zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Amani ipi mkuu mbona tunatembea na bunduki na bastora?
Na wale wanaotembea na masime na fimbo kwa enzi na enzi unaongeleaje?
Amani ipi mkuu mbona tunatembea na bunduki na bastora?
Well said! pamoja sana mkuu!....ndiyo maana mie nimeamua kuwashauri CDM kuwa si vibaya tukiiga mazuri toka kwa CCMSeriously, nakubaliana na mada kiukweli,ni vizuri tuliangalie kwa kufanya research ya kuwa inakuwa vipi upande wa magamba wanakuwa wengi.....Jibu si jepesi kwa upande mwingine ni jepesi,kwa risechi yangu niliyofanya wakati wa kampeni za uchaguzi 2010 nikiwa jijini Mwanza niliona magmba mbinu wanayotumia kuwapata wanawake.Kuna makada wa kike katika kata ambao kazi yao ni kuhakikisha kina mama wamepewa khanga,kofia na t-shirts na siku ya mikutano ya magamba kunatolewa usafiri bure kutoka kila pande,kwa mfano katika mkutano wa kampeni ya uraisi,magamba walitoa magari yalochukua watu sana sana kina mama coz walikuwa wameshavaa sare tayari,wakpelekwa Misungwi tokea mjini na wale wa Misungwi,Magu,Sengerema waliletwa CCM kirumba.Niambieni kwa stairi hii utapata idadi gani kwa wingi kati ya wanawake na wanaume?definetely watakuwa kina mama.....
Vyama vyote vya Upinzani haviwalengi wananchi ktk jamii zao isipokuwa siasa za majitaka. Chadema vs CUf au NCCR au CCM...na kuzungumzia WATU kajamba nani ndio siasa zilizopo.. Chadema wanatakiwa kuacha siasa hizi na kuanza kulenga wananchi ktk jumuiya zao. Chadema itawafanyia nini Wanawake, Itawafanyia nini Wakulima na Wafanyakazi, wachimba madini, wafanya biashara. Nini msimamo wao ktk hoja na maswala ya Muungano na dini..
Mkuu Mkandara,ahsante kwa mchango wako japo hujagusia mada yetu inayohusu wanawake na Chadema.Vyama vyote vya Upinzani haviwalengi wananchi ktk jamii zao isipokuwa siasa za majitaka. Chadema vs CUf au NCCR au CCM...na kuzungumzia WATU kajamba nani ndio siasa zilizopo.. Chadema wanatakiwa kuacha siasa hizi na kuanza kulenga wananchi ktk jumuiya zao. Chadema itawafanyia nini Wanawake, Itawafanyia nini Wakulima na Wafanyakazi, wachimba madini, wafanya biashara. Nini msimamo wao ktk hoja na maswala ya Muungano na dini..
Dah, yaani siku zote naandika pumba!.. Kama hoja hii ilivyo pengine siku zote sijazungumzia vitu vinavyokugusa na kukuvutia wewe leo nimekugusa na mapenzi yako yameonekana - Karibu sana.Katika post zako zote nilizowahi kusoma, leo umeongea cha maana.
Malaria Sugu, aliwahi kuulizia hilo kwenye nyekundu, akaitwa "mdini".
Majibu ya vitu vyote navyovisema vipo ktk Katiba ya Chadema lakini hazitumiwi ktk kampeni na wanachama au viongozi wetu hadharani kwa kuchelea kuonekana vibaya ila huyagusia tu kukana kama kuna tuhuma fulani maana siasa zetu ni kupakana matope tu.Mkuu Mkandara,ahsante kwa mchango wako japo hujagusia mada yetu inayohusu wanawake na Chadema.
Alafu hapo nilipobold unamaanisha nini? Muungano na dini!!!? hebu funguka ili tukusome.
NA ASHTON BALAIGWA
24th July 2012
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoani wa Morogoro, ccmkimesema wanawake ndio kikwazo cha mabadiliko ya mageuzi nchini na kuwataka wanaume kuwalazimisha wake zao kukiunga mkono chama hicho hata ikiwezekana kuwatishia kwa talaka.
CHANZO: NIPASHE
[/LEFT]
say it again? Siasa ni fani, kama sio fani zenu msikurupuke jamani.
Come down. Nilikuwa kwenye huo mkutano, she was just joking...