WanaJF, Heshima mbele wakuu!.
Hivi ni kwanini wanawake waliowengi wanaisaport Chadema kwa woga?
Nilianza kufatilia kuanzia uchaguzi mkuu wa mwaka 2010,baadae ikaja
ule uchaguzi mdogo wa Igunga na sasa ni huu wa Arumeru ulioanza kampeni
zake jana.
Katika mikutano yote ya kampeni za Chadema ni nadra sana kuona wanawake
wamejitokeza kwa wingi....sana sana watakuwa wachache sana na wanahesabika.
Tena kibaya zaidi wanakuwa hawana shamra shamra zozote za kuashiria kweli wao
ni people's power mpaka kieleweke.
Lakini ukifatilia kampeni na mikutano ya CCM na CUF utawaona wakinamama wame
furika kibao kupita maelezo! yaani utaona wanakata viuno,wanaimba na kucheza huku
wakishauti kwa kelele za kufa mtu. Jamani kwa nini isiwe hivyo na kwa Chadema?
Hapo mkuu ujue kuna wakina nchemba wanotuharibia wake zetu. maisha magumu ndugu yangu na hawa magam,ba wamefanya makusudi ili sijui wawateke wanawake ambao kimsing ni dhaifu sana?
Kwa wale waliofuatilia ufunguzi wa kampeni za CDM jana kupitia StarTv live kutoka A
rumeru watakubaliana na mimi kwa 100% yaani uwanja mzima ulifurika wanaume...wa
nawake walikuwa wachache sana! nakumbuka kuna mbunge mmoja mwanamke wa CDM
alisimama na akauliza kwa masikitiko makubwa sana'kwanini wanawake hawajajitokeza
kwa wingi kama wanaume?
Kidogo hapo umejichanganya mkuu. mbele tena unasema walikuwa wachache sana? Ooohoooo! Kumbe walikuwepo walau hao waaminifu kwenyendoa zao? Dah. thanx kwa hilo.
Wanabodi, Je,tatizo ni nini? kwanini wanawake waliowengi hawaisaport CDM? Na hao
wachache wakijitokeza basi huwa kama wamenyeshewa na mvua. Je tatizo ni nini?
1.Je wanaiogopa serikali ya ccm? au
2.wamelishwa propaganda na ccm kuwa Chadema ni chama cha fujo?
wanauchungu mkubwa hao mkuu. hao ndo wachache waliobakiwa ambao manyang'au ya ciciem hayajawapitia
Na mwisho Je,kifanyike nini ili CDM nao kwenye mikutano yao iwe inapata wamama wa kutosha?