mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 638
WanaJF, Heshima mbele wakuu!.
Hivi ni kwanini wanawake waliowengi wanaisaport Chadema kwa woga?
Nilianza kufatilia kuanzia uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,baadae ikaja ule uchaguzi mdogo wa Igunga na sasa ni huu wa Arumeru ulioanza kampeni zake jana.
Katika mikutano yote ya kampeni za Chadema ni nadra sana kuona wanawake wamejitokeza kwa wingi....sana sana watakuwa wachache sana na wanahesabika.
Tena kibaya zaidi wanakuwa hawana shamra shamra zozote za kuashiria kweli wao ni people's power mpaka kieleweke.
Lakini ukifatilia kampeni na mikutano ya CCM na CUF utawaona wakinamama wamefurika kibao kupita maelezo! Yaani utaona wanakata viuno,wanaimba na kucheza huku wakishauti kwa kelele za kufa mtu. Jamani kwa nini isiwe hivyo na kwa Chadema?
Kwa wale waliofuatilia ufunguzi wa kampeni za CDM jana kupitia StarTv live kutoka Arumeru watakubaliana na mimi kwa 100% yaani uwanja mzima ulifurika wanaume...wanawake walikuwa wachache sana! nakumbuka kuna mbunge mmoja mwanamke wa CDM
alisimama na akauliza kwa masikitiko makubwa sana'kwanini wanawake hawajajitokeza kwa wingi kama wanaume?
Wanabodi,
Je, tatizo ni nini? Kwanini wanawake walio wengi hawaisapoti CDM? Na hao wachache wakijitokeza basi huwa kama wamenyeshewa na mvua.
1. Je wanaiogopa serikali ya ccm? au
2. Wamelishwa propaganda na CCM kuwa Chadema ni chama cha fujo?
Na mwisho Je, kifanyike nini ili CDM nao kwenye mikutano yao iwe inapata wamama wa kutosha?
Hivi ni kwanini wanawake waliowengi wanaisaport Chadema kwa woga?
Nilianza kufatilia kuanzia uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,baadae ikaja ule uchaguzi mdogo wa Igunga na sasa ni huu wa Arumeru ulioanza kampeni zake jana.
Katika mikutano yote ya kampeni za Chadema ni nadra sana kuona wanawake wamejitokeza kwa wingi....sana sana watakuwa wachache sana na wanahesabika.
Tena kibaya zaidi wanakuwa hawana shamra shamra zozote za kuashiria kweli wao ni people's power mpaka kieleweke.
Lakini ukifatilia kampeni na mikutano ya CCM na CUF utawaona wakinamama wamefurika kibao kupita maelezo! Yaani utaona wanakata viuno,wanaimba na kucheza huku wakishauti kwa kelele za kufa mtu. Jamani kwa nini isiwe hivyo na kwa Chadema?
Kwa wale waliofuatilia ufunguzi wa kampeni za CDM jana kupitia StarTv live kutoka Arumeru watakubaliana na mimi kwa 100% yaani uwanja mzima ulifurika wanaume...wanawake walikuwa wachache sana! nakumbuka kuna mbunge mmoja mwanamke wa CDM
alisimama na akauliza kwa masikitiko makubwa sana'kwanini wanawake hawajajitokeza kwa wingi kama wanaume?
Wanabodi,
Je, tatizo ni nini? Kwanini wanawake walio wengi hawaisapoti CDM? Na hao wachache wakijitokeza basi huwa kama wamenyeshewa na mvua.
1. Je wanaiogopa serikali ya ccm? au
2. Wamelishwa propaganda na CCM kuwa Chadema ni chama cha fujo?
Na mwisho Je, kifanyike nini ili CDM nao kwenye mikutano yao iwe inapata wamama wa kutosha?