampeni za CHADEMA zimekaa kisharishari.
 
Kunatatizo hapo ni lazima tuseme kweli na mimi nalitupia lawama sana baraza la wanawake BAVICHA , Baraza hili limekuwa bubu sana haliana mikakati ya kujitandaza ndiyo maana hata leo ukiuliza watu wataje hata viongozi wa BAVICHA utapata majibu.

Tulisha lizungumzia hapa na Dr. Slaa alisema atalifanyia kazi.

Mimi nafikiri BAVICHA wanatakiwa wajipange kuhakikisha wanasambaa kila kona wakiwa na mikakati na mipango ya kujitangaza na kuwapigania wanawake wasuibaki tu kama baraza la lisilona mipango.

Sijawahi kusikia baraza hili limefanyua mkutano hata mmoja ingekuwa vema wakafanya mikutano katika maeneo mbalimbali hasa ya vijijini kwani huko ndipo wanawake wengi wapo.
 
WanaJF, Heshima mbele wakuu!.

Hivi ni kwanini wanawake waliowengi wanaisaport Chadema kwa woga?
Nilianza kufatilia kuanzia uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,baadae ikaja
ule uchaguzi mdogo wa Igunga na sasa ni huu wa Arumeru ulioanza kampeni
zake jana.
Katika mikutano yote ya kampeni za Chadema ni nadra sana kuona wanawake
wamejitokeza kwa wingi....sana sana watakuwa wachache sana na wanahesabika.
Tena kibaya zaidi wanakuwa hawana shamra shamra zozote za kuashiria kweli wao
ni people's power mpaka kieleweke.

Lakini ukifatilia kampeni na mikutano ya CCM na CUF utawaona wakinamama wame
furika kibao kupita maelezo! yaani utaona wanakata viuno,wanaimba na kucheza huku
wakishauti kwa kelele za kufa mtu. Jamani kwa nini isiwe hivyo na kwa Chadema?

Kwa wale waliofuatilia ufunguzi wa kampeni za CDM jana kupitia StarTv live kutoka A
rumeru watakubaliana na mimi kwa 100% yaani uwanja mzima ulifurika wanaume...wa
nawake walikuwa wachache sana! nakumbuka kuna mbunge mmoja mwanamke wa CDM
alisimama na akauliza kwa masikitiko makubwa sana'kwanini wanawake hawajajitokeza
kwa wingi kama wanaume?
Wanabodi, Je,tatizo ni nini? kwanini wanawake waliowengi hawaisaport CDM? Na hao
wachache wakijitokeza basi huwa kama wamenyeshewa na mvua. Je tatizo ni nini?
1.Je wanaiogopa serikali ya ccm? au
2.wamelishwa propaganda na ccm kuwa Chadema ni chama cha fujo?

Na mwisho Je,kifanyike nini ili CDM nao kwenye mikutano yao iwe inapata wamama wa kutosha?

labda dini yao inawakataza,. maana mkutano wa CUF wanawake hupamba sana, na huwa hawaogop kabisa
 
Back
Top Bottom